Kirefu na maaana ya LLB

Kirefu na maaana ya LLB

Una matatizo ya akili wewe nimesomo kozi zaidi ya 20 ktk LL,B(CRIMINAL LAW,SALES OF GOODS,JURISPRUDENCE I,2,3&,CONTRACT 1&2,EVIDENCE I&2,COOPERATIVE LAW,COMPANY LAW,TAX LAW,LAW OF TORTS,CRIMINAL PROCEDURE,CIVIL PROCEDURE1&2 ,INSURANCE LAW,BANKING LAW nina uelewa mkubwa sana mara1000 zaidi yako tulia wanasheria wasomi tudadavue mada hii kwa manufaa ya LAYMEN wote wa humu jf kama wewe

Unasoma! Mimi nayafanyia kazi mwaka wa 4 huu.
 
Political science unafananisha na LAW? una akili wewe? unadhani kuwa LEARNED ADVOCATE ni rahisi? kozi ya law unafananisha na political science? kozi ya political science haina umuhimu kabisa !

Unasoma Sheria?

Kwani Sheria ina kipi cha upekee saaana kuliko sayansi ya siasa?
Mnaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Ha ha ha haaaaaa haya mkuu said to be "learned" mimi akili ntazitoa wapi bhana nami sio mwanasheria msomi???!!!!!
Indicator za msomi huko sheriani ni zipi kwani???!!!!!

ushaambiwa ALL LAWYERS ARE LEARNED!! kila mwanasheria ni msomii at least engineers,doctors are just learned
 
Haaaaa haaaa pole sana.

Njoo State Attoney (Nyanda za juu kusini-Mby)

Kweli taaluma ya Sheria Imevamiwa.

dah aisee kama wewe ni state attorney basi ni kazi kwelikweli LEGAL REASONING yako iko poor sana hata mkuu mpigamsuli japo bado ni mwanafunzi wa LL,B amekuzidi sana! nahisi utakuwa na diploma au cheti cha sheria siamini kama una LL,B
 
Uzi umegeuka "street fight"....

Ila mtu ana degree moja ya sheria ati na kushinda pale viwanja vya posta sinza "law school" ndio awe msomi kuliko a paediatric surgeon au political scientist!!!!!

Yaani umchukue graduate wa pale Yombo UDSM ajitutumue kuwa msomi mbele ya say Prof Baregu?????!!!!!

Hili neno Learned Lawyer na the like sio kubwa kivile!

Ukifuatilia Vizuri limeshajibiwa mapema sana kwanini wanaitana hivyo.

Halibebi tafsiri ya kuwa wao ni wasomi kuliko Kada zingine za kielimu.
Tatizo ni Wimbi la vijana wa sasa hawaijui asili ya wanasheria kuitana hivyo,wanachojua wao kuwa ukisoma tu dheria wewe ni zaidi ya wengine + inferiority complex iliyopo mtaani juu ya hii professional!

Taaluma imevamiwa,hivyo sishangai sana ninapoziona mada kama hizi Anayejiita msomi anashindwa jenga hoja juu ya matumizi ya neno 'msomi' zaidi anashuka matusi tu.
 
Hili neno Learned Lawyer na the like sio kubwa kivile!

Ukifuatilia Vizuri limeshajibiwa mapema sana kwanini wanaitana hivyo.

Halibebi tafsiri ya kuwa wao ni wasomi kuliko Kada zingine za kielimu.
Tatizo ni Wimbi la vijana wa sasa hawaijui asili ya wanasheria kuitana hivyo,wanachojua wao kuwa ukisoma tu dheria wewe ni zaidi ya wengine + inferiority complex iliyopo mtaani juu ya hii professional!

Taaluma imevamiwa,hivyo sishangai sana ninapoziona mada kama hizi Anayejiita msomi anashindwa jenga hoja juu ya matumizi ya neno 'msomi' zaidi anashuka matusi tu.

Thanx mkuu Activister, kwani mnaojitambua si maandishi yenu tu yanaeleza ila kuna makapi kibao humu ndio yamekariri na kutaka kutumia hilo neno popote kwa sababu yeyote hata kwa negative connotation hawa ndio tunawastua ubongo kidogo kwa mijadala kama hii na wanashindwa kama unavyowaona humu!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
ushaambiwa ALL LAWYERS ARE LEARNED!! kila mwanasheria ni msomii at least engineers,doctors are just learned

First Year Mnamatatizo sana tena sana,jaribuni kutembelea hata kwenye Law firms muone akina 'Learned' Walivyo wanyenyekevu kwa Malayman.

