Naona hiz habar zimefika kwenye vyombo vikubwa tu vya habar kama JF..ndio maana hata rais Buhari akaisifia JF yetu maana ni noma kwa "classified info"Kabisa, na hakutaka habari hizi zifike BBC, DW, CNN na kwingineko maana ni fedheha kwa nchi.
Mkuu Oii comment yako hii ni yakibabe sanaa mzee na hasa hapo ulipogusia issue ya Bujumbura na Nkurunzinza aisee nilimuogopa sana Jk , Membe na Jw.Yan niliwaogopa mno kwa walivypindua meza kirahis namna ile na sinaga details za kutosha how possible and easly this was achieved!..Huyu GENTAMYCINE inawezekana akawa na kitu lakin i advice him asijivune kiasi hicho.Fara mbwa koko na watutsi wenzako you think are superior, y'all will become null, bare in mind, Kagame's last visit, he was summoned na serikali. Sasa wewe nzi unaandika upuuzi humu, shows how dumb you are.
Kagame na wenzako mlishampindua nkurunzinza alivyokuja Tz, uliza bujumbura ni wanaume gani walimrudisha na kupiga kimyakimya hao watutsi walompindua an elected sitting president.
Nyie, nyie. Dawa yenu ipo jikoni. Ndio adabu itawashika racist pigs.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atakua mutu ya malawi hii
Na hata kama ni kwel kwamba kila idara kuna mtutsi (kitu ambacho sikatai maana hata mm nilipokua pale Tosamaganga high school iringa nimesoma na nao wawil mmoja pcm - huyu kwa sasa ni mwanajeshi anaitwa nzeymana na mwingine alisoma cbg-huyu sasa ni education officer) Je kama sisi watu wa kawaida kabisa tusio na utaalam wa inteligensia tumweza kuwagundu ,vp kuhusu watua wanohusika na usalama wa nchi hii??
Acha zakoKahawa kwa mkate aisee! mbona haiendi lete kashata bhana [emoji2211]
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti Uzi wa kiboya, embu rudia tena nikusikie!!Ahahahhahaah....umeonae mkuu!uzi wa kiboya ila una trend balaa.ila nilichopenda ni kwamba wadau wanakuja na alternative arguments zinazofanya topic iwe interesting.Though hawaujadil exactly uzi wwnyewe ila wana come na ideas zinazohusiana na hawa watu wawil na hiz nchi mbili
Kama vile huamini nilichokileta humu.Naona hiz habar zimefika kwenye vyombo vikubwa tu vya habar kama JF..ndio maana hata rais Buhari akaisifia JF yetu maana ni noma kwa "classified info"
πππππ
Mkuu Freed Freed umeniacha hoi sana kwa huu uzi wako.
Ahahahahahah
Wewe utakuwa mwanajeshiWatanzania kwa ubishi wenu hamtaamini. Aminini jeshi lenu lina uwezo mkubwa sana.
Yaani kiongozi nimechoka! Mods wanavyopenda kufuta na kuunganisha nyuzi kama mafundi cherehani wameuacha huu uzi mpaka leo! This is very intriguing to say the least. Huu uzi ni chai, yaani chai..lakini uzi unatrend! Mdogo mdogo tutafika page 20. Naona watu wanatukanana na kutishiana kabisaππAhahahhahaah....umeonae mkuu!uzi wa kiboya ila una trend balaa.ila nilichopenda ni kwamba wadau wanakuja na alternative arguments zinazofanya topic iwe interesting.Though hawaujadil exactly uzi wwnyewe ila wana come na ideas zinazohusiana na hawa watu wawil na hiz nchi mbili
Huyu jamaa atakua anacheka sana amvyocheza na akil za watu jins wanavyotoana mapovu.Yaani kiongozi nimechoka! Mods wanavyopenda kufuta na kuunganisha nyuzi kama mafundi cherehani wameuacha huu uzi mpaka leo! This is very intriguing to say the least. Huu uzi ni chai, yaani chai..lakini uzi unatrend! Mdogo mdogo tutafika page 20. Naona watu wanatukanana na kutishiana kabisaππ
πππInawezekanaAtakua mutu ya malawi hii
KAGAME HUYU AMBAYE ANASHINDWA KULALA USINGIZI SAWASAWA KWA KUWAOGOPA WAASI??...Eti jenerali , Fieldmarshal atishwe na Kanali.
