Kirumba, Mwanza: Mbao 2-0 Yanga, Yanga yapokea kichapo Cha kwanza na kudondokea nafasi ya nne

Mpira hauchezwi mdomoni,simba alibanwa na mbao kumbukeni maneno yenu,sasa yamewakuta na bado
 
Chozi limenitoka yaani hii team Sijui imekula maharagwe ya wapi...... Jaman yanga kwa nini lakini daaaaah[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
[emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji196] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji196] [emoji196] [emoji196]
 
He..! Mbao hizi hizi za Mwanza.!!Shishi ...na Tambwe walikuwepo? Shangwe za new year zimeshaingia sumu..!
 
Madogo acheni mihemuko. Hii ni ligi sio knockout competition. Safari bado ndefu sana.
Mbao kashinda kihalali. Hatulaumu Refa, TFF na wala hatuendi FIFA kama wale wengine
 
Yanga amepoteza pointi 3, Mikia wamepoteza kombe la FA. The difference is clear!!!
 
Mbao leo wamepaua kbxah na kumaliza kila kitu na kikubwa zaidi wamedhihirixha ubabe wo mbele ya wana yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…