Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Kisa cha kutafakarisha na kufikirisha juu ya Kikwete na Kagame

Umemsimuliwa Kagame wewe humjui
Angeniambia walimteka na kuondoka nae na kumleta Tanzania hapo kidogo ningeamini.
Sababu kama walinzi wake wote walizimwa kusingekuwa na mtu wa kutoa taarifa kwa majeshi.
Kama kungetokea mtu ameona na kutoa taarifa basi PK angetumika kama ngao wasishambuliwe kwa kuogopa kumdhuru raisi wao, ndiyo maana nimesema wangeondoka nae ningeamini kweli iliwezekana.

Wangemuachia angeita majeshi na hao makomando wasingewahi kuvuka mipaka kutoka RW, mziki ungekuwa mnene sana.
 
Angeniambia walimteka na kuondoka nae na kumleta Tanzania hapo kidogo ningeamini.
Sababu kama walinzi wake wote walizimwa kusingekuwa na mtu wa kutoa taarifa kwa majeshi.
Kama kungetokea mtu ameona na kutoa taarifa basi PK angetumika kama ngao wasishambuliwe kwa kuogopa kumdhuru raisi wao, ndiyo maana nimesema wangeondoka nae ningeamini kweli iliwezekana.

Wangemuachia angeita majeshi na hao makomando wasingewahi kuvuka mipaka kutoka RW, mziki ungekuwa mnene sana.
Jamaa anatuletea story za primary hapa
 
Nilijua mtabisha
Ni kweli jw walifika mpaka chigale ila hawakumpata PK na adhabu kubwa aliyopewa PK ni kuvurugwa kwa m-23 (hili lilikuwa ni zaidi ya pigo coz M-23 walikuwa na plan ndefu Hawa ndio walikuwa master plan wa kivu republic)

Na kurudishwa kwa wahamiaji haramu(hii ilienda sambamba na counter intelligence yupo demu mmoja namjui vzr alikuwa ni spy due to this mission alivurugwa akili now day ni mwehu)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli jw walifika mpaka chigale ila hawakumpata PK na adhabu kubwa aliyopewa PK ni kuvurugwa kwa m-23 (hili lilikuwa ni zaidi ya pigo coz M-23 walikuwa na plan ndefu Hawa ndio walikuwa master plan wa kivu republic)

Na kurudishwa kwa wahamiaji haramu(hii ilienda sambamba na counter intelligence yupo demu mmoja namjui vzr alikuwa ni spy due to this mission alivurugwa akili now day ni mwehu)

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa huyo Mwehu yupo wapi
 
Pumbavu Rwanda haina huo uwezo hata kidogo
Huwa nashangaa kuwasifu majeshi ya Kenya, Uganda, DRC , Burundi, Zambia,Malawi,Zimbabwe, Somalia, Ethiopia, Sudanizote mbili, Msumbuji na hicho kiichi Rwanda tena hiki tunapeleka JKT tu.

Tanzania ni nchi yenye jeshi zuri sana kwa ukanda huu wa kusini labda South kidogo anaweza kutusumbua lakini sio hao kenge wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa nashangaa kuwasifu majeshi ya Kenya, Uganda, DRC , Burundi, Zambia,Malawi,Zimbabwe, Somalia, Ethiopia, Sudanizote mbili, Msumbuji na hicho kiichi Rwanda tena hiki tunapeleka JKT tu.

Tanzania ni nchi yenye jeshi zuri sana kwa ukanda huu wa kusini labda South kidogo anaweza kutusumbua lakini sio hao kenge wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna online TV kule you tube inaitwa Displore wametaja majeshi 10 bora Africa. Ni Uganda na Kenya tu hapa Africa Mashariki zimetajwa. Kenya wamebebwa na bajeti kubwa ya jeshi huku Uganda ikibebwa na Ndege nyingi na za kisasa za mashambulizi. Nilitamani niwafikie niwacharaze bakora maana hawakuitaja wala kuifikiria Tanzania ktk 10 best militaries in Africa.
 
Halo JF siasa.

Niende madani hapo juu.

Ktk kipindi cha mwaka 2013 hadi 2015 kulikuwa na mgogoro wa kibinafsi na baadae kiinchi kati ya wababe Rais Kikwete na kagame wa Rwanda. Kiini cha mgogoro ni ushauri wa Jk kwa Pk juu ya waasi wa FDLR.

Sasa kutokana na mgogoro wao huo kila moja alipanga kumwonesha mwenzie yeye nani. Kikwete akatuma kikosi maalumu cha makomando kutoka Tz na kuingia Kigali usiku wa manane na kuiteka nyumba anayolala kagame na walifanikiwa kwa asilimia 100% kuingia ktk jiji hilo bila kutambulika.

Baadae kikosi hicho tiifu kilivunja milango na kuingia ndani ambapo walimkamata Rais kagame ambapo aliamua kwa huruma ya kutoweshwa usiku huo kumwomba Jk msamaha kwa njia ya simu huku makomando wa Tz wakisimama chumbani mwake.

Baadae Jk alimwambia mkuu wa operesheni kuwa wamwache na warudi nyumbani na akamwambia kagame kuanzia siku hiyo azibe mdomo wake vinginevyo atajuta.

