Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimsingizie Mzee wa watu Ruge... Mbona mpaka sasa wameshindwa kumuundia kesi!!?Tuache ramli zisizo na mashiko, huyo mama na mumewe wana historia chafu ya wizi na dhurma.
Hata Escobar alijenga makanisa. Rugemalila alitoa mihela kibao kusaidia wahitaji but source ya hizo pesa ndo shida!
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Una maana CCM ndo mahali salama kujificha kukwepa mkono wa dola? Ndo maana wenye chama chao wanatumia kila mbinu kuhakikisha wanaendelea kuneemeka kwa gharama yoyote...upinzani siyo mahali salama kwa watu wenye makando-kando.
..hili suala sijui kwanini waTz hawapendi kulielewa.
..kama mtu anajua ana mambo yake ameficha ambayo yanaweza kumtia ktk matatizo na dola basi asijihusishe kabisa na upinzani.
Aisee, Mhutu na watu wake pumbavu sana yan!View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Swali ni kwanini sasa hivi?Tuache ramli zisizo na mashiko, huyo mama na mumewe wana historia chafu ya wizi na dhurma.
Hata Escobar alijenga makanisa. Rugemalila alitoa mihela kibao kusaidia wahitaji but source ya hizo pesa ndo shida!
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi ajisalimishe..tundulissu ana wanasheria ngulu ambao ni rafiki zake dunia nzima..wajitokeze wamtetee..mmeshikwa pabaya mwaka huu..pengine ndio we mwenyeweView attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Wewe ndo uache Ramli, historia chafu unawajua?Tuache ramli zisizo na mashiko, huyo mama na mumewe wana historia chafu ya wizi na dhurma.
Hata Escobar alijenga makanisa. Rugemalila alitoa mihela kibao kusaidia wahitaji but source ya hizo pesa ndo shida!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku nyingi nimekuwa nikisikia wanawake hampendani, lakini sasa naamini, kwa bandiko hili, kwa sisi wasomaji wa in between the lines na the motive behind, tumekuelewa.View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Pumbavu zako mwenyewe
Niliangalia Athuman Diwani na timu yake walivyokuwa wamevamia ile nyumba ya huyu Dada na wakawa wanakalia makochi na viti vya kifahari. Wanaonesha mjengo ulivyo wa thamani nikajua it is something that is not evident and tangible. Sema wanajua watanzania tumejaa roho ya kimaskini hivyo wataamini kwa kuona kasri hilo tu. Wewe Mzee mwanakijiji hukumbuki stori ya masamaki wa TRA eti ana majumba na madolari... Kapewa kesi but finally alishinda kesi, serikali haina ushahidi..Kama mtu mhalifu akitoa msaada uhalifu wake siyo issue tena? Umesahau ya Singasinga?
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
thibitisha hiyo historia yake wiziTuache ramli zisizo na mashiko, huyo mama na mumewe wana historia chafu ya wizi na dhurma.
Hata Escobar alijenga makanisa. Rugemalila alitoa mihela kibao kusaidia wahitaji but source ya hizo pesa ndo shida!
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
akina Rostam Azizi na Lowasa nasikia wamemshika mapembe mtukufuKumbe hizi ndo aina za watu wanaomchangia mgombea URAIS wetu mwakani?
pumbavu mkubwa!
mwizi huyo,.Lissu kala hela ya wizi
Kwani mke wa nani na alikuwa na wadhifa gani mkuu?hizi habari za kumchangia Lissu zinasambaa km moto wa mabua
Jana tu Lissu kamwandikia Spika akimuomba arejeshewe Mshahara wake, hizo Bilioni za Magreth Kobelo Gonzaga ndio iwe kisa? huyo mumewe aliyeko ndani km miaka miwili ndani hakumchangia Lissu mpaka amtume mkewe aliyeko Canada kitambo?
ACHENI UONGO