Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Siku ya kiama nawasikitikia sana.
hahaaaaaha Bwashee hiyo siku haipo Aisee acheni Hadith za kitoto na mapokeo ya wa Wayunani na Wayahudi wa kale enzi za Giza,yaani ni kama ilivyo magharibi na mashariki kutokutana na hiyo siku haipo labda useme mwisho wa human civilization maana hapa Duniani zimepata tokea spicies mbali mbali na zikatoweka mfano dinosaur hapo ndio nitakuelewa ila porojo za kiama hazina mashiko!
 
hahaaaaaha Bwashee hiyo siku haipo Aisee acheni Hadith za kitoto na mapokeo ya wa Wayunani na Wayahudi wa kale enzi za Giza,yaani ni kama ilivyo magharibi na mashariki kutokutana na hiyo siku haipo labda useme mwisho wa human civilization maana hapa Duniani zimepata tokea spicies mbali mbali na zikatoweka mfano dinosaur hapo ndio nitakuelewa ila porojo za kiama hazina mashiko!
Wewe ni binadamu kweli?
 
Unajuaje mimi si Mungu leo nimeamua kuja JF tu kukuzingua?

After all, kama unaamini Mungu yupo beyond time and space na huwezi kumuelewa vizuri, utajuaje mimi si Mungu nimeamua kuichukua ID ya Kiranga kukuzingua tu?

Unataka kusema Mungu wako hawezi ku hack ID ya JF ya Kiranga?
Ila Kiranga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Kuna muda unanichekesha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom