Kirusi kipya cha HIV kimegunduliwa Uholanzi

Mimi nimeshateleza mara kadhaa halafu asubuhi najuta na kusaga meno

Pombe ndio chanzo kikubwa cha kuchochea maambukizi.
Nilichukua malaya wanapojiuza nilikataa kutumia ndomu mamak akili inaludi asubuh
 
Na kama ulisugua sawasawa hapo ndio unayachukua madudu.
kuna ck nyingine tena nilichkua dem samk samk nimeenda nae lodg nimepiga kavu chakwanza nataka niingie chapili haaaa kwenye mataka ana vidonda halaf bado vibichi kabisa vinatoa damdam, pombe zote zilinitoka
 
Ushasema hakina kinga wala tiba,sasa unajikinga nacho vp?kikubwa ni kuomba MUNGU atusimamie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…