Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Mkuu, ukiniambia "A" imesababishwa na "B", nitahitaji uniambia kwanza "B" imetokea wapi(formation) yake, alafu imeform vipi "A" (Scientifically)

Kwanini?
Kwasababu bila kuniambia "B" imetokea wapi kwanza (scientifically proved) basi jibu lako ni la kufikirika ambalo halina uhakikisho wa kisayansi. Na kama halina uhakikisho wa kisayansi basi "B" imeundwa na other source beyond science methodology.
Nikuulize kitu ba mimi Mungu ametokea wapi

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Hoja yangu ninayokuambia umeshaielewa ila unajaribu kuzungusha maneno. Anyway

Majibu yako unayoyatoa ni ya kufikirika yaan kwa mfano unasema "Bahari imesababishwa na miamba na wingu lenye dust"

Sasa ndo nakuuliza hii miamba na wingu lenye dust vimetokea wapi? Kwanza pia uniambie vimesababishaje Bahari.

Usiponipa ufafanuzi huo wa hiyo miamba na wingu lenye dust vimetokea wapi jibu lako hilo ni la kufikirika halina uhakikisho wa kisayansi.

Kwanini?
Kwa sababu hilo wingu lenye dust na miamba vimetokea tu gafla(bila kuniambia vimetokea wapi? Formation zake) scientifically. Hii ina maana vimetokea kimiujiza yaan hata sayansi yenyewe inashindwa kuprove vimetokeaje? Na sayansi ikishindwa kuprove vimetokeaje, ni sawa na hivyo vitu vilikua formed na Mungu kwa uwezo wake na miujiza yake.


RUDIA TENA HAPA KUSOMA (Nimeuliza kwenye majibu yako ya kufikirika)

Unasema Sayari zimetokana na Nebula,
Nebula ni Matter niambie hii Nebula imetokea wapi? Formation yake kisayansi, imeform vipi sayari zote?, Au Nebula imetokea tu kimiujiza? Ukisema Nebula imeform sayari bila kuniambia Nebula ilitokea wapi kwanza, huo utakua ni muujiza na sio sayansi.

Niambie hiyo Nebula ilitokea wapi?(formation) yake, imeform vipi Sayari zote?



Niambie hilo wingu kubwa lenye dust na miamba imetokea wapi? (formation) zake au zilitokea tu kimiujiza? Ukiniambia bahari imetokana na wingu kubwa lenye dust na miamba bila kuniambia hiyo miamba na wingu lenye dust vimetokeaje (formation) scientifically huo utakua ni muujiza kitu ambacho nyie hamuamini katika muujiza.

Niambie hiyo miamba na wingu lenye dust formation yake, vimetokea vipi na vimeform vipi bahari, mito na maziwa yote? Kisayansi.



Kama gesi na mafuta husababishwa na mabaki ya mimea na wanyama waliokufa miaka mingi, nipe kwanza formation ya mimea na hao wanyama walitokea vipi?(formation) na wameform vipi gesi na mafuta kisayansi.



Kama samaki wametokana na maji, niambie hayo maji yametokeaje(formation) yake na yameform vipi samaki wa aina zote? Hayo maji yalikuwepo tu kimiujiza?



Uniambie theropods imetokeaje vipi(formation), au imetokea tu kimiujiza? Niambie kisayansi theropods imetokea vipi na imeform vipi Ndege wa aina zote?



Kama wanyama wame evolve kutoka tiktaalik, niambie tiktaalik imetokea vipi(formation) au imetokea tu kimiujiza? Kusikojulikana. Imeform vipi wanyama wa aina zote kisayansi.



Niambie formation ya binadamu wametokea vipi?



Uniambie hayo maji yametokea vipi(formation) yake na yameform vipi miti na mimea ya aina zote yalio baharini, mito maziwa na nchi kavu. Usiniambie miti imetokana na maji bila kuniambia maji kwanza yalitokeaje? na yameform vipi miti na mimea kisayansi.


NB: Bado nasubiria majibu. Mfano:- Nakukumbusha ukiniambia JUICE YA PARACHICHI IMETOKANA NA MAJI, TUNDA PARACHICHI NA SUKARI, NITAKUOMBA UNIAMBIE KWANZA(Formation) ya PARACHICHI LIMETOKA WAPI, MAJI YAMETOKA WAPI NA SUKARI, JE VIMETOKEA TU KIMIUJIZA? Uniambie kisayansi vimetoka wapi kwanza, alafu ndio uniambie process iliyotumika kuform juice ya parachichi
Hivyo vyote ulivyo vitaja vimetokana kwenye chanzo kimoja ULIMWENGU
 
Kama umevisoma wewe hivyo vitabu si vinatosha kwako? Kuna vitabu vingi sana vingine wewe hujavisoma pia lakini wengine wamevisoma! Kwa hivo hatuwezi wote kujikita katika vitabu hivyo peke yake!

