kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,257
- 12,244
Kwa hiyo tuna new model tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo tuna new model tena?
Kwahiyo sisi tuliochanjwa tumefanya kazi bure...?
WALAANIWE WABUNIFU WA BIASHARA HII YA KUUZA CHANJO KWA LAZIMA AU HATA KWA KUKUKOPESHA LENGO NI KUYAPA MATAIFA ULIMWENGUNI MZIGO WA MADENI HASA MASIKINI ILI KUDUMISHA KUYAKALIA UTOSINI VIZURI WESTERNER WAMESHAONA BILA KUYAKALIA UTOSINI WATAGEUKA NYANYA MDA SIO MREFU
Ahahaha! Ani ukitafakari San unaweza SEMA ukaishi porini na nyani huko aaahahHatuna uhakika tunavyoviabudu ni kweli au laah, hatuna uhakika kama mungu tunaeaminishwa yupo au hayupo, nimekuja kugundua tunaishi ili tufe, haijalishi wanachokiwaza wazungu kuhusu sisi kama ni kweli wanafanya mabaya juu yetu au hawafanyi, mwisho wa siku wote watakufa TU.
😆 😆 😆 😆Dunia yasasa inataka strong people na intelligent lasivyo sisi akina tia mchuzi tutaendeshwa Kama gari bovu!
Nipo jamiiforum mkuuUpo wapi maana unahitaji ulinzi maana suo kwa madini haya
Mungu yupo, ila dini zimeletwa na watu na kuchakachua Ukuu wa Mungu Ili usionekane ila watu waamini hadithi na wajiwekee ukomo wa kumtafuta Mungu na kuwa karibu naye.Kwanza ili ijibu swali hili ni lazima ujiulize wewe kama
Unaamini Mungu yupo au la?
Kwamba ni Mungu wa wazungu tu au waafrika au kila jamii na Mungu wao?
Kwamba huyo Mungu ana uwezo?
Baada ya hayo utakuja kwa kile kinaendelea duniani.
Na pia utajiuliza je kuna sehemu Mungu anatumiwa isivyo sahihi, ili kufanikisha malengo ya kibinadamu.
Ukishjua Mungu yupo mengine utaenda kirahisi, maana Mungu hayuko kwenye control za wanadamu, wala hazuiliwi kueleweka kwa wengineMungu yupo, ila dini zimeletwa na watu na kuchakachua Ukuu wa Mungu Ili usionekane ila watu waamini hadithi na wajiwekee ukomo wa kumtafuta Mungu na kuwa karibu naye.
Nyie ndio mpatapo shida hushinda kulialia na Kumlilia Mungu ambaye hata humjui na huwa haumtambui Ila ukipata vishida vyako vya magojwa kufiwa mpendwa wako ndio unaanza kumlilia Mungu sijui unamlilia Mungu yupi?Hivi kwanini tuna hofu sana na hizi chanjo kisa zimetengenezwa na wazungu? Kwanini hatuogopi wala kujiuliza juu ya dini hizi zilizoletwa na haohao wazungu?
Hawa jamaa walshatu-brainwash kitambo sana sema tu waafrika hatupendi kuutafuta ukweli. Hivi hizi dini mnazoringa nazo na kusema ninyi ni wana wa mungu hamuoni kama ni hatari kuliko hata chanjo? This is BULLSHIT!!
So utaka kusema kuwa Mungu wapo wengi asa by the way et,, maan sisi tunayemjua yupo ndo huyo ambaye ni missionaries walileta ... Simple question, imagine wewe hapo ungezaliwa tu na mama yako akuoeleke ukaishi India au China... The arudi akuache ulelewe na watu wanaoabudu Mungu akiitwa BUDHA au miungu mingne huko ambayo huw tunaisiki kwa wenzetu wahindi na wachina kuamini kwayo... Then ukiw mtu mzima ivoo uje huk tz ungekubaliana na Imani ya kikiristo????!! Ahahahah ko unakuja gundua kwamba mambo mengne n NATURE NDIO INAYAENDESHA Wakuu Cjui tunaelewana hapo.....Mungu yupo, ila dini zimeletwa na watu na kuchakachua Ukuu wa Mungu Ili usionekane ila watu waamini hadithi na wajiwekee ukomo wa kumtafuta Mungu na kuwa karibu naye.
Walileta wao, japo walitwist maandiko kwa faida yao.So Biblia yako haikuletwa na hao Maduntitu?