Kisa cha ''magaidi'' wawili: Sheikh Ramadhani Rajab Chambuso na Sheikh Ahmada Kidege

Kisa cha ''magaidi'' wawili: Sheikh Ramadhani Rajab Chambuso na Sheikh Ahmada Kidege

Niliwahi kufika kijiji cha Ziba na ibologero, wale jamaa wanaojenga misikiti nadhani ni waarabu, wanajenga msikiti na kuchimba visima vya maji, sasa ikawapo jumuia kwa mzee mmoja kwenye kuelekea kufunga wakaaswa wawe makini maana magaidi wameanza kuingia pale kijijini habari ilinistua sana maana jamaa kua na ndevu ilikua kosa au uislamu wao ndio kosa halafu wanajenga na kuondoka zao na kuwaachia vitu vyote kijijini, toka hapo nilijifunza sana kuhukumu watu kwa ujumla wao ni kosa kubwa sana unaweza kulifanya kwa kutofahamu
I do not generalize. Hata mwanzo nilisema wapo masheikh wanaswali wanafunga wanaendelea na maisha yao. Ila kama unapreach incitement to radicalism unapaswa kushughulikiwa
 
Toa mfano wa mafundisho ya uislamu yanayohamasisha ugaidi halafu ujue mimi sio muslim lakini nilipata elimu kubwa na mtambuka ya mambo ya kidunia na kujisomea journals mbali mbali za wanazuoni na kufahamu mengi,
Hujawahi kuona interviews za Sheikh Usama Bin Laden?
 
Kama magaidi wapo wa dini zote why tuwahukumu waislamu pekee au wale Tamil Tygers wao ni waasi sio magaidi halafu wale wa kenya mungiki ni waasi hawakua magaidi ?
Sasa ukienda na approach hii hata wanaoingia bank kuiba utawaita magaidi
 
I do not generalize. Hata mwanzo nilisema wapo masheikh wanaswali wanafunga wanaendelea na maisha yao. Ila kama unapreach incitement to radicalism unapaswa kushughulikiwa

Hebu nenda hata youtube ulete hayo mafundisho tuone mawaidha yalilenga kufundisha nini?
 
Basi sawa ila naamini unamfahamu huyu bwana Abu Ubaidah Al Banshiri ambaye alikufa kwenye MV Bukoba.


Sio mara ya kwanza tanzania kuhusishwa na ugaidi. Shambulio la 1998 magaidi wa kitanzania walihusika. Na kama watu wa al qaeda wanaweza kuja kujificha hapa lazima wana watu wanaowakaribisha na kuwahifadhi. Sasa ukionekana una misimamo mikali na unafundisha radicalism kwa vijana, watu watakuja kukutembelea ili wajiridhishe ni nini lengo lako. Mahakama kuweza kuthibitisha au kutothibitisha haimaanishi kuwa eti sio magaidi. Kuna majambazi na wezi huwa wanakamatwa na kesi wanashinda na mwisho wao huwa wanauliwa mitaani kwa sababu huwa wanashinda mahakamani kwa sababu ya loop holes za kisheria.

Watu walijaribu kuutingisha mbuyu hapa tanzania, circa 2014-16. Na wakashughulikiwa vizuri tu.
Planet...
Mimi sina tatizo na hilo.

Nmeandika mazito kuliko hayo wewe unadhani ni maneno ya kusema, ''wakashughulikiwa vizuri.''

Hayo yaneeleza mengi kuhusu wewe.

Kuua watu kwa dhana ni dhulma na hili Waislam tulitahadharisha baada ya Bunge kupitisha sheria ya Ugaidi.

Mimi nimezungumza ukweli mbele ya Wamarekani wenyewe na kwa hakika walinishughulikia si kwa kuwa nilikuwa gaidi ila kwa kuwa niliwashinda kwa hoja.

Lakini watu wenye akili zao walitaka kujua Mohamed Said ni nani katika jamii ya Waislam wa Tanganyika.

Walipitia kila kitabu, kila makala niliyoandika, kila video niliyozungumza kuhusu siasa za Tanzania na Waislam.

Nembo ya ugaidi haikuweza kunienea.
Iko siku nitaeleza haya.

Mwishowe Wamarekani wenyewe walininialika kuzungumza kwenye vyuo vyao viwili na nikatolewa katika orodha ya watu wabaya maadui wa Marekani.

Ilikuwa kote duniani ninaposafiri watu wa Uhamiaji na Pasi wana taarifa zangu.
Naam ''the pen is mightier than the gun.''
 
We mzee magaidi wapo wa kila namna. Wakristo wapo, wasio na dini wapo. Ila majority ni muslim na hii ni kwa sababu ya mafundisho yao. Na wachochezi wa haya mambo ni viongozi. Anyways nisingependa sana tuuhamishie huu mjadala kuwa wa kidini. Ishu ni kwamba kilichokuwa kinaendelea MKIRU ni ugaidi. Tuelewane kwanza hilo
Planet...
Imekuwaje tena kuniita kwa ''Wee Mzee...''
Mimi wa kuitwa na wewe, "Wee?''

Mimi mzee wa miaka 70?
 
Hebu nenda hata youtube ulete hayo mafundisho tuone mawaidha yalilenga kufundisha nini?
That is your task. Tafuta na jamaa mwingine anjem chouddary. In short wamejaa huko kibao wanaofundisha ujinga tu.
 
Planet...
Imekuwaje tena kuniita kwa ''Wee Mzee...''
Mimi wa kuitwa na wewe, "Wee?''

