Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Hapana, wawashughulikie mabeberu moja kwa moja hukohuko kwao kabla hawajafika kwetu kuungana na wapinzani kuwashughulikia wana-lumumba.
 
mkuu tena ni mpuuzi wa kiwango cha majnun..Tanzania na hiko kijiji cha watutsi Rwanda what the f...,,
 
kwenye huo msafara nasikia mkuu alikuwa komando kapensi kutoka viunga vya Ngarenaro
 
Ukipenda vichekesho vya namna m-dm mtoa mada😂🤣🤣🤣🤣😂
 
Mambo ya jeshi huwezi kujua wewe, funga tu.
nifunge nini km buti ni miaka kadhaa kabla hujazaliwa
unaleta porojo wakati hata mitaa ya Kigali huijui
kuweka supporting link tufuatilie huna/ huwezi
unadhani ni kijiwe cha khawa
unajua Kagame kakaa msituni miaka mingapi?unamjua Mtikila? Kombe? na Mwansheria wetu
watoto mliojiunga mwaka jana 2017 msitudanganye
weka link sio Facebook hapa
 
Hao uliowataja wamefanyeje?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vizuri zaidi jeshi hilo liwe ndiyo tume ya taifa ya uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…