Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 479
- 727
Hahahha murisyaLeo endelea murisya.
😀😀😀😀Vile Vumilia anafuatilia hii story hapa JF👇😁😁😁
View attachment 2692910
Pretty soonBado tu wajameni??
No muendelezo??
naomba ukae apo kwenye bench umsubirie ....Duh... Huu ndio ubaya wa nyuzi za JF.
Siku ya tatu leo tunapita kimya kimya bila muendelezo wa uzi.naomba ukae apo kwenye bench umsubirie ....
hahahahahaha, mkuu kwa coment yako hii, nimegundua arosto inauma kishenzi, nimepata picha kwanini mademu wanapata muhaho pale tunapowaahidi kuwatumia hela..,.Siku ya tatu leo tunapita kimya kimya bila muendelezo wa uzi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] umeimagine vilivyo mkuu. Huu uzi una tuvitu vitu. Na ulipofikia hapaswi kuishia hapohahahahahaha, mkuu kwa coment yako hii, nimegundua arosto inauma kishenzi, nimepata picha kwanini mademu wanapata muhaho pale tunapowaahidi kuwatumia hela..,.