Mimi mzee wa miaka 70?
Hapana. Nadhani hiyo umekosea kusoma. Ilikuwa ni reply kwa bwana chotera. Kuitana “we mzee” ni lugha ya vijana siku hizi. Sio lugha ya kumuita kijana wa zamani. Sikuwa naiaddress kwako.
 
Planet...
Mimi sina tatizo na hilo.

Nmeandika mazito kuliko hayo wewe unadhani ni maneno ya kusema, ''wakashughulikiwa vizuri.''

Hayo yaneeleza mengi kuhusu wewe.

Kuua watu kwa dhana ni dhulma na hili Waislam tulitahadharisha baada ya Bunge kupitisha sheria ya Ugaidi.

Mimi nimezungumza ukweli mbele ya Wamarekani wenyewe na kwa hakika walinishughulikia si kwa kuwa nilikuwa gaidi ila kwa kuwa niliwashinda kwa hoja.

Lakini watu wenye akili zao walitaka kujua Mohamed Said ni nani katika jamii ya Waislam wa Tanganyika.

Walipitia kila kitabu, kila makala niliyoandika, kila video niliyozungumza kuhusu siasa za Tanzania na Waislam.

Nembo ya ugaidi haikuweza kunienea.
Iko siku nitaeleza haya.

Mwishowe Wamarekani wenyewe walininialika kuzungumza kwenye vyuo vyao viwili na nikatolewa katika orodha ya watu wabaya maadui wa Marekani.

Ilikuwa kote duniani ninaposafiri watu wa Uhamiaji na Pasi wana taarifa zangu.
Naam ''the pen is mightier than the gun.''
Ah basi wewe uko tofauti. Wapo wengi sana ambao wangeamua kufanya vikao vya siri. Wakaunda mabomu ya kienyeji na bunduki na kuamua kutafuta raia wa kumalizana nao. Kushughulikiwa simaanishi wauliwe. Ila tu radicalism ikomeshwe. Extremism sio nzuri. Mimi sipendi kudeal na mtu yoyote radical iwe hata kwenye maisha ya kawaida tu ambayo haihusiani na dini.
 
Sasa nyie mtawezaje kuiweka wakati ugaidi mnaita jihad. Kwamba mnapigania sijui kitu gani. Mtoke hapo mkaue watoto wadogo then mje mjisifie mnampigania allah. Ni ujinga sana kwa mtu mzima kuua watoto afu anajiona eti kuna kitu anapigania
Hivi ugaidi ni jihadi ? Kumbe wale waliompiga risasi Lissu walikuwa kwenye jihadi ?
Na Nyerere alipoivamia Zanzibar na kuuwa maelfu ya watu alikuwa anafanya jihadi?
 
Ah basi wewe uko tofauti. Wapo wengi sana ambao wangeamua kufanya vikao vya siri. Wakaunda mabomu ya kienyeji na bunduki na kuamua kutafuta raia wa kumalizana nao. Kushughulikiwa simaanishi wauliwe. Ila tu radicalism ikomeshwe. Extremism sio nzuri. Mimi sipendi kudeal na mtu yoyote radical iwe hata kwenye maisha ya kawaida tu ambayo haihusiani na dini.
Watu hata kuandamana wanashindwa wake kukamata bunduki?
 
Rest nayo ni ugaidi? Au jihadi?
Onyo likufikie vizuri. Swali, fuata imani yako. Heshimu sheria za nchi. Fanya kazi. Nenda kapumzike. usije kujifanya radical😂😂afu baadae ukalaumu watu. Natumai umeelewa.
 
Onyo likufikie vizuri. Swali, fuata imani yako. Heshimu sheria za nchi. Fanya kazi. Nenda kapumzike. usije kujifanya radical😂😂afu baadae ukalaumu watu. Natumai umeelewa.
Bambikiza kesi Za kigaidi watu , vunja nyumba Za watu, nyang'anya Mali Za watu, uwa watu, tia vilema watu najisi Dada wa watu yote ubakie madarakani
 
Mkuu hao jamaa aya za kitabu chao ndio tatizo,kuna aya zinaruhusu kufanya uhalifu na uhalifu huo huwa kwao ni haki.Tanzania ipo misikiti inayohubiri hayo mambo tena bila kificho ajabu kuna upofu au makusudi fulani hivi ya kujifanya hayaonekani.
Kasome kitabu cha Padri Sivallon wakristo chini ya Nyerere wakiwafanyia kitu gani waislamu wa TZ na wanatakiwa kuwafanyia nini na kanisa
 
Tatizo la Magaidi wenyewe wanajitambulisha kuwa ni waislamu.
Na nia yao ni kujenga dola ya kiislamu.
Wanaupigania Uislamu na Allah.
Ili sisi tusio waislamu tulipe kodi kwa waislamu.
Na Aya wanayo isimamia ipo

9:29
" Piganeni na wasio muamini Mwenyezi Mungu wala Siku ya Mwisho, wala hawaharimishi alivyo harimisha Mwenyezi Mungu na Mtume, wala hawashiki Dini ya Haki, miongoni mwa walio pewa Kitabu, mpaka watoe kodi kwa khiari yao, hali wamet’ii. "

Na wanasema wamepewa baraka zote kwenu Waislamu. Kama hiyo video clip inavyosema.
Na mnawakaribisha kwa siri katika maeneo yanu na kuwahifadhi, Mkuranga, Kibiti, Kilwa, Tanga.

Nyie mkija hapa mnawatetea kwa jasho na damu kuwa sio magaidi.
Sisi tunawaamini wao.

Na kwa taarifa yenu, hiyo vita hamtashinda kamwe.
 
Back
Top Bottom