Tetesi: Kisa cha Magreth Kobelo kuwa kwenye 18 za TAKUKURU ni kumchangia Tundu Lissu

Tetesi: Kisa cha Magreth Kobelo kuwa kwenye 18 za TAKUKURU ni kumchangia Tundu Lissu

Ni wazi kuwa mafisadi na wote wasioipenda serikali hii inayopiga vita rushwa na ufisadi kwa nguvu zote lazima wamchangie mwenzao Lissu kwa sababu zile zile. Lissu anajua rushwa ilivyomnufaisha kisiasa na kiuchumi hivyo ni adui mkubwa wa serikali hii na TAKUKURU ya leo sio ya Hosea
View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.

Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.

Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tayari tulisha kosea tangu mwanzo....

Alipofikia magufuli, hakuna wa kumbabaisha wala kuthubutu kumzinguaa....

Sio ccm, sio jeshi, sio bunge wala mahakama.

Sasa kilichobaki tusubiri Mungu ataamua vp, vinginevyo binadam tumeshamshindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani mh jpm anakosea kuwasakama majizi ya mali ya umma? Fafanua ueleweke mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizi habari za kumchangia Lissu zinasambaa km moto wa mabua
Jana tu Lissu kamwandikia Spika akimuomba arejeshewe Mshahara wake, hizo Bilioni za Magreth Kobelo Gonzaga ndio iwe kisa? huyo mumewe aliyeko ndani km miaka miwili ndani hakumchangia Lissu mpaka amtume mkewe aliyeko Canada kitambo?
ACHENI UONGO
 
View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.

Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.

Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Nadhani wewe utakuwa mchawi. Acheni mafisadi wanyooshwe
 
Ni wazi kuwa mafisadi na wote wasioipenda serikali hii inayopiga vita rushwa na ufisadi kwa nguvu zote lazima wamchangie mwenzao Lissu kwa sababu zile zile. Lissu anajua rushwa ilivyomnufaisha kisiasa na kiuchumi hivyo ni adui mkubwa wa serikali hii na TAKUKURU ya leo sio ya Hosea


Sent using Jamii Forums mobile app
KAMA WALE AMBAO WAMEKULA 2:4 TRIONI
 
View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.

Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.

Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Kama mtu mhalifu akitoa msaada uhalifu wake siyo issue tena? Umesahau ya Singasinga?
 
View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.

Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.

Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Come on shoga!You might be sued kwa kutuaminisha kitu ambacho hauna uhakik nacho,otherwise ungeweka source ya stori yako kabla haijageuka kuwa ni kutupotosha au wewe kutafuta attention ya Sisi memba humu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maagizo toka mamlaka za juu/kishetani AKA kichaa jiwe.✌🏼✌🏼✌🏼



View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.

Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.

Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
 
Tayari tulisha kosea tangu mwanzo....

Alipofikia magufuli, hakuna wa kumbabaisha wala kuthubutu kumzinguaa....

Sio ccm, sio jeshi, sio bunge wala mahakama.

Sasa kilichobaki tusubiri Mungu ataamua vp, vinginevyo binadam tumeshamshindwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmemshindwa mlikuwa mkishindana naye nini kamanda?
 
Back
Top Bottom