Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
It's not true that vaccines haziwezi kupatikana ili kuidhibiti korona kabisa; variants wanaendelea kuibuka kwa sababu idadi ya death toll haijatimia kama walivyopanga mabourgeoisies kwenye huu mradi wao wa kupiga hela na kuharibu uumbaji wa Mola.
I somehow I concur with you. It has always been & always will be about making money (I mean a lot of money).It's not true that vaccines haziwezi kupatikana ili kuidhibiti korona kabisa; variants wanaendelea kuibuka kwa sababu idadi ya death toll haijatimia kama walivyopanga mabourgeoisies kwenye huu mradi wao wa kupiga hela na kuharibu uumbaji wa Mola.
So Biblia yako haikuletwa na hao Maduntitu?
Tumieni akili basi.Vipi hiyo Bible unayoiamini, ililetwa na nani?
Yote uliyoyataja sijawahi kuyafanya na kamwe sitokuja kuyafanya, shida na changamoto zipo kwa ajili ya kuimarisha fikra zetu na si vinginevyo, mnaojidai mna yesu ndani yenu ndo mnaongoza hata kwa maovu nenda kachunguze mkuu. Madhaifu yenu na kutokuwajibika kwenu mnamsingizia shetani, mnajificha nyuma ya dini kuhalalisha uhalifu na ukishaharibu badala ya kukubali umekosea eti unasingizia SHETANI ALINIPITIA, shetani wapi ww tumieni akili zenu vizuri. Kama mungu alikuumba kwa mfano wake ya nini kila siku kulialia shida?? Tupambaneni waafrika haya yote (dini) yapo kwa ajili ya kutugawa ili tukose nguvu. Cheki kuna wapumbavu kila siku wanajilipua na kuua ndugu zao eti kisa dini, wtf!! Huo ni utumwa wa kifikra AMKA MWAFRIKA.Nyie ndio mpatapo shida hushinda kulialia na Kumlilia Mungu ambaye hata humjui na huwa haumtambui Ila ukipata vishida vyako vya magojwa kufiwa mpendwa wako ndio unaanza kumlilia Mungu sijui unamlilia Mungu yupi?
'''WALAANIWE WOTE WALIOBUNI AINA HII YA BIASHARA ILI WATENGENEZE CHANJO WAUZE NA KUZIKOPESHA NCHI MASIKINI ILI WAENDELEE KUZIDUMAZA KWA KUZIDAI MADENI YATAKAYODUMU MILELE""
It's not true that vaccines haziwezi kupatikana ili kuidhibiti korona kabisa; variants wanaendelea kuibuka kwa sababu idadi ya death toll haijatimia kama walivyopanga mabourgeoisies kwenye huu mradi wao wa kupiga hela na kuharibu uumbaji wa Mola.
Na wala siyo kweli kwamba korona ndio ugonjwa wa kwanza kutengenezwa na hao maduntitu ya kuzimu. Remember Ebola, Zika, UKIMWI, etc. Those guys are after one thing: TOTAL CONTROL of humanity. They seek to tell you what to do, what to eat, where to go, walk and sleep, and even who to worship.
NB: I tend to believe that those of us who appreciate the Bible are very lucky, because these things have been well documented therein since time immemorial.
Hii ni project na kashfa nzito ya dunia! Ila kama Mungu aishivyo ndivyo atavyolinda kazi yake. Werevu umevuka mipaka!
Walioandaa Covid na Chanjo zake wana nguvu kuliko serikali yoyote duniani. Washindani wao walikuwa Trump na Magufuli tu. Trump alijaribu kuhoji chimbuko la covid na usahihi wa mbinu zinazotangazwa na WHO wakamuondoa kwa kura za maruhani za njia ya posta na email. Sasa China inafikiria kuwazuilia masomo watoto ambao wazazi wao hawataki chanjo. Sie akina yakhe tutawezaje kukwamisha mipango yao?
Hayo meno yenyewe ninayo kwani?Kwa nini unatumia kichwa chako kama mfuko wa kubebeba meno tu?
Chanjo inazuiaTaarifa mpya ni kwamba, kirusi cha Covid 19 ambacho kinajibadili ama mutate kila siku kimekuja na aina mpya ya kirusi kinaitwa Lambda. Lambda imegundulika huko nchini Peru.
Kirusi cha Lambda kimeonyesha kua hizi chanjo zilizopo haziwezi kukizuia, kiko resistance dhidi ya chanjo zilizopo.
Kumbuka pia kua nchi za Ulaya na Marekani ama nchi tajiri zinajipanga kuanza kutoa chanjo nyingine ili kuipa nguvu chanjo iliyopo. Kwa maana kwamba kama umechanjwa sasa, utahitaji chanjo nyingine ili kuopa nguvu chanjo ya awali dhidi ya Delta.
Soma zaidi hapa chini👇
Inazuia nini?Chanjo inazuia
Acha urongo