UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Namaanisha nilichokieleza mimi hivyo ndivyo navyoamini au ndio mtazamo wangu, nasema hivyo kwa sababu wapo wenye mitazamo tofauti na hivyo au wenye kuamini tofauti na hivyo.Namaanisha wewe ulipokua unataja habari za mungu ilikua ni hoja inayo apply universal au personal?