Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Kiranga alikuwa anasali Kanisa Katoliki. Ilikuwaje akaanza kuamini hakuna Mungu?

Just imagine inawezekanaje mtu mwenye akili kwenda kukanyaga mafuta ya upako, mtu mwenye akili kunena sandandalalababbbbbbbbbb!!!
Mtu mwenye akili kuinamia misanamu, mtu mwenye akili kwenda kutoa siri zake eti anatubu na kumwambia binadamu mwenzake eti asamehewe dhambi zake,.
Wengi wenye akili wameshindwa ku a doubt huu mfumo kwasababu unatakiwa uwe mjinga sana ndio uwe kwenye hizi dini za ajabu.
Kiranga yupo sahihi
Kwaiyo shida yako Ni mfumo wakuabudu au .. mahna zipo dini azifanyi yote hayo but still wanahbudu na wanamuabudu mungu uyo uyo ..
 
Jamii kuwa na mtazamo huo haimaanishi kuwa huo ndiyo uhalisia.

Mpaka leo hii watoto wa jamii zote wanaozaliwa kabla ya kuanza shule ama kupata ufahamu wa kisayansi huwa wanafahamu Jua (SUN) ndilo huzunguka dunia na dunia iko stationary.

Pia, watoto wa jamii hizi zote ukiwauliza kama dunia ni bapa ama duara bila shaka jibu lao litakuwa ni bapa kama sahani.

Lakini pamoja na watoto wa jamii hizi kuwa na mtazamo huo haimaanishi kwamba JUA ndilo huzunguka dunia na dunia ni bapa na iko stationary,

Sijui unayaelewa haya!?
Mnakosea Sana ku mix mambo yaki roho na sayansi ivi Ni vitu viwili tofauti
 
Jamii kuwa na mtazamo huo haimaanishi kuwa huo ndiyo uhalisia.

Mpaka leo hii watoto wa jamii zote wanaozaliwa kabla ya kuanza shule ama kupata ufahamu wa kisayansi huwa wanafahamu Jua (SUN) ndilo huzunguka dunia na dunia iko stationary.

Pia, watoto wa jamii hizi zote ukiwauliza kama dunia ni bapa ama duara bila shaka jibu lao litakuwa ni bapa kama sahani.

Lakini pamoja na watoto wa jamii hizi kuwa na mtazamo huo haimaanishi kwamba JUA ndilo huzunguka dunia na dunia ni bapa na iko stationary,

Sijui unayaelewa haya!?
Joshua 10:12 kweny li biblia lao ina huo huo mtazamo kuwa jua linatembea
 
Haya maswali uliyouliza inaonekana jinsi gani huelewi mambo, au ndio tuseme umejiona umeuliza maswali magumu sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787] maswali yote uliyouliza yanamajibu tena mengine yameshajibiwa karne nyingi zilizopita. Ningetamani nikujibu ila kwasasa nakuacha uendelee kuishi kwenye ujinga wako.
NB: kama sayansi imeshindwa toa jibu basi hamna dini yoyote humu duniani inaweza leta hilo jibu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wala simshangai!!!Pale unapozama kwenye imani fulani ghafla ukagundua hiyo taasisi unayosali ni Idara ya kijasusi inayojitahidi kuitawala Dunia kijamii,kisiasa na kiuchumi!!Hapo Lazima utadata tena sana!!!!
Ila imani ipi ndyo ya kweli? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaelewa kwamba tatizo langu na suala zima la kuwepo kwa Mungu si kuamini?

Unaelewa kwamba kwenye kuamini naweza kuamini Mungu yupo na akawa hayupo?

Unaelewa kwamba ninachoamini mimi si muhimu sana, muhimu zaidi ni ukweli wa mambo?

Kwa nini unajikita kwenye ninachoamini au nisichoamini mimi, badala ya kujikita katika ukweli ulivyo?
Hujawahi kuniangusha mkuu, [emoji122][emoji122] sana.
 
Unamaanisha Wema Sepetu na mpenzi wake Diamond ambao umri wao ni chini ya miaka 40 ukikubali ndiyo wazazi halali wa Rais Mwinyi, Mzee wa Rukhsa mwenye miaka 96 hupungukiwi na chochote siyo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekuuliza Mungu gani? Taja Mungu mmoja tumchambue.

Hujataja Mungu yeyote.

Inawezekana nikakukubalia yupo.

Kuna watu wanaamini Beyonce Mungu wao, hao sijawabishia kwamba Mungu wao Beyonce yupo.

Mungu ni nini? Hujajibu swali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] had BEYONCE? khaaaaaah
 
Jamii kuwa na mtazamo huo haimaanishi kuwa huo ndiyo uhalisia.

Mpaka leo hii watoto wa jamii zote wanaozaliwa kabla ya kuanza shule ama kupata ufahamu wa kisayansi huwa wanafahamu Jua (SUN) ndilo huzunguka dunia na dunia iko stationary.

Pia, watoto wa jamii hizi zote ukiwauliza kama dunia ni bapa ama duara bila shaka jibu lao litakuwa ni bapa kama sahani.

Lakini pamoja na watoto wa jamii hizi kuwa na mtazamo huo haimaanishi kwamba JUA ndilo huzunguka dunia na dunia ni bapa na iko stationary,

Sijui unayaelewa haya!?
Uhalisia juu ya kuabudu au nini
 
Labda ni mhanga wa vile vitendo vya makasisi wa katoliki!😁.

Wengi wao hu-hold grudges na kuishia kwenye upagani.
 
Mimi huwa swali langu napenda kuwauliza hawa watu hii dunia ina miungu mingi yupi sasa sahihi na nani ataitisha hiyo siku ya mwisho kama wanavyosema maana yehova , yesu na allah ni miungu tofauti na kila mmoja anajudgement day yake sasa itakuwaje hiyo siku mmoja akawahi kuitisha parapanda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]watazichapa au
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu ataenda kwa Mungu wake anae muamini.
 
Unauliza swali halafu ukijibiwa unalazimisha jibu lako unalotaka wewe?

Kwa nini unaogopa sana kumtaja huyo Mungu wako tumjadili?

Unamuonea aibu?

Unajua ukimtaja huwezi kutetea uwepo wake?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anamuonea aibu tena? Ila wee mtu jaman daaah
 
Kiranga Ni Genius hawezi kuwa Catholic aanze kuabudu misanamu na kuvaa misalaba.
Binafsi nimekuzwa na Catholic ila nachukia uongo walio ueneza duniani, jitu zima linapigia goti msalaba na kubusu msalaba.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom