Uko wapi nifah ha ha ha au Yanga fc wamehongwa na Mbao fcNi dhambi kubwa kutokushinda leo,mbao atabeba FA msimu mwingine kwa jitihada zake wenyewe.
Unadhani Matopeni hata wakipanda ndege mwakani watafika mbali basi?
Naam [emoji135]
Sasa hizo baraka zimeshindwa kuwasaidia nyinyi watoa baraka zitaweza kumsaidia mpokea baraka au ndo yale dawa ya utajil huku ukiwa unaishi kwenye hema.Wewe hujui soka piga kimya wenzio akina sembo okwi boban sunzu usione wamekaa kimya ukadhani hawana bando no wanafikiria fainali itakuaje wakiwa wanacheza na mbao yenye baraka za yanga na tff ya malinzi atachofanya yanga ni kubeba premier tu halafu hilo la shirikisho utaona muunganiko wa mbao yanga azam na tff poleni sana mikia
Uko wapi nifah ha ha ha au Yanga fc wamehongwa na Mbao fc
Wakimataifaaaaaaaa
povu sanaKwa mashabik wa yanga haya ni matokeo tuliyoyataka ili mikia iumize vichwa kukutana fainali ya patapotea dhidi ya mbao kwani sasa jangwani anajihakikishia ubingwa wake halali wa vpl na msichofaham mikia ni kuwa mbao wako pamoja na yanga na jiandaen kukutana na fitina za yanga&Malinzi. Nimewaonea huruma sana mikia hamjui lait yanga ingeshinda mngekuwa mmejihakikishia nafas ya kombe la shirikisho? sasa mbao inakuwa kama leicester vile mamaee.
mkuu unataka kufa nini mbona povu jingi?Wewe hujui soka piga kimya wenzio akina sembo okwi boban sunzu usione wamekaa kimya ukadhani hawana bando no wanafikiria fainali itakuaje wakiwa wanacheza na mbao yenye baraka za yanga na tff ya malinzi atachofanya yanga ni kubeba premier tu halafu hilo la shirikisho utaona muunganiko wa mbao yanga azam na tff poleni sana mikia
Jamani eeeeh,asiyekubali kushindwa si mshindani.
Nimekubali tumeshindwa,tumejaribu lakini bahati haikuwa yetu maana hata goli tumejifunga wenyewe.
Hongereni mbao,am out.
Na watafungwa kweli hao simba, mbao wako vizuri sana na yule kipa waliyemnunua last match ameshatimuliwa, wajiandae tuBora Mbao ashinde ili aje achukue kombe la FA na matopeni wabaki matopeni
Soka la bongo lina siasa za kiseng sana
Ha ha ha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mashabiki wa Yanga bwana....hiv kwa nini wanapenda sana ushoga?
Mkuu sio swala la kukubali kufungwa .Wale madogo wanacheza soka!Yanga pia hatakubali kufungwa na mbao anajua lolote laweza tokea ligi haisomeki..
Simba akishinda kanunua game ila Yanga ndo anashinda kihalali [emoji15]Na watafungwa kweli hao simba, mbao wako vizuri sana na yule kipa waliyemnunua last match ameshatimuliwa, wajiandae tu
Kwa mashabik wa yanga haya ni matokeo tuliyoyataka ili mikia iumize vichwa kukutana fainali ya patapotea dhidi ya mbao kwani sasa jangwani anajihakikishia ubingwa wake halali wa vpl na msichofaham mikia ni kuwa mbao wako pamoja na yanga na jiandaen kukutana na fitina za yanga&Malinzi. Nimewaonea huruma sana mikia hamjui lait yanga ingeshinda mngekuwa mmejihakikishia nafas ya kombe la shirikisho? sasa mbao inakuwa kama leicester vile mamaee.
Mama mimi ni yanga na nilikuwepo uwanjani, nimekubali tumefungwa, kiukweli wapiga randa wako vizuri wamatopeni a.k.a walalamishi wajipange. Na hiyo mechi tff waipeleke nje ya dar ili mkia achezee kichapo vizuriKama shabiki wa kutupwa wa Yanga,sina wasiwasi kabisa.
Naamini tunaumaliza mchezo kipindi cha kwanza...sisi sio watani wetu wanaosubiri kipindi cha pili ndipo 'wabahatishe' kushinda,mostly ushindi mwembamba.
Tukutane hapa saa 10 guys.
Makoye Matale Bantu lady Mbulu data nasmapesa nyumba tatu Mwana Mtoka Pabaya demigod Mgagaa na Upwa espy Monicca mkolaj Sibonike Danny greeny Matola na Wanajangwani wote tuwe hapa kuusindikiza ushindi tusiwe kama watani zetu wasio na matumaini ya ushindi wa ndani ya dakika 90,hadi mpira uishe (tena washinde) ndio wavamie jukwaa hahahaaaaaa
Viva Yanga [emoji123]
Kuna mchezaji alienda kutoa hola hola langon kwa mbao