Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Kwani mara ya kwanza kuwa na pandemic mwaka huu. Kulikuwa na spanish flu 1918. Iliua watu mil 500. Nyie wenye imani za kichawi mnafikiri kuna mtu anawaroga.
It's not true that vaccines haziwezi kupatikana ili kuidhibiti korona kabisa; variants wanaendelea kuibuka kwa sababu idadi ya death toll haijatimia kama walivyopanga mabourgeoisies kwenye huu mradi wao wa kupiga hela na kuharibu uumbaji wa Mola.