Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kwanini nikulipe kwenye mjadala? Kwanini unitake nikulipe ikiwa tupo kwenye mjadala wa wazi kabisa.

Haujatoa majibu mpaka sasa yaliyo proved acientifically. Ulichofanya ni kutoa majibu ya kufikirika na ya kimiujiza kitu ambacho kinakuvua na kukuondolea mandate ya wewe kujiita Atheist.

Kwanini?
Kwasababu huwezi kujiita Atheist ikiwa wewe mwenyewe haujui hivyo vitu vyote vimetokeaje (formation) ya hivyo vitu vyote.

Na kama unatoa majibu ya kufikirika na ya vitu kutokea kimiujiza, sasa unatofauti gani na wanaoamini Mungu ndie aliyeumba vitu vyote kwa miujiza yake?
Kazi yangu mimi ni kujadiliana hoja za mjadala na niliisha fanya hivyo kwa kujibu maswali yako kimpangilio,

Sasa unachokifanya wewe sio, kwasababu unaniweka kwenye majukumu ambayo yalitakiwa yafanywe na walimu wako mashuleni

Ukifanya hivyo lazima unilipe sababu hiyo ni course, nami natumia energy yangu.

Otherwise rudi shuleni ukasome
 
Kama ivyokuwa kwa Kingunge Ngombare Mwiru! Aliombewa na mapadre!
Alivyoombewa na mapadre mungu alitokea watu wakathibitisha yupo?

Hivi unadhani kingunge ni mtu smart sana kuliko kina izack newton na eistein?
 
Kazi yangu mimi ni kujadiliana hoja za mjadala na niliisha fanya hivyo kwa kujibu maswali yako kimpangilio,

Sasa unachokifanya wewe sio, kwasababu unaniweka kwenye majukumu ambayo yalitakiwa yafanywe na walimu wako mashuleni

Ukifanya hivyo lazima unilipe sababu hiyo ni course, nami natumia energy yangu.

Otherwise rudi shuleni ukasome
Haujatoa majibu, umetoa uongo wa kufikirika usiothibitishika kisayansi.

Nikuoneshe kidogo moja ya jibu lako la kufikirika na lisilothibitishika kisayansi

"Swala la bahari limetokana na wingu kubwa lenye dust na miamba"

Hilo wingu kubwa lenye dust na miamba imetokea wapi kwanza? Kimiujiza

Kama Bahari haikuwepo alafu miamba na wingu kubwa lenye dust lilikuwepo, JE LILITOKEA WAPI? HILO WINGU NA HIYO MIAMBA? (Formation ya hiyo miamba na wingu lenye dust imetokea wapi? Kisayansi

Yaan miamba na wingu kubwa lenye dust limetokea tu ghafla kimiujiza na KUSABABISHA BAHARI? HOW Bro.
 
Haujatoa majibu, umetoa uongo wa kufikirika usiothibitishika kisayansi.

Nikuoneshe kidogo moja ya jibu lako la kufikirika na lisilothibitishika kisayansi

"Swala la bahari limetokana na wingu kubwa lenye dust na miamba"

Hilo wingu kubwa lenye dust na miamba imetokea wapi kwanza? Kimiujiza

Kama Bahari haikuwepo alafu miamba na wingu kubwa lenye dust lilikuwepo, JE LILITOKEA WAPI? HILO WINGU NA HIYO MIAMBA? (Formation ya hiyo miamba na wingu lenye dust imetokea wapi? Kisayansi

Yaan miamba na wingu kubwa lenye dust limetokea tu ghafla kimiujiza na KUSABABISHA BAHARI? HOW Bro.
Unanirudisha tena kwenye miujiza ambapo umeshindwa kufafanua miujiza ni nini?

Sasa kama wewe mwenyewe hujui ni kivipi unaweza kunihakikishia kua unachokiandika hapa unakifahamu?
 
Unanirudisha tena kwenye miujiza ambapo umeshindwa kufafanua miujiza ni nini?

