Kama hizi habari hazikutoka ndotoni wakati upo na umpendaye basi Nyalandu atakuwa kishabambikiwa kesi kubwa sana. sababu 1. Alikwenda mpaka Nairobi kumuangalia Lissu 2 Alijiondoa mpaka chamani.View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
CHADEMA hii inamfaa ustadhi Mshana Jnr lazima atapata kazi maana imejaa waganga wa kienyeji wengi.
We jamaa,hatari sana asee.Tayari tulisha kosea tangu mwanzo....
Alipofikia magufuli, hakuna wa kumbabaisha wala kuthubutu kumzinguaa....
Sio ccm, sio jeshi, sio bunge wala mahakama.
Sasa kilichobaki tusubiri Mungu ataamua vp, vinginevyo binadam tumeshamshindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maalim kujiunga na ACT Wazalendo, nani alikuwa anaijua ACT zaidi ya Zitto