kantalambaz
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 1,878
- 887
Huu uzushi wa virusi utaisha lini?Nimeikuta hii habari kwenye ukurasa wa Millard Ayo. Kirusi hicho ni hatari zaidi ya kile cha mwanzo.
Kinashambulia kinga za mwili mara mbili zaidi ya kile cha awali. Mpaka sasa hakuna dawa wala chanjo ya hicho kirusi.
Corona inasuasua, hapa tusipokuwa makini tutapatikana.View attachment 2107848View attachment 2107849
Ulikua uemshamiri kwenye COVID19 sasa naona umehamia kwenye UKIMWI.