Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kichadema chadema uko sahihiView attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Dah sawa bhana.tafadhari = tafadhali
Ni shule au wewe?
Kwani mh jpm anakosea kuwasakama majizi ya mali ya umma? Fafanua ueleweke mkuu.Tayari tulisha kosea tangu mwanzo....
Alipofikia magufuli, hakuna wa kumbabaisha wala kuthubutu kumzinguaa....
Sio ccm, sio jeshi, sio bunge wala mahakama.
Sasa kilichobaki tusubiri Mungu ataamua vp, vinginevyo binadam tumeshamshindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Word. I agree with you 100%. Sio haya mambo ya ramli chonganishi bila hata ushahidi.Kama kaibia nchi yetu kweli anaswe tu na apigweeeee.Hata kama kamchangia Lissu billion aua 1.5 trillions......cha msingia siwe kaonewa tu.
Nadhani wewe utakuwa mchawi. Acheni mafisadi wanyooshweView attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Hahahaha pole sana mkuu
Sio kweli wewe, mbona hata safari hajaanza?Tayari tulisha kosea tangu mwanzo....
Alipofikia magufuli, hakuna wa kumbabaisha wala kuthubutu kumzinguaa....
Sio ccm, sio jeshi, sio bunge wala mahakama.
Sasa kilichobaki tusubiri Mungu ataamua vp, vinginevyo binadam tumeshamshindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa mkuu , habari hii imevujaView attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
KAMA WALE AMBAO WAMEKULA 2:4 TRIONINi wazi kuwa mafisadi na wote wasioipenda serikali hii inayopiga vita rushwa na ufisadi kwa nguvu zote lazima wamchangie mwenzao Lissu kwa sababu zile zile. Lissu anajua rushwa ilivyomnufaisha kisiasa na kiuchumi hivyo ni adui mkubwa wa serikali hii na TAKUKURU ya leo sio ya Hosea
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mtu mhalifu akitoa msaada uhalifu wake siyo issue tena? Umesahau ya Singasinga?View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Come on shoga!You might be sued kwa kutuaminisha kitu ambacho hauna uhakik nacho,otherwise ungeweka source ya stori yako kabla haijageuka kuwa ni kutupotosha au wewe kutafuta attention ya Sisi memba humu!!View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Mmemshindwa mlikuwa mkishindana naye nini kamanda?Tayari tulisha kosea tangu mwanzo....
Alipofikia magufuli, hakuna wa kumbabaisha wala kuthubutu kumzinguaa....
Sio ccm, sio jeshi, sio bunge wala mahakama.
Sasa kilichobaki tusubiri Mungu ataamua vp, vinginevyo binadam tumeshamshindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app