#COVID19 Kirusi kipya aina ya Lambda chagundulika huko Peru, chanjo haziwezi kukizuia

#COVID19 Kirusi kipya aina ya Lambda chagundulika huko Peru, chanjo haziwezi kukizuia

Unaweka update ya chanjo, wenyewe wanaita busta , kama unavyoupdate windows kwenye kompyuta[emoji1787]
Watu watachanjwa kuliko wachawi [emoji1787] kitu cha booster kipo njiani! Sh*t
 
FFor
Na wala siyo kweli kwamba korona ndio ugonjwa wa kwanza kutengenezwa na hao maduntitu ya kuzimu. Remember Ebola, Zika, UKIMWI, etc. Those guys are after one thing: TOTAL CONTROL of humanity. They seek to tell you what to do, what to eat, where to go, walk and sleep, and even who to worship.

NB: I tend to believe that those of us who appreciate the Bible are very lucky, because these things have been well documented therein since time immemoria
For sure by introducing these kinds of vaccine.... NWO want to test their order...to see how people can obey their order to control the whole world.
 
FFor

For sure by introducing these kinds of vaccine.... WNO want to test their order...to see how people can obey their order to control the whole world.
Maandalizi ya NWO! Watu wanafikiri NWO itakuja ghafla, itakuja laini hivi hivi! Viongozi wa dini wakikubali scientists wasio na hofu ya Mungu kutuongoza ni hatari sana.
 
So Biblia yako haikuletwa na hao Maduntitu?
I am saying the Word of God. Na kwa taarifa yako Biblia huijui chanzo chake wala aliyeileta na ndiyo sababu unataka kuiambatanisha na chuki zako za kishetani. Hujui, nyamaza lisije kukupata baya kuliko la pale mwanzo.
 
Mashabiki wa Chanjo na waliopata Chanjo hawawezi kuchangia Uzi huu .
 
Shetani yupi Mkuu. Vewe tulia Kama hutaki kuchanja wenzio tunachanja!
Ninatimiza wajibu wangu. Una uhuru wa kukubali na kutii ama kukataa na kuasi!. Matokeo yake utayaona katika kila uchaguzi unaofanya.
Vipi hiyo Bible unayoiamini, ililetwa na nani?
Kama wewe humui Mungu, huwezi kuongelea habari ya Biblia kwa kuwa hiyo ni kwa werevu tu.
 
Maandalizi ya NWO! Watu wanafikiri NWO itakuja ghafla, itakuja laini hivi hivi! Viongozi wa dini wakikubali scientists wasio na hofu ya Mungu kutuongoza ni hatari sana.
Sasa Viongozi wa Dini wenyewe ndo wamekuwa maagents wao ....kuna kupona apo kweli....ikitokea kiongozi wa nchi Fulani anapinga iyo michakato ya janjo na corona kwa ujumla ...ujue anajiandaa kufa..
 
Hivi kwanini tuna hofu sana na hizi chanjo kisa zimetengenezwa na wazungu? Kwanini hatuogopi wala kujiuliza juu ya dini hizi zilizoletwa na haohao wazungu?

Hawa jamaa walshatu-brainwash kitambo sana sema tu waafrika hatupendi kuutafuta ukweli. Hivi hizi dini mnazoringa nazo na kusema ninyi ni wana wa mungu hamuoni kama ni hatari kuliko hata chanjo? This is BULLSHIT!!
Cc
Screenshot_20210804-093123_Instagram.jpg
 
Don't take any kind of vaccine because, even if you take it...you will still wear mask...and even got corona virus... So why do we need vaccines..?
And you will even die from corona virus, ni mambo ya ajabu.
 
Ujinga ni kitu kibaya sana. Na wazungu ohili walilijua mapema. Waliwekeza sana kwenye dini tukawaona wajinga, sasa wanatutawala kwa dini yao ambayo imetupumbaza. Muambudu bwana Mungu wako ila sio dini zao.
Hivi kwanini tuna hofu sana na hizi chanjo kisa zimetengenezwa na wazungu? Kwanini hatuogopi wala kujiuliza juu ya dini hizi zilizoletwa na haohao wazungu?

Hawa jamaa walshatu-brainwash kitambo sana sema tu waafrika hatupendi kuutafuta ukweli. Hivi hizi dini mnazoringa nazo na kusema ninyi ni wana wa mungu hamuoni kama ni hatari kuliko hata chanjo? This is BULLSHIT!!
 
Kwani mara ya kwanza kuwa na pandemic mwaka huu. Kulikuwa na spanish flu 1918. Iliua watu mil 500. Nyie wenye imani za kichawi mnafikiri kuna mtu anawaroga.
It's not true that vaccines haziwezi kupatikana ili kuidhibiti korona kabisa; variants wanaendelea kuibuka kwa sababu idadi ya death toll haijatimia kama walivyopanga mabourgeoisies kwenye huu mradi wao wa kupiga hela na kuharibu uumbaji wa Mola.
 
Sasa Viongozi wa Dini wenyewe ndo wamekuwa maagents wao ....kuna kupona apo kweli....ikitokea kiongozi wa nchi Fulani anapinga iyo michakato ya janjo na corona kwa ujumla ...ujue anajiandaa kufa..
Ni kweli tena wapo wengi.
 
Aya mambo haya twendeni taratibu tu kwanza.
 
Taarifa mpya ni kwamba, kirusi cha Covid 19 ambacho kinajibadili ama mutate kila siku kimekuja na aina mpya ya kirusi kinaitwa Lambda. Lambda imegundulika huko nchini Peru.

Kirusi cha Lambda kimeonyesha kua hizi chanjo zilizopo haziwezi kukizuia, kiko resistance dhidi ya chanjo zilizopo.

Kumbuka pia kua nchi za Ulaya na Marekani ama nchi tajiri zinajipanga kuanza kutoa chanjo nyingine ili kuipa nguvu chanjo iliyopo. Kwa maana kwamba kama umechanjwa sasa, utahitaji chanjo nyingine ili kuopa nguvu chanjo ya awali dhidi ya Delta.

Soma zaidi hapa chini👇


Lambda ni kwey mgosi
 
Ngoma ngumu lambda anaupiga mwingi...
 
Back
Top Bottom