Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Hiki kitabu kimejaribu kuelezea the so called problem of evil.


Nimekipenda sana hiki kitabu kwa sababu kimeelezea real life situations na kujiepusha kujifunga kwa majibu yaliyozoeleka.

Mwisho wa siku Mungu anabaki kuwa Mungu, awe amejibu maombi yako au hajakujibu, awe ameruhusu ugonjwa au uzima, Mungu hafungwi na logic au common sense za kibinadamu, ndio maana akaitwa Mungu.

Kwaajili ya maarifa narecommend mkristo au mtu yeyote yule mwenye uelewa wa Mungu (Biblia) akakisome.
Alafu sisi katuandalia Jehanamu ya moto mkali ,how come God have no mercy to their children?
 
Alafu sisi katuandalia Jehanamu ya moto mkali ,how come God have no mercy to their children?
Sasa kma hutaki kufuata mafundisho yake Mungu akufanye nini? Mtoto wako tu akikosea utampiga au huna huruma na mtoto wako wewe lakini akikosea mbona unampiga? why Mungu asikuadhibu kama umekataa kufuata maamrisho yake?
 
Sasa kma hutaki kufuata mafundisho yake Mungu akufanye nini? Mtoto wako tu akikosea utampiga au huna huruma na mtoto wako wewe lakini akikosea mbona unampiga? why Mungu asikuadhibu kama umekataa kufuata maamrisho yake?
Mtoto wako adhabu gani umempa ya milele inayofanana na moto wa jehanam?
 
Nimekujibu vzr kuwa mna fanya maovu kwakuwa hamuamini kama dini zina habari za kweli mmengua mna iman msingefanya dhambi
Polisi au FFU wakisema jambo fulani msifanye au msiandamane na mkiandamana tutawapiga nina imani hamta andamaana lkn kwanini dini ikisema usiibe usiuwe usizin usidhulumu usiseme uongo wewe hayo mambo unafanya jibu ni kuwa huna unachohofia au kuoogopa
[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mi nadhani Kiranga sio kwamba ahamini uwepo wa Mungu ila yeye tu anataka uthibitisho wa kuwa Mungu yupo na umu wote tumeshindwa mthibitishia naisi apa ni Mungu mwenyewe anapaswa kujionesha kwa kiranga ili amuamini.

nadhani ata siku kama kweli Mungu yupo Mungu akimpa kiranga ajieleze kwanini akumuamini nadhani kiranga anaweza,
kumwambia sikukuamini kwakua sikukuona.

Nadhani swala la kiranga ni Mungu tu mwenyewe aingilie kati kama kweli yupo.

Sent from my TECNO K8 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi unaelewa hujathibitisha mungu wa dini hizo kua hawapo bali umekanusha kwa kuonesha sio wa kweli kwa kulinganisha na madai ya dini yako? (na ni kazi ambayo mimi sijakutuma uifanye)

Though hiyo miungu nayo kwa mujibu wake ina principle zake ambazo zinabidi zifatwe ili uweze kujua ukweli. Hujaonesha kutumia hizo principle kujua ukweli, umetumia principle za dini yako kutafuta ukweli kwa dini zingine (huku ukielewa kua haiwezekani)

Kumbuka nimekutaka uthibitishe miungu tofauti na wako haipo
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa kma hutaki kufuata mafundisho yake Mungu akufanye nini? Mtoto wako tu akikosea utampiga au huna huruma na mtoto wako wewe lakini akikosea mbona unampiga? why Mungu asikuadhibu kama umekataa kufuata maamrisho yake?
Kwa hiyo Mungu wenu ambae mnasema ana uwezo wote, ikiwemo kuyaondoa mabaya ili yasimkasirishe mnamfananisha na binadamu ambae hana uwezo wote?

Hivi kwa akili yako ungekuwa na uwezo wa kutamka tu mwanao asikosee na kweli akashindwa kukosea ungekuwa unajisumbua tena kumchapa kwa lipi?
 
Nikikuunga na wewe unamiini uchawi upo?
Umetumia msamiati unaoitwa uchawi, eleza uchawi ni nini ili nikujibu upo ama haupo.

Mimi nikikuuliza hiki kitu kiitwacho "umukorokwade" kipo ama hakipo unaweza nijibu pasipo mimi kuelezea kwanza umukorokwade ni kitu gani? Uchawi ni nini?
 
Umetumia msamiati unaoitwa uchawi, eleza uchawi ni nini ili nikujibu upo ama haupo.

Mimi nikikuuliza hiki kitu kiitwacho "umukorokwade" kipo ama hakipo unaweza nijibu pasipo mimi kuelezea kwanza umukorokwade ni kitu gani? Uchawi ni nini?
Uchawi (kwa Kiingereza "Witchcraft") ni nguvu zinazotumiwa na watu wenye maarifa maalumu yasiyo ya kisayansi katika jamii nyingi duniani (zikiwemo za Afrika, Asia, Ulaya n.k.), ingawa kuna tofauti nyingi kulingana na mahali au utamaduni.

Lengo lake ni kujaribu bahati ya mtu na kujilinda na maadui wengine kimazingara, au kwa ajili ya kujifurahisha, japo wenye imani potofu hulichukulia maanani na kupandikiza chuki kwa ndugu jamaa hata jirani kuwa ni mchawi.
 
Wapo watu wamewaadhibu watoto wao kwa kuwatia kilema cha maisha na wengine hadi wameua kabisa watoto zao.
Iyo ni individual haijaandikwa popote mtoto umtie kilema au kuua lakini nazungumzia hukumu ya Jehanamu if you go against ten commandments of God as the book of bible said
 
Maarifa yanaweza kukufanya mwenye hekima au mpumbavu
Seminarini mnasali hadi sala inakuwa ni kawaida na sio Imani tena
Muongo umepigwa za mbavu ''upumbavu'' ni kwa mwenye kumuona mpumbavu. lkn ndani yake ni yu Mwelevu wa mwalimu wako! Yesu na hata Manabii wote ndugu zao waliwaona wapumbavu lkn hao ndo waliongea hekima ya Mungu mpaka sasa!

Anae hukumu upumbavu! ni mpumbavu
 
Back
Top Bottom