Kwasababu na behave kama nyinyi?Unajifurahisha tu, for the sake of arguing, huna!
Kwa maana hiyo kwasababu umekiri kua imani ni kutokua na hakika, maana yake ukisema unaamini mungu yupo tafsiri yake ni kwamba hauna uhakika?Ndiyo nakubali kwa tafsiri uliyotoa ya neno hakika.
chanzo cha mungu ni nini kwa mujibu wa kanuni yako mwenyewe uliyosema kila kilichopo kinachanzo?Hapana sijajipinga, wapi ambapo hujaelewa nikueleweshe kijana?
Na yeye alikuwa anajifurahisha kama unavyofanya?Kwasababu na behave kama nyinyi?
Mbona mafundisho ya vitabu vyenu vimedai yesu ali behave kama mwanadamu na still mnam consider kama mungu, ina maana alikua anajifurahisha for the sake of what?
Mimi ndo nimekuuliza hilo swali wewe, au wewe huamini yesu kua ni mungu?Na yeye alikuwa anajifurahisha kama unavyofanya?
Kama tukitumia Mungu wa waislamu tunaona kwenye Qur'an kuna mambo yameelezwa yahusuyo masuala ya uumbaji ni toka karne hizo ambako hata wale wasimuliwaji sidhani kama walielewa kwa kina hizo ila katika zama hizi za sayansi na teknolojia tunakuta maelezo hayo ya uumbaji kwenye Qur'an(ambayo ni maneno ya Mungu) huthibitishwa na Sayansi, hivyo hiyo ni dalili moja wapo kuonesha yale maneno yalikuwa ya kweli na kweli yalitoka kwa Muumbaji mwenyewe ambaye ndio Mungu.Mfano?
Kwa hiyo, nikiamini alikuwa Mungu ndiyo kusema alikuwa akijifurahisha kama unavyofanya?Mimi ndo nimekuuliza hilo swali wewe, au wewe huamini yesu kua ni mungu?
Kama huamini niambie nijue kua nimeuliza mtu asiye sahihi
ukisema hapa kuna mwizi mwingine akisema hapa hakuna mwizi,yule aliyesema hapa kuna mwizi ndio anatakiwa athibitishe kwamba ameibiwa nini,na huyo mwizi yuko wapi.Tofauti ni ipi kati ya anayeamini Mungu(anasema yupo) na anayesema Mungu hayupo/hakuna?
Maana wote wawili wanakielewa hicho kitu ndio maana mmoja anadai hicho kitu hakipo na mwengine anadai kipo, sasa hapo inakuaje mmoja tu ndio awe na wajibu wa kukielezea hicho kitu? huo wajibu umejengeka kwa msingi gani? hebu tujaribu kuelewa muache kukariri tu.
kama wapi yalielezwa na leo wanasayansi wametibitisha,weka hilo andikoKama tukitumia Mungu wa waislamu tunaona kwenye Qur'an kuna mambo yameelezwa yahusuyo masuala ya uumbaji ni toka karne hizo ambako hata wale wasimuliwaji sidhani kama walielewa kwa kina hizo ila katika zama hizi za sayansi na teknolojia tunakuta maelezo hayo ya uumbaji kwenye Qur'an(ambayo ni maneno ya Mungu) huthibitishwa na Sayansi, hivyo hiyo ni dalili moja wapo kuonesha yale maneno yalikuwa ya kweli na kweli yalitoka kwa Muumbaji mwenyewe ambaye ndio Mungu.
Hivyo hiyo ni dalili ya Uungu.
Nimesema kuwa Mungu ndio chanzo hivyo yeye hana chanzo, kwa sababu lazima kiwepo chanzo cha yote.chanzo cha mungu ni nini kwa mujibu wa kanuni yako mwenyewe uliyosema kila kilichopo kinachanzo?
yeye anakataa Mungu hayupo ,wewe unalazimishwa uambiwe MUNGU ni nini,huoni kama umebanwa mkuuUkiweza kunieleza ni wapi aliponibana nitakubali sina hoja.
