Interest
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 3,434
- 7,072
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeshamuhukumu Rugemalila? Sio ungengoja kwanza mahakama imtie hatiani?Tuache ramli zisizo na mashiko, huyo mama na mumewe wana historia chafu ya wizi na dhurma.
Hata Escobar alijenga makanisa. Rugemalila alitoa mihela kibao kusaidia wahitaji but source ya hizo pesa ndo shida!
Sent using Jamii Forums mobile app
Akina Mbowe, Lissu na Zitto walivyokuwa wanamhukumu bungeni 2014 mbona mlikuwa mnashangilia na kupiga vigeregere?Umeshamuhukumu Rugemalila? Sio ungengoja kwanza mahakama imtie hatiani?
Sent using Jamii Forums mobile app
hata Mo sababu ni hiyo hiyo pamoja na mambo.mengineView attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Hata mtukufu malaika toka chato kabla ya kuwa Rais alinunua kivuko feki akaweka pesa akiba na pia akapiga bilion 251 wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa na hizo pesa ndizo zilitumika kumwingiza ikuluKumbe hizi ndo aina za watu wanaomchangia mgombea URAIS wetu mwakani?
na wewe mto mada sio mada block inakusubiri hapa jf[emoji41]View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Acha ufala wewe mshamba mbona walioiba trilion 1.5 hamjawagusa? Waliotafuna 10% ununuzi wa ndege wapo wapi?Wewe umesoma shule au una nakisi ya uelewa?Unajua sheria ya kutakatisha pesa wewe?mtu ameiba pesa na ushahidi upo wazi nyie majuha mnaleta propoganda! Shame on you ufipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mwizi tu, awamu hii hakuna pesa rahisi, ya jasho ule kwa amaniView attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Nao walimchangia au ulipenda ingekuwa hivo?
Unajibu swali gani kamanda?Hata mtukufu malaika toka chato kabla ya kuwa Rais alinunua kivuko feki akaweka pesa akiba na pia akapiga bilion 251 wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa na hizo pesa ndizo zilitumika kumwingiza ikulu
Umri na ukwasi haviendani,kama alirithi tujuzeView attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Pamoja,wanatafuta huruma jukwaani,shenzi zaoTuache ramli zisizo na mashiko, huyo mama na mumewe wana historia chafu ya wizi na dhurma.
Hata Escobar alijenga makanisa. Rugemalila alitoa mihela kibao kusaidia wahitaji but source ya hizo pesa ndo shida!
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha porojo za kitoto za kujifanya unawajua watu.Unaijua hyo familia au unaropoka tu kwa kufanya spinningTuache ramli zisizo na mashiko, huyo mama na mumewe wana historia chafu ya wizi na dhurma.
Hata Escobar alijenga makanisa. Rugemalila alitoa mihela kibao kusaidia wahitaji but source ya hizo pesa ndo shida!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka kuzimia alipoexpose mkuu wa Takukuru!!!! Eti kwa cheo alichofikia lazima niseme. Mbona hajawahi kutamka kuhusu yule alikuwa waziri wa mambo ya nje aliyembadilisha? Huyu inabidi apimwe akili sababu hata kichaa mwenzie Trump hawezi ku expose CIA ambao ni active.Tayari tulisha kosea tangu mwanzo....
Alipofikia magufuli, hakuna wa kumbabaisha wala kuthubutu kumzinguaa....
Sio ccm, sio jeshi, sio bunge wala mahakama.
Sasa kilichobaki tusubiri Mungu ataamua vp, vinginevyo binadam tumeshamshindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni yeye tu, shule zetu zinafundisha kiswahili fasaha kabisatafadhari = tafadhali
Ni shule au wewe?