Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Kabisa, na hakutaka habari hizi zifike BBC, DW, CNN na kwingineko maana ni fedheha kwa nchi.
Naona hiz habar zimefika kwenye vyombo vikubwa tu vya habar kama JF..ndio maana hata rais Buhari akaisifia JF yetu maana ni noma kwa "classified info"
πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜›

Mkuu Freed Freed umeniacha hoi sana kwa huu uzi wako.
Ahahahahahah
 
Mkuu Oii comment yako hii ni yakibabe sanaa mzee na hasa hapo ulipogusia issue ya Bujumbura na Nkurunzinza aisee nilimuogopa sana Jk , Membe na Jw.Yan niliwaogopa mno kwa walivypindua meza kirahis namna ile na sinaga details za kutosha how possible and easly this was achieved!..Huyu GENTAMYCINE inawezekana akawa na kitu lakin i advice him asijivune kiasi hicho.
Halaf sijui ni kwann wao wanajiona wana uwezo na akil namna hiyo?Mbona Rwanda ni nchi maskin sanaaa??? Achna na huu uchumi wa kwenye makaratasi ambao hata sisi tuna ambiwaga unakua kila siku
 
Mi naona ubora wa pande mbili hupimwa kwa kupambana sasa kila mtu anaongea lake ivi troops,tools,na zana zingine za kila jeshi nani anazijua tuwe tuna andika simba na yanga nani yupo juu sio habar ya majeshi apo ni habar nyingine ni mtazamo tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania sio wajinga Kwa kiasi hicho mnachotuaminisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hata kama ni kwel kwamba kila idara kuna mtutsi (kitu ambacho sikatai maana hata mm nilipokua pale Tosamaganga high school iringa nimesoma na nao wawil mmoja pcm - huyu kwa sasa ni mwanajeshi anaitwa nzeymana na mwingine alisoma cbg-huyu sasa ni education officer) Je kama sisi watu wa kawaida kabisa tusio na utaalam wa inteligensia tumweza kuwagundu ,vp kuhusu watua wanohusika na usalama wa nchi hii??
Yaan kabisa bodi ya mikopo na aerikal inasomesha watu wanaitwa kwa mjina yenye identity ya ki tutsi na ki hutu na inawapa mkopo halaf ishindwe kuwa aware about what is going on??Kwel ukaingizwe jeshin na jina unaitwa Nzeymana halaf wana uslama wa jeshi wakae kizoba zoba tu wasiwe na time na ww hii inawezekana vp?

Kama wao wanahis wamepandikiza watu wao huku wawe na uhakika pia sisi tunao sio watanzania tu bali tuna mpaka wa tutsi wanaotumika kwa manufaa yetu katika nchi yao.!!

Na kwakua tunajua wao ni wabaguz sana wanatambua kwa pua na sura hivyo ni rahis kuwajua watz ndio maana tukaamua kuwatumia wanyarwanda wenzao kabisaaa ili wajue kama wenzao kumbe ni mapandikizi.

Pale mkoa wa tabora kuna eneo kabisa linaitwa ututsini na wamejaa sana watutsi hiv unafikir serikal na vyombo vya usalama ni wajinga sana wasiwe wanawafuatilia hawa watu.Wawe na uhakika kuna watus wanaotumika sana sana sana sana kwa manufaa na interest za kibongo hili wajue kabisa.

Na kuthibitisha hili chukulia mfano simple tu juz kati hata mwez haujaisha zilikamatika sare za jeshi kwenye kambi za wakimbiz ambazo wao wwnyewe ndio wanaishi ..sasa unafikir haya yote yanawezekana vp kama sio ninyi kwa ninyi ndio mnatumika kwa manufaa yetu.Alikuzid kakuzid tu ila kwakua tunapenda kukaa kimya ndio maana mnatuona kama namna gan.