Sasa kama wewe mwenyewe hujui ni kivipi unaweza kunihakikishia kua unachokiandika hapa unakifahamu?
Miujiza ni hali ya ajabu zaidi ya uwezo wa kawaida wa kiasili au kuhakikiwa na kuthibitishwa kisayansi. (extraordinary situation or event that is not explicable by natural or scientific laws)

Mfano ukiniambia samaki wamesababishwa na mizoga ya wanyama wa zamani, bila kuniambia hao wanyama ambao wamekua mizoga walitokea wapi kwanza? (formation) yao, alafu ndio uniambie wamesababishaje samaki. (Hii ni miujiza)

Kwanini miujiza?
Kwasababu hao wanyama wametokea wapi? Science imeprove vipi kutokea na formation ya hao wanyama kwanza? Wametokea tu kimiujiza?
 
Haya mambo bana yani sometime natulia tu kimyaaa, nikiangalia unyama wanao fanya ISIS, CCM, sijui boko haram, najiuliza hivi Mungu haoni hizi takataka zinavyo umiza watu wake? Huruma yake iko wapi? Upendo je? Haoni raia wanateseka? Mungu anaangalia watu wanakaa njaa mpaka wanakufa? Kwanini hazuii majanga makubwa yanayo ua watu wake kikatili? Biblia mbona kama hainihusu mimi mtu mweusi?
Kwanini usiende mbali zaidi kwa kuhoji kama kwanini hata tupo hapa duniani kwenye hao ISIS,Ccm na ambako kuna njaa?
 
yeye anakataa Mungu hayupo ,wewe unalazimishwa uambiwe MUNGU ni nini,huoni kama umebanwa mkuu
Sasa tatizo lipo wapi kumuuliza hicho anachodai hakipo ni nini? au utasema hakijui hicho anachodai hakipo anajisemea tu hakipo wala hata hakijui hicho kitu chenyewe?
 
Miujiza ni hali ya ajabu zaidi ya uwezo wa kawaida wa kiasili au kuhakikiwa na kuthibitishwa kisayansi. (extraordinary situation or event that is not explicable by natural or scientific laws)

Mfano ukiniambia samaki wamesababishwa na mizoga ya wanyama wa zamani, bila kuniambia hao wanyama ambao wamekua mizoga walitokea wapi kwanza? (formation) yao, alafu ndio uniambie wamesababishaje samaki. (Hii ni miujiza)

Kwanini miujiza?
Kwasababu hao wanyama wametokea wapi? Science imeprove vipi kutokea na formation ya hao wanyama kwanza? Wametokea tu kimiujiza?
Hata northern lights kabla ya wanadamu kuelewa electromagnetism walikua wanaona ni miujiza pia
 
Miujiza ni hali ya ajabu zaidi ya uwezo wa kawaida wa kiasili au kuhakikiwa na kuthibitishwa kisayansi. (extraordinary situation or event that is not explicable by natural or scientific laws)

Mfano ukiniambia samaki wamesababishwa na mizoga ya wanyama wa zamani, bila kuniambia hao wanyama ambao wamekua mizoga walitokea wapi kwanza? (formation) yao, alafu ndio uniambie wamesababishaje samaki. (Hii ni miujiza)

Kwanini miujiza?
Kwasababu hao wanyama wametokea wapi? Science imeprove vipi kutokea na formation ya hao wanyama kwanza? Wametokea tu kimiujiza?

Unanichanganya sababu unasema miujiza ni mambo ambayo hayawezi kuthibitishwa kisayansi at the same time nikikuambia habari za bingbang, evolution zilizo tafitiwa na sayansi unasema ni miujiza

Mi nadhani tungeanza na kupeana tafsiri ya haya maneno

uwezo wa kawaida wa kiasili ni upi? Unatofautishaje kujua huu ni uwezo wa kiasili na huu sio?

Na una upimaje kujua ni wa kawaida?

Asili ni nini?

Na kwasababu umeonesha mkanganyiko kwenye maswala ya sayansi, pia ni vyema ungenipa maana ya sayansi ambayo unaijua wewe ambayo haihusiani na bingbang, evolution kwasababu hivyo ni vitu vya kimiujiza
 
Back
Top Bottom