Kirumba, Mwanza: Mbao FC yaifunga Yanga 1-0 na kutinga Fainali za FA

Kirumba, Mwanza: Mbao FC yaifunga Yanga 1-0 na kutinga Fainali za FA

Ni dhambi kubwa kutokushinda leo,mbao atabeba FA msimu mwingine kwa jitihada zake wenyewe.
Unadhani Matopeni hata wakipanda ndege mwakani watafika mbali basi?

Naam [emoji135]
Uko wapi nifah ha ha ha au Yanga fc wamehongwa na Mbao fc

Wakimataifaaaaaaaa



08ac3eab2f6c0375a2cb9d47ede1e568.jpg
 
Jamani muwe mnaongea vitu vya maana, Yanga timu? Timu gani kila mwaka wao kazi kula dozi tu kimataifa, hivi hawachoki tu hawa vihiyo?
 
Wewe hujui soka piga kimya wenzio akina sembo okwi boban sunzu usione wamekaa kimya ukadhani hawana bando no wanafikiria fainali itakuaje wakiwa wanacheza na mbao yenye baraka za yanga na tff ya malinzi atachofanya yanga ni kubeba premier tu halafu hilo la shirikisho utaona muunganiko wa mbao yanga azam na tff poleni sana mikia
Sasa hizo baraka zimeshindwa kuwasaidia nyinyi watoa baraka zitaweza kumsaidia mpokea baraka au ndo yale dawa ya utajil huku ukiwa unaishi kwenye hema.
 
Kwa mashabik wa yanga haya ni matokeo tuliyoyataka ili mikia iumize vichwa kukutana fainali ya patapotea dhidi ya mbao kwani sasa jangwani anajihakikishia ubingwa wake halali wa vpl na msichofaham mikia ni kuwa mbao wako pamoja na yanga na jiandaen kukutana na fitina za yanga&Malinzi. Nimewaonea huruma sana mikia hamjui lait yanga ingeshinda mngekuwa mmejihakikishia nafas ya kombe la shirikisho? sasa mbao inakuwa kama leicester vile mamaee.
povu sana
 
Wewe hujui soka piga kimya wenzio akina sembo okwi boban sunzu usione wamekaa kimya ukadhani hawana bando no wanafikiria fainali itakuaje wakiwa wanacheza na mbao yenye baraka za yanga na tff ya malinzi atachofanya yanga ni kubeba premier tu halafu hilo la shirikisho utaona muunganiko wa mbao yanga azam na tff poleni sana mikia
mkuu unataka kufa nini mbona povu jingi?
kibao kimoja cha makalio chaaliii
 
Jamani eeeeh,asiyekubali kushindwa si mshindani.
Nimekubali tumeshindwa,tumejaribu lakini bahati haikuwa yetu maana hata goli tumejifunga wenyewe.

Hongereni mbao,am out.

Bila shaka ' Ubao ' wa Shemela yetu ' utakufariji ' vizuri sana leo Mkuu baada ya ' Mbao ' ya Mwanza ' kung'ang'ania '.
 
Bora Mbao ashinde ili aje achukue kombe la FA na matopeni wabaki matopeni
Na watafungwa kweli hao simba, mbao wako vizuri sana na yule kipa waliyemnunua last match ameshatimuliwa, wajiandae tu
 
Na watafungwa kweli hao simba, mbao wako vizuri sana na yule kipa waliyemnunua last match ameshatimuliwa, wajiandae tu
Simba akishinda kanunua game ila Yanga ndo anashinda kihalali [emoji15]
 
aah jamani tumemkosa mke wetu yanga kaingia period uko mwanza daaaa nimeumia sana mana nilipanga nimpe kazi ya maana daaa ndo basi tena...acha nimsubiri mchepuko wangu mbao
 
Kwa mashabik wa yanga haya ni matokeo tuliyoyataka ili mikia iumize vichwa kukutana fainali ya patapotea dhidi ya mbao kwani sasa jangwani anajihakikishia ubingwa wake halali wa vpl na msichofaham mikia ni kuwa mbao wako pamoja na yanga na jiandaen kukutana na fitina za yanga&Malinzi. Nimewaonea huruma sana mikia hamjui lait yanga ingeshinda mngekuwa mmejihakikishia nafas ya kombe la shirikisho? sasa mbao inakuwa kama leicester vile mamaee.

Sawa Mkuu ila ' Mbao ' imekatikia ' kunako ' pole sana.
 
Kama shabiki wa kutupwa wa Yanga,sina wasiwasi kabisa.
Naamini tunaumaliza mchezo kipindi cha kwanza...sisi sio watani wetu wanaosubiri kipindi cha pili ndipo 'wabahatishe' kushinda,mostly ushindi mwembamba.

Tukutane hapa saa 10 guys.
Makoye Matale Bantu lady Mbulu data nasmapesa nyumba tatu Mwana Mtoka Pabaya demigod Mgagaa na Upwa espy Monicca mkolaj Sibonike Danny greeny Matola na Wanajangwani wote tuwe hapa kuusindikiza ushindi tusiwe kama watani zetu wasio na matumaini ya ushindi wa ndani ya dakika 90,hadi mpira uishe (tena washinde) ndio wavamie jukwaa hahahaaaaaa

Viva Yanga [emoji123]
Mama mimi ni yanga na nilikuwepo uwanjani, nimekubali tumefungwa, kiukweli wapiga randa wako vizuri wamatopeni a.k.a walalamishi wajipange. Na hiyo mechi tff waipeleke nje ya dar ili mkia achezee kichapo vizuri
 
Back
Top Bottom