Kagame linapokuja kwenye suala la kijeshi ni hatari!.
-Kapindua
-Kamuondoa Mobutu
-Kawashughulikia Interahamwe
Hawezi kukaa Rwanda kibwegebwege yuko fiti, yuko njema. Ila kama inatokea vita ya kiukweliukweli na bongo atapigwa kwa technical knockout kwa sababu tu ya internal divisions za Uhutu na Utusi, ila nchi yake ingekuwa United, Kagame yuko njema sana
Kunasiku nilimuuliza jamaa mmoja ambaye tunaishi nae jirani ni TPDf special force (capt) mbona daily upo bzy na mision ya kongo ulisha maliza
Akanambia wana mision nyingi sanaa.Hata juzi walikuwa Rwanda kwa classified mission
Nilijaribu mdodosa akanambia pk anatia biti sasa Jk kaamua kumuonyesha uwezo wake
Kuna mambo mengi yanafanyika chini kwa chini huwezi yajua labda tu uwe karibu na hao jamaa
Jwtz ni imara sanaa kuliko tunavyo dhani!!
Hata Europeans wana recognize kuwa ni jeshi imara sanaa
Vita aipigwani kwa kuongea tu na kujitutumua na kutoa rugha za ghazabu wewe ujui kitu kaa Kimya uijui Tz na uijui mipango ya Tz uijui Rwanda na uijui mipango ya Rwanda unaonekana mchanga bado ktk kuzungumzia uwezo wa izi nchi mbili,nikudokeze tu ndugu yangu kagame anaiitaji Tz kuliko unavyofikili wewe ana uadui na hii nchi kwa maslahi yake na Tz pia tunamuitaji kwa maslahi yetu na hatuna uadui km unavyoaminisha watu humu na kuwajengea hofu kwa Ku tu unauwezo wa kuandika na kuwasilisha mawazo yako na kingine kajifunze kuhusu Rwanda zaidi alafu ndio ujikombe na nakujipendekeza kwa maana wewe uijui vzr .........FILA DE PUTA PURKERIA MALOKA.
Halo JF siasa.
Niende madani hapo juu.
Ktk kipindi cha mwaka 2013 hadi 2015 kulikuwa na mgogoro wa kibinafsi na baadae kiinchi kati ya wababe Rais Kikwete na kagame wa Rwanda. Kiini cha mgogoro ni ushauri wa Jk kwa Pk juu ya waasi wa FDLR.
Sasa kutokana na mgogoro wao huo kila moja alipanga kumwonesha mwenzie yeye nani. Kikwete akatuma kikosi maalumu cha makomando kutoka Tz na kuingia Kigali usiku wa manane na kuiteka nyumba anayolala kagame na walifanikiwa kwa asilimia 100% kuingia ktk jiji hilo bila kutambulika.
Baadae kikosi hicho tiifu kilivunja milango na kuingia ndani ambapo walimkamata Rais kagame ambapo aliamua kwa huruma ya kutoweshwa usiku huo kumwomba Jk msamaha kwa njia ya simu huku makomando wa Tz wakisimama chumbani mwake.
Baadae Jk alimwambia mkuu wa operesheni kuwa wamwache na warudi nyumbani na akamwambia kagame kuanzia siku hiyo azibe mdomo wake vinginevyo atajuta.
Nyumba hiyo ya kagame ipo mitaani Kigali na sio Ikulu kwani kagame amegoma kuishi ndani ya Ikulu tangu awe Rais kwa sababu ajuazo yeye. Wakati hayo yakijiri walinzi wote wa nyumba walikuwa washamalizwa na kikosi kazi hicho kabla ya kuingia viunga vya nyumba hiyo ya Rais wa nchi ndogo inayoibuka kiuchumi na kitechnolojia kwa kasi kwa sasa. Rais kagame hakutaka habari hizi zivuje maana ni aibu kwa nchi huru.
Ee Mola tunashukuru kwa Busara zilizotumika kipindi hicho vinginevyo...........