Tume train sana wasomi wenu na bado tuna train askari wenu kwenye vyuo vyetu vya kiusalama mfano pale Arusha wewe bwana GENTAMYCINE .Najua mnatujua lakin pia tunawafahamu fika ndo maana wala hatuna tabu na nyie.

Nimeshangaa sana hili suala la kusema eti kuna wa tutsi wengi ma spy hapa bongo!Mbona hicho ni kitu cha kawaida sanaaaa kwa dunia ya sasa!! Nani aaifaham suala la counter intelligence kwa dunia ya sasa ya kijasus??

Kwahiyo jamaa anadhan kila mchina au mwarabu pale CIA au FBI basi wako kimakosa pale??
 
Eti Uzi wa kiboya, embu rudia tena nikusikie!!
 
Kama vile huamini nilichokileta humu.
 
Yaani kiongozi nimechoka! Mods wanavyopenda kufuta na kuunganisha nyuzi kama mafundi cherehani wameuacha huu uzi mpaka leo! This is very intriguing to say the least. Huu uzi ni chai, yaani chai..lakini uzi unatrend! Mdogo mdogo tutafika page 20. Naona watu wanatukanana na kutishiana kabisaπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyu jamaa atakua anacheka sana amvyocheza na akil za watu jins wanavyotoana mapovu.
Sema jamaa nadhan nia yake ni kuleta ule ushindan kati ya rwanda na bongo ila katumia njia tofauti..
 
Kunasiku nilimuuliza jamaa mmoja ambaye tunaishi nae jirani ni TPDf special force (capt) mbona daily upo bzy na mision ya kongo ulisha maliza

Akanambia wana mision nyingi sanaa.Hata juzi walikuwa Rwanda kwa classified mission
Nilijaribu mdodosa akanambia pk anatia biti sasa Jk kaamua kumuonyesha uwezo wake
Kuna mambo mengi yanafanyika chini kwa chini huwezi yajua labda tu uwe karibu na hao jamaa

Jwtz ni imara sanaa kuliko tunavyo dhani!!
Hata Europeans wana recognize kuwa ni jeshi imara sanaa
 
KAGAME HUYU AMBAYE ANASHINDWA KULALA USINGIZI SAWASAWA KWA KUWAOGOPA WAASI??...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Kila nchi huwaaminisha watu wao kuwa jeshi lao ni kali sana. Ni propaganda za kidola tu
 
Nikushauri tu ni vyema ukae kimya kwa maana waonyesha wewe ujui chochote kuhusu nchi zote mbili,wew uijui rwanda wala tz mambo unayoongea unajiokotea tu kwa kuilinda heshima yako na kujifunza kuhusu ulimwengu
FILA DE PUTA PURKERIA MALOKA.
Vita aipigwani kwa kuongea tu na kujitutumua na kutoa rugha za ghazabu wewe ujui kitu kaa Kimya uijui Tz na uijui mipango ya Tz uijui Rwanda na uijui mipango ya Rwanda unaonekana mchanga bado ktk kuzungumzia uwezo wa izi nchi mbili,nikudokeze tu ndugu yangu kagame anaiitaji Tz kuliko unavyofikili wewe ana uadui na hii nchi kwa maslahi yake na Tz pia tunamuitaji kwa maslahi yetu na hatuna uadui km unavyoaminisha watu humu na kuwajengea hofu kwa Ku tu unauwezo wa kuandika na kuwasilisha mawazo yako na kingine kajifunze kuhusu Rwanda zaidi alafu ndio ujikombe na nakujipendekeza kwa maana wewe uijui vzr .........


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za kusadikika zina mahala pake,km ukuzitoa ktk kijiwe cha madalali basi kwenye kahawa km sio kahawani basi chini ya muembe pale zinapowaka sana lkn kwa watu smart na wenye kujielewa uwezo pata hbr km iz kwa maana izo sehemu nilizotaja lazima ujitoe ufahamu ili uweze hata kukaa hapo story yeyote inaaminiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…