#COVID19 Kirusi kipya aina ya Lambda chagundulika huko Peru, chanjo haziwezi kukizuia

#COVID19 Kirusi kipya aina ya Lambda chagundulika huko Peru, chanjo haziwezi kukizuia

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Taarifa mpya ni kwamba, kirusi cha Covid 19 ambacho kinajibadili ama mutate kila siku kimekuja na aina mpya ya kirusi kinaitwa Lambda. Lambda imegundulika huko nchini Peru.

Kirusi cha Lambda kimeonyesha kua hizi chanjo zilizopo haziwezi kukizuia, kiko resistance dhidi ya chanjo zilizopo.

Kumbuka pia kua nchi za Ulaya na Marekani ama nchi tajiri zinajipanga kuanza kutoa chanjo nyingine ili kuipa nguvu chanjo iliyopo. Kwa maana kwamba kama umechanjwa sasa, utahitaji chanjo nyingine ili kuopa nguvu chanjo ya awali dhidi ya Delta.

Soma zaidi hapa chini👇

 
It's not true that vaccines haziwezi kupatikana ili kuidhibiti korona kabisa; variants wanaendelea kuibuka kwa sababu idadi ya death toll haijatimia kama walivyopanga mabourgeoisies kwenye huu mradi wao wa kupiga hela na kuharibu uumbaji wa Mola.
 
Upo sahihi Mkuu
Na wala siyo kweli kwamba korona ndio ugonjwa wa kwanza kutengenezwa na hao maduntitu ya kuzimu. Remember Ebola, Zika, UKIMWI, etc. Those guys are after one thing: TOTAL CONTROL of humanity. They seek to tell you what to do, what to eat, where to go, walk and sleep, and even who to worship.

NB: I tend to believe that those of us who appreciate the Bible are very lucky, because these things have been well documented therein since time immemorial.
 
It's not true that vaccines haziwezi kupatikana ili kuidhibiti korona kabisa; variants wanaendelea kuibuka kwa sababu idadi ya death toll haijatimia kama walivyopanga mabourgeoisies kwenye huu mradi wao wa kupiga hela na kuharibu uumbaji wa Mola.
Halafu wanaoitwa wataalamu wa serikali, wanafanya hila kulazimisha watu wachanjwe kwa kuwa ni wajinga. Nilitegemea mtu mwenye uchungu na miasha ya watu, alitakiwa akazanie sana tiba na kinga salama. Hizi propaganda kwenye uhai wa binadamu japokuwa ni majuha, zitazaa majuto muda si mrefu. Siyo kila kitu ni usahbiki wa misimamo ya kisiasa.

Ninashangaa sana watu miburura wasiotaka hata kuchukua dakika moja kujiuliza maswali ya msingi kuhusu hiiki kitu wanachopelekewa. Wanajua kabisa seri.k.l imefanya makos mengi katika maamuzi na baadaye ikakiri hadharani kukosea. Vipi wakisema waliamua vibaya wakati maisha ya watu na vizazi vyao tayari viko mikononi mwa shtani?
 
Halafu wanaoitwa wataalamu wa serikali, wanafanya hila kulazimisha watu wachanjwe kwa kuwa ni wajinga. Nilitegemea mtu mwenye uchungu na miasha ya watu, alitakiwa akazanie sana tiba na kinga salama.
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
Na wala siyo kweli kwamba korona ndio ugonjwa wa kwanza kutengenezwa na hao maduntitu ya kuzimu. Remember Ebola, Zika, UKIMWI, etc. Those guys are after one thing: TOTAL CONTROL of humanity. They seek to tell you what to do, what to eat, where to go, walk and sleep, and even who to worship.

NB: I tend to believe that those of us who appreciate the Bible are very lucky, because these things have been well documented therein since time immemorial.
So Biblia yako haikuletwa na hao Maduntitu?
 
Halafu wanaoitwa wataalamu wa serikali, wanafanya hila kulazimisha watu wachanjwe kwa kuwa ni wajinga. Nilitegemea mtu mwenye uchungu na miasha ya watu, alitakiwa akazanie sana tiba na kinga salama.
Shetani yupi Mkuu. Vewe tulia Kama hutaki kuchanja wenzio tunachanja!
 
Hivi kwanini tuna hofu sana na hizi chanjo kisa zimetengenezwa na wazungu? Kwanini hatuogopi wala kujiuliza juu ya dini hizi zilizoletwa na haohao wazungu?

Hawa jamaa walshatu-brainwash kitambo sana sema tu waafrika hatupendi kuutafuta ukweli. Hivi hizi dini mnazoringa nazo na kusema ninyi ni wana wa mungu hamuoni kama ni hatari kuliko hata chanjo? This is BULLSHIT!!
 
Hivi kwanini tuna hofu sana na hizi chanjo kisa zimetengenezwa na wazungu? Kwanini hatuogopi wala kujiuliza juu ya dini hizi zilizoletwa na haohao wazungu? Hawa jamaa walshatu-brainwash kitambo sana sema tu waafrika hatupendi kuutafuta ukweli. Hivi hizi dini mnazoringa nazo na kusema ninyi ni wana wa mungu hamuoni kama ni hatari kuliko hata chanjo? This is BULLSHIT!!
Watz wanashangaza sana
 
Back
Top Bottom