Nashukuru umejijibu mwenyewe! Usituletee paradox hapa! Kuna watu werevu kuliko wewe watakuwa wanakushangaa!
 
Kwanza thibitisha shetani yupo na si hadithi za watu tu.

Mimi siamini katika uwepo wa shetani na hivyo siwezi kuwa jasusi wa kitu ambacho siamini kipo.

Huko ndiko kuchanganyikiwa of the highest order! Msameheni huyu mwenzetu jamani kwani hajui kuwa hajui, full stop!
 
Kwanini nikulipe kwenye mjadala? Kwanini unitake nikulipe ikiwa tupo kwenye mjadala wa wazi kabisa.

Haujatoa majibu mpaka sasa yaliyo proved acientifically. Ulichofanya ni kutoa majibu ya kufikirika na ya kimiujiza kitu ambacho kinakuvua na kukuondolea mandate ya wewe kujiita Atheist.

Kwanini?
Kwasababu huwezi kujiita Atheist ikiwa wewe mwenyewe haujui hivyo vitu vyote vimetokeaje (formation) ya hivyo vitu vyote.

Na kama unatoa majibu ya kufikirika na ya vitu kutokea kimiujiza, sasa unatofauti gani na wanaoamini Mungu ndie aliyeumba vitu vyote kwa miujiza yake?

Huyu Atheist hana tofauti na wale wapiga manyanga!
 
Mtu kutoweza kuthibitisha au kushindwa kuthibitisha kuwa Mungu yupo siyo ushahidi kwamba hayupo. Mfano, wewe ukishindwa kuthibitisha kuwa nimeoa siyo ushahidi kuwa sijaoa.
Mungu hayupo si kwa sababu hawezi kuthibitishwa tu, bali ana contractions kibao zinazofanya uwezekano wa yeye kuwepo usiwepo.

Kitendo cha wewe kuoa ama kuolewa hakina contradictions yoyote kiasi kwamba hata mtu asipothibitisha bado una uwezekano wa kuwa umeoa/olewa.

Mungu huwezi kumthibitsha kwa kuwa hayupo, kama unadhani yupo thibitisha uwepo wake.
 
hawa ndo binadamu baada ya kupewa pumzi wanamkufuru muumba wao watakavyo
ivi wewe unaweza ata kuumba nzi wewe unokanusha kua Mungu hayupo? Kiukweli m.damu ni mwenye kumkufuru Mungu wake
Ila wewe endelea kuamini ivo ivo utakuja kuujua ukweli siku ukifa saivi endelea kukaza fuvu ivo ivo
Aliyekwambia Nzi anaumbwa badala ya kuzaliwa nani? Mbona unauliza maswali yaleyale yasiyo na maana?

Kuhusu kufa ili nijue,wewe ulishawahi kufa ukajua huo unaouita ukweli?

Acha kuleta hadithi za uongo hapa, thibitisha uwepo wa huyo Mungu wenu.
 
Hivyo vyote ulivyo vitaja vimetokana kwenye chanzo kimoja ULIMWENGU
Thibitisha kisayansi. (Science Methodology) kwamba ulimwengu umesababishaje hivyo vitu vyote.

Ukiniambia hivyo vitu vimesababishwa na ulimwengu bila uhakikisho wa kisayansi. Jibu lako linakua la kufikirika (without science proof)
 
Aliyekwambia Nzi anaumbwa badala ya kuzaliwa nani? Mbona unauliza maswali yaleyale yasiyo na maana?

Kuhusu kufa ili nijue,wewe ulishawahi kufa ukajua huo unaouita ukweli?

Acha kuleta hadithi za uongo hapa, thibitisha uwepo wa huyo Mungu wenu.
Mkuu unaedai uthibitisho wa uwepo wa Mungu, mbona wewe haujatuthibitishia vitu vyote vimetokea wapi? Kisayansi. Kama unasema hakuna uwepo wa Mungu lazima utakua unajua vitu vyote vimetokea wapi. Tuthibitishie
 
Thibitisha kisayansi. (Science Methodology) kwamba ulimwengu umesababishaje hivyo vitu vyote.

Ukiniambia hivyo vitu vimesababishwa na ulimwengu bila uhakikisho wa kisayansi. Jibu lako linakua la kufikirika (without science proof)
Kupitia bingbang
 
Yani mtu anataka athibitishiwe kitu hali ya kuwa hana hata idea huo uthibitisho unatakiwa ufananaje.
 
Back
Top Bottom