#COVID19 Kirusi kipya aina ya Lambda chagundulika huko Peru, chanjo haziwezi kukizuia

Kwani mara ya kwanza kuwa na pandemic mwaka huu. Kulikuwa na spanish flu 1918. Iliua watu mil 500. Nyie wenye imani za kichawi mnafikiri kuna mtu anawaroga.
It's not true that vaccines haziwezi kupatikana ili kuidhibiti korona kabisa; variants wanaendelea kuibuka kwa sababu idadi ya death toll haijatimia kama walivyopanga mabourgeoisies kwenye huu mradi wao wa kupiga hela na kuharibu uumbaji wa Mola.
 
It's not true that vaccines haziwezi kupatikana ili kuidhibiti korona kabisa; variants wanaendelea kuibuka kwa sababu idadi ya death toll haijatimia kama walivyopanga mabourgeoisies kwenye huu mradi wao wa kupiga hela na kuharibu uumbaji wa Mola.
I somehow I concur with you. It has always been & always will be about making money (I mean a lot of money).

👇👇👇👇👇
 

Attachments

So Biblia yako haikuletwa na hao Maduntitu?
Vipi hiyo Bible unayoiamini, ililetwa na nani?
Tumieni akili basi.

Mnajua bible ina miaka mingapi toka ifike mikononi mwetu??
Na mnajua wazo wa kuiongoza dunia limewajia hawa watu lini!!!

Ili hoja iwe na nguvu popote lazima uelewe unachokiongea kwanza.
 
Nyie ndio mpatapo shida hushinda kulialia na Kumlilia Mungu ambaye hata humjui na huwa haumtambui Ila ukipata vishida vyako vya magojwa kufiwa mpendwa wako ndio unaanza kumlilia Mungu sijui unamlilia Mungu yupi?
Yote uliyoyataja sijawahi kuyafanya na kamwe sitokuja kuyafanya, shida na changamoto zipo kwa ajili ya kuimarisha fikra zetu na si vinginevyo, mnaojidai mna yesu ndani yenu ndo mnaongoza hata kwa maovu nenda kachunguze mkuu. Madhaifu yenu na kutokuwajibika kwenu mnamsingizia shetani, mnajificha nyuma ya dini kuhalalisha uhalifu na ukishaharibu badala ya kukubali umekosea eti unasingizia SHETANI ALINIPITIA, shetani wapi ww tumieni akili zenu vizuri. Kama mungu alikuumba kwa mfano wake ya nini kila siku kulialia shida?? Tupambaneni waafrika haya yote (dini) yapo kwa ajili ya kutugawa ili tukose nguvu. Cheki kuna wapumbavu kila siku wanajilipua na kuua ndugu zao eti kisa dini, wtf!! Huo ni utumwa wa kifikra AMKA MWAFRIKA.
 
'''WALAANIWE WOTE WALIOBUNI AINA HII YA BIASHARA ILI WATENGENEZE CHANJO WAUZE NA KUZIKOPESHA NCHI MASIKINI ILI WAENDELEE KUZIDUMAZA KWA KUZIDAI MADENI YATAKAYODUMU MILELE""

izo nchi masikini hazijakatazwa kutengeneza chanjo zao
 
Akili matope
It's not true that vaccines haziwezi kupatikana ili kuidhibiti korona kabisa; variants wanaendelea kuibuka kwa sababu idadi ya death toll haijatimia kama walivyopanga mabourgeoisies kwenye huu mradi wao wa kupiga hela na kuharibu uumbaji wa Mola.
 
Utopolo. Akili zako kama za Zinjathropus
 
Akili za kuvukia barabara hizi
Hii ni project na kashfa nzito ya dunia! Ila kama Mungu aishivyo ndivyo atavyolinda kazi yake. Werevu umevuka mipaka!
 
Kwa nini unatumia kichwa chako kama mfuko wa kubebeba meno tu?
 
anaetunga hayo majina ni nani huyo ndo tumbane vizuri kuna kitu anakijua mara deta mara Lampada aaaah[emoji28]
 
Chanjo inazuia

Acha urongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…