Rudini darasani,msome vizuri asili ya hilo neno na sio kuling'ang'ania huku mkiwa Mbumbumbu wa Sheria.
Kwenye Legal Ethics hamfundishwi Dharau ya kiwango cha juu kama hiki!

Poleni sana Karibuni kwenye Utumishi wa Umma.
 
dah aisee kama wewe ni state attorney basi ni kazi kwelikweli LEGAL REASONING yako iko poor sana hata mkuu mpigamsuli japo bado ni mwanafunzi wa LL,B amekuzidi sana! nahisi utakuwa na diploma au cheti cha sheria siamini kama una LL,B

Sipo kwa Mapambano hapa.
Wewe mwenye LL.B niambie usomi wa Mwanasheria ni upi kuzidi Fani nyingine?
 
dah aisee kama wewe ni state attorney basi ni kazi kwelikweli LEGAL REASONING yako iko poor sana hata mkuu mpigamsuli japo bado ni mwanafunzi wa LL,B amekuzidi sana! nahisi utakuwa na diploma au cheti cha sheria siamini kama una LL,B

Ni LL.B MKUU
 
Sipo kwa Mapambano hapa.
Wewe mwenye LL.B niambie usomi wa Mwanasheria ni upi kuzidi Fani nyingine?

Unajua huwa nawaza hivi...hivi hao wanasheria wasomi huwa wana publish ma journal, mavitabu, na maandiko mengine ya kisomi/ kitaaluma kila mwaka, kwa mfano?

Ningependa sana kusoma publications za baadhi ya hawa mawakili wasomi waliopo humu.
 
Unajua huwa nawaza hivi...hivi hao wanasheria wasomi huwa wana publish ma journal, mavitabu, na maandiko mengine ya kisomi/ kitaaluma kila mwaka, kwa mfano?

Ningependa sana kusoma publications za baadhi ya hawa mawakili wasomi waliopo humu.

Thubutu.
 
Political science unafananisha na LAW? una akili wewe? unadhani kuwa LEARNED ADVOCATE ni rahisi? kozi ya law unafananisha na political science? kozi ya political science haina umuhimu kabisa !


Nimesoma comment zako na za watu wengine ajabu ya dunia kupitia comment zako zilizojaa matundu kibao unaonekana huelewi na hujitambui! Sielewi unafirikiri kwa namna ipi. Tafadhali sana punguza UJUHA wako. Kuwa mstaarabu na heshim fani nyingine.

Iko wapi mantiki ya usemi kidole kimoja hakivunji chawa?


Sent from my iPhone using JamiiForums app.
 
Una matatizo ya akili wewe nimesomo kozi zaidi ya 20 ktk LL,B(CRIMINAL LAW,SALES OF GOODS,JURISPRUDENCE I,2,3&,CONTRACT 1&2,EVIDENCE I&2,COOPERATIVE LAW,COMPANY LAW,TAX LAW,LAW OF TORTS,CRIMINAL PROCEDURE,CIVIL PROCEDURE1&2 ,INSURANCE LAW,BANKING LAW nina uelewa mkubwa sana mara1000 zaidi yako tulia wanasheria wasomi tudadavue mada hii kwa manufaa ya LAYMEN wote wa humu jf kama wewe
Mkuu uko too emotional!!! Kwa hali hii utaweza simama mahakani???
 
unamjua kakini??? manake naona umekuja jumla na mitusi iliyoshiba kwa mwenzio ambaye hata kosa lake halionekani.


Watu wapo full kwa mapambano akuelewe au asikuelewe kwa ulichouliza anakupa za uso, dah hatari sana hii kama ndo wanasheria wetu hao.
 
Na mwanasheria kuna wakati anamuhitaji fundi mwashi, fundi makenika, daktari, mhasibu, fundi umeme, fundi bomba, mchumi, na wataalamu wengineo wengi tu.

Mwanasheria naye hawezi kufanya kila kitu mwenyewe japokuwa ana kidigrii chake kimoja cha sheria.

Na ni kweli, hata wasomi wengine wa fani zingine nao ni wasomi lakini huwaoni wakiitana wasomi kwa sababu wanajua umuhimu wa unyeyekevu. Mtu hajui mambo lukuki lakini bado anajiita msomi. WTF?

Na uko sahihi, kila fani ni muhimu. Ni ujinga kudai kuwa sheria ndo fani bora zaidi au ndo fani inayoheshimika zaidi duniani.

inaonekana unachukizwa na kitendo cha wanasheria kuitwa wasomi,anyway pole sana wanaitwa hivyo na wataendelea kuitwa hivyo tumeikuta na tutayaacha hivyohivyo.Ukipenda waite hao maengineer na wenye fani nyingine wasomi hakitapungua kitu chochote.
 
Back
Top Bottom