Kiranga wenu hadi sasa kashindwa kueleza Mungu ni nini kabaki kung'ang'ania neno "dhana" halafu wewe unakuja unaniambia mie ndio sina hoja et nimebanwa kote!
Vitu vyengine vinashangaza kwa kweli.
Miungu dhaifu hutumia njia dhaifu, usiniweke kwenye rank hizo mimi habari angu nazifanya personal kama ambavyo wewe unavyoweza kunihoji hapa kwasababu mimi nipo lakini huwezi kumhoji mungu wa kwenye kuran kwasababu ni mungu wa uwongo hayupo, ni makanjanja tu wameandika habari za uwongo na mwisho wao naujua maana nimewaaandalia adhabu kali sanaKama tukitumia Mungu wa waislamu tunaona kwenye Qur'an kuna mambo yameelezwa yahusuyo masuala ya uumbaji ni toka karne hizo ambako hata wale wasimuliwaji sidhani kama walielewa kwa kina hizo ila katika zama hizi za sayansi na teknolojia tunakuta maelezo hayo ya uumbaji kwenye Qur'an(ambayo ni maneno ya Mungu) huthibitishwa na Sayansi, hivyo hiyo ni dalili moja wapo kuonesha yale maneno yalikuwa ya kweli na kweli yalitoka kwa Muumbaji mwenyewe ambaye ndio Mungu.
Hivyo hiyo ni dalili ya Uungu.
We jamaa khaa bora ukajisomee mwenyewe huwezi mlazimisha mtu aanzw kukupa somo la evolution , cosmology nuclear physics, organic and inorganic chemstry . Hayo maswali si umeshajiuliza anza kufanyia uchunguzi kuwa kitu gani kimesababisha nebula mtu hawezi kukujibu ukaridhika hapa unapewa idea. Anza na geology on how gas and fossil fuel happened hapo ita involve chemistry ya olevel tuu kuelewa hizo chemical reactionsUnasema Sayari zimetokana na Nebula,
Nebula ni Matter niambie hii Nebula imetokea wapi? Formation yake kisayansi, imeform vipi sayari zote?, Au Nebula imetokea tu kimiujiza? Ukisema Nebula imeform sayari bila kuniambia Nebula ilitokea wapi kwanza, huo utakua ni muujiza na sio sayansi.
Niambie hiyo Nebula ilitokea wapi?(formation) yake, imeform vipi Sayari zote?
Niambie hilo wingu kubwa lenye dust na miamba imetokea wapi? (formation) zake au zilitokea tu kimiujiza? Ukiniambia bahari imetokana na wingu kubwa lenye dust na miamba bila kuniambia hiyo miamba na wingu lenye dust vimetokeaje (formation) scientifically huo utakua ni muujiza kitu ambacho nyie hamuamini katika muujiza.
Niambie hiyo miamba na wingu lenye dust formation yake, vimetokea vipi na vimeform vipi bahari, mito na maziwa yote? Kisayansi.
Kama gesi na mafuta husababishwa na mabaki ya mimea na wanyama waliokufa miaka mingi, nipe kwanza formation ya mimea na hao wanyama walitokea vipi?(formation) na wameform vipi gesi na mafuta kisayansi.
Kama samaki wametokana na maji, niambie hayo maji yametokeaje(formation) yake na yameform vipi samaki wa aina zote? Hayo maji yalikuwepo tu kimiujiza?
Uniambie theropods imetokeaje vipi(formation), au imetokea tu kimiujiza? Niambie kisayansi theropods imetokea vipi na imeform vipi Ndege wa aina zote?
Kama wanyama wame evolve kutoka tiktaalik, niambie tiktaalik imetokea vipi(formation) au imetokea tu kimiujiza? Kusikojulikana. Imeform vipi wanyama wa aina zote kisayansi.
Niambie formation ya binadamu wametokea vipi?
Uniambie hayo maji yametokea vipi(formation) yake na yameform vipi miti na mimea ya aina zote yalio baharini, mito maziwa na nchi kavu. Usiniambie miti imetokana na maji bila kuniambia maji kwanza yalitokeaje? na yameform vipi miti na mimea kisayansi.
NB: Bado nasubiria majibu. Mfano:- Nakukumbusha ukiniambia JUICE YA PARACHICHI IMETOKANA NA MAJI, TUNDA PARACHICHI NA SUKARI, NITAKUOMBA UNIAMBIE KWANZA(Formation) ya PARACHICHI LIMETOKA WAPI, MAJI YAMETOKA WAPI NA SUKARI, JE VIMETOKEA TU KIMIUJIZA? Uniambie kisayansi vimetoka wapi kwanza, alafu ndio uniambie process iliyotumika kuform juice ya parachichi.
Kwa hiyo mtu akisema ulimwengu ndio chanzo hivyo ulimwengu hauna chanzo kwasababu ulimwengu ni chanzo cha vyote utakubali?Nimesema kuwa Mungu ndio chanzo hivyo yeye hana chanzo, kwa sababu lazima kiwepo chanzo cha yote.
kwani kilichokufanya uone najifurahisha hapa ni kipi?Kwa hiyo, nikiamini alikuwa Mungu ndiyo kusema alikuwa akijifurahisha kama unavyofanya?
Kumjibu huyo bwana ni kupoteza muda. Maswali ameshayauliza kwanini asiende tafuta majibu maana anauliza nebula anataka umfunishe austrophysics anauliza kitu gani kimesababisha mimeo anataka umfundishe evolution toka mwanza the beginning of earth itself . Huyu ni mvivu wa kutafuta majibu au anajibu moja ambalo ni mungu . Kwasababu kitu chochote asichokijua anahisi jibu ni mungu , ni mtu anayeishi mwaka 6000bcunauliza maswali ambayo nisha elezea mapema kabisa
Nilivyokuambia kua kila kilichomo ndani ya ulimwengu kimesababishwa na ulimwengu except ulimwengu, ulielewaje?
Mambo mengi inaonekana hayajui na hajisumbui kutafuta majibu, vitu vingine vina hitaji miaka kuvisoma afu ye anataka nimuelezee hapa kwa siku mojaKumjibu huyo bwana ni kupoteza muda. Maswali ameshayauliza kwanini asiende tafuta majibu maana anauliza nebula anataka umfunishe austrophysics anauliza kitu gani kimesababisha mimeo anataka umfundishe evolution toka mwanza the beginning of earth itself . Huyu ni mvivu wa kutafuta majibu au anajibu moja ambalo ni mungu . Kwasababu kitu chochote asichokijua anahisi jibu ni mungu , ni mtu anayeishi mwaka 6000bc
Unajuaje mimi si Mungu leo nimeamua kuja JF tu kukuzingua?Siyo kwamba naamini kuwa wewe ni Mungu, bali kwamba kama unachosema kwamba wewe ni Mungu na ni kweli una hiyo sifa na hudanganyi maana sifa za Mungu zipo kadhaa: ni muumba wa vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, yupo tangu milele, uwepo wake hauna mwisho, ni muweza wa yote, yuko beyond time and space etc na wewe unfortunately huna hizo sifa.
Siku ya kiama nawasikitikia sana.hahahaaaaahaha acha vioja Wewe jamaa eti tusome vitabu vilivyoandikwa na mwanadamu kumhusu mungu,wakati mungu mwenyewe hajawahi kuandika biography kujihusu si kioja hicho?
Nje ya fikra za mtu mungu hayupo,hajawahi kuwepo na hatakwepo binadamu ndio aliyemuumba mungu kichwani mwake!
Huo ndio ukweli mchungu ndugu zanguni!
Labda mungu wa Jf.Unajuaje mimi si Mungu leo nimeamua kuja JF tu kukuzingua?
After all, kama unaamini Mungu yupo beyond time and space na huwezi kumuelewa vizuri, utajuaje mimi si Mungu nimeamua kuichukua ID ya Kiranga kukuzingua tu?
Unataka kusema Mungu wako hawezi ku hack ID ya JF ya Kiranga?