Nyumba hiyo ya kagame ipo mitaani Kigali na sio Ikulu kwani kagame amegoma kuishi ndani ya Ikulu tangu awe Rais kwa sababu ajuazo yeye. Wakati hayo yakijiri walinzi wote wa nyumba walikuwa washamalizwa na kikosi kazi hicho kabla ya kuingia viunga vya nyumba hiyo ya Rais wa nchi ndogo inayoibuka kiuchumi na kitechnolojia kwa kasi kwa sasa. Rais kagame hakutaka habari hizi zivuje maana ni aibu kwa nchi huru.


Ee Mola tunashukuru kwa Busara zilizotumika kipindi hicho vinginevyo...........
Mbona umewahisha kuituma, ilitakiwa tarehe 1 April 2020
 
wabongo walivyo washenzi hawakumfanyia kitu mbaya kweli huyo mkuu wa nchi jirani
Halo JF siasa.

Niende madani hapo juu.

Ktk kipindi cha mwaka 2013 hadi 2015 kulikuwa na mgogoro wa kibinafsi na baadae kiinchi kati ya wababe Rais Kikwete na kagame wa Rwanda. Kiini cha mgogoro ni ushauri wa Jk kwa Pk juu ya waasi wa FDLR.

Sasa kutokana na mgogoro wao huo kila moja alipanga kumwonesha mwenzie yeye nani. Kikwete akatuma kikosi maalumu cha makomando kutoka Tz na kuingia Kigali usiku wa manane na kuiteka nyumba anayolala kagame na walifanikiwa kwa asilimia 100% kuingia ktk jiji hilo bila kutambulika.

Baadae kikosi hicho tiifu kilivunja milango na kuingia ndani ambapo walimkamata Rais kagame ambapo aliamua kwa huruma ya kutoweshwa usiku huo kumwomba Jk msamaha kwa njia ya simu huku makomando wa Tz wakisimama chumbani mwake.

Baadae Jk alimwambia mkuu wa operesheni kuwa wamwache na warudi nyumbani na akamwambia kagame kuanzia siku hiyo azibe mdomo wake vinginevyo atajuta.

Nyumba hiyo ya kagame ipo mitaani Kigali na sio Ikulu kwani kagame amegoma kuishi ndani ya Ikulu tangu awe Rais kwa sababu ajuazo yeye. Wakati hayo yakijiri walinzi wote wa nyumba walikuwa washamalizwa na kikosi kazi hicho kabla ya kuingia viunga vya nyumba hiyo ya Rais wa nchi ndogo inayoibuka kiuchumi na kitechnolojia kwa kasi kwa sasa. Rais kagame hakutaka habari hizi zivuje maana ni aibu kwa nchi huru.


Ee Mola tunashukuru kwa Busara zilizotumika kipindi hicho vinginevyo...........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli jw walifika mpaka chigale ila hawakumpata PK na adhabu kubwa aliyopewa PK ni kuvurugwa kwa m-23 (hili lilikuwa ni zaidi ya pigo coz M-23 walikuwa na plan ndefu Hawa ndio walikuwa master plan wa kivu republic)

Na kurudishwa kwa wahamiaji haramu(hii ilienda sambamba na counter intelligence yupo demu mmoja namjui vzr alikuwa ni spy due to this mission alivurugwa akili now day ni mwehu)

Sent using Jamii Forums mobile app
Ohoo ya kweli haya!
 
Halo JF siasa.

Niende madani hapo juu.

Ktk kipindi cha mwaka 2013 hadi 2015 kulikuwa na mgogoro wa kibinafsi na baadae kiinchi kati ya wababe Rais Kikwete na kagame wa Rwanda. Kiini cha mgogoro ni ushauri wa Jk kwa Pk juu ya waasi wa FDLR.

Sasa kutokana na mgogoro wao huo kila moja alipanga kumwonesha mwenzie yeye nani. Kikwete akatuma kikosi maalumu cha makomando kutoka Tz na kuingia Kigali usiku wa manane na kuiteka nyumba anayolala kagame na walifanikiwa kwa asilimia 100% kuingia ktk jiji hilo bila kutambulika.

Baadae kikosi hicho tiifu kilivunja milango na kuingia ndani ambapo walimkamata Rais kagame ambapo aliamua kwa wasiwasi wa kutoweshwa usiku huo kumwomba Jk msamaha kwa njia ya simu huku makomando wa Tz wakisimama chumbani mwake.

Baadae Jk alimwambia mkuu wa operesheni kuwa wamwache na warudi nyumbani na akamwambia kagame kuanzia siku hiyo azibe mdomo wake vinginevyo atajuta.

Nyumba hiyo ya kagame ipo mitaani Kigali na sio Ikulu kwani kagame amegoma kuishi ndani ya Ikulu tangu awe Rais kwa sababu ajuazo yeye. Wakati hayo yakijiri walinzi wote wa nyumba walikuwa washamalizwa na kikosi kazi hicho kabla ya kuingia viunga vya nyumba hiyo ya Rais wa nchi ndogo inayoibuka kiuchumi na kitechnolojia kwa kasi kwa sasa. Rais kagame hakutaka habari hizi zivuje maana ni aibu kwa nchi huru.


Ee Mola tunashukuru kwa Busara zilizotumika kipindi hicho vinginevyo...........
Matango pori.
 
Back
Top Bottom