Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuhiz hauui mbona unatibika kabisa kiasil na Weng wanapona mkuu
Huko mbele watazalisha vitu vya ajabu ili vije vipambane na mwafika.yani waafrika sijui tumewakosea nini hawa wazungu, wanatuwinda kweli kutuangamiza na sisi wala hatuna habari nao kwa lolote
Wameki update kiwe kama cha mwaka 80 kile😅😅😅Aisee kirusi cha mchongo
Ukifuatilia lazma umkute mmiliki wa Windows anahusika katika ku fund mchongoNew business.
Ndio mwenye nyege za kupitiliza.Hapo mtu mweus is the main target 🎯🎯🎯
ARV zinagonga mwamba , unapukutika unabaki kichwa, unafukiwa chini na 2kgWameki update kiwe kama cha mwaka 80 kile😅😅😅
HahahahahahhARV zinagonga mwamba , unapukutika unabaki kichwa, unafukiwa chini na 2kg
Tusiwatie simanzi ndugu zetu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya Ukimwi.ARV zinagonga mwamba , unapukutika unabaki kichwa, unafukiwa chini na 2kg
[emoji16] pombe tenA[emoji1787][emoji1787]Tusiwatie simanzi ndugu zetu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya Ukimwi.
Ila pombe hizii!...
Wafrika wanapewa ARV bure hawauziwi Sasa malalamiko ya ninAsee sio muda tutaambiwa dawa za kufubaza zimegunduliwa watu waleee wanapiga pesa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hapo sasa yaan uwiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatzo gonjwa lenyewe limekaa mahali pabaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ARV zinagonga mwamba , unapukutika unabaki kichwa, unafukiwa chini na 2kg
Pombe zinatupa ujasiri wa kuteleza bila Condom.[emoji16] pombe tenA[emoji1787][emoji1787]