Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
hiyo sauti ni yako mrangi ?😂😂😂😂
hivi ule mpango wako wa kuondoka duniani uliishia wapi baba sule?Hata hapa gengeni tumejazana kinoma
Mama gire kpandisha nyanya moja mia tano
Nyie [emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Corona imekuja na hela nini? Unapata wapi ujasiri wa kwenda kununua stock ya vyakula kwenye supermarket usawa huu kama sio ulongo??Watu wamejaa raia wa nje na wa ndani wananunua bidhaa kwa foleni isiyo ya kawaida, watu wamejaza vyakula, pedi, na vitu vingine vingi kwa pamoja na si kawaida, wafanyakazi wamevaa mask gloves. Mashelf yana magepu daah
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Temeke nako kuna supermarket? Ongera JPMWatu wamejaa raia wa nje na wa ndani wananunua bidhaa kwa foleni isiyo ya kawaida, watu wamejaza vyakula, pedi, na vitu vingine vingi kwa pamoja na si kawaida, wafanyakazi wamevaa mask gloves. Mashelf yana magepu daah
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh huyu labda haijui shoppers supermarket.
Hapana nlitumiwa hyo cliphiyo sauti ni yako mrangi ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mh huyu labda haijui shoppers supermarket.
Wengine tuko kwa mangi tunapiga mambo yetuHata hapa gengeni tumejazana kinoma
Mama gire kpandisha nyanya moja mia tano
Nyie [emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
Crowd hio kwa shoppers Masaki mida ya jioni ndio kawaida.Sahv kila mtu Kawa mtaalam
Kila mtu Kawa ripotaa [emoji23][emoji23]
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Nlishaondoka mkuuhivi ule mpango wako wa kuondoka duniani uliishia wapi baba sule?
yote kwa yote furaha yetu ni kuona comments zako jf tuna amini uko happy sass hivi roho wa Mungu yu ndani yako.
HAHAHAHAHA! Sasa toilet paper za nini?!Kesho naenda na mimi kuzoa toilet paper za kutosha super market kama mabeberu walivyofanya.
We we baki huko huko chatoTemeke ipi na sisi tuje kumalizia
Za kunywea chai[emoji16][emoji16]HAHAHAHAHA! Sasa toilet paper za nini?!
haha sina kazi nazo nilikuwa natania kwa kile kinachoendelea huko dunia ya kwanza. Mtu unapanik unapigana supermarket kugombania toilet paper!?? Aibu sana.HAHAHAHAHA! Sasa toilet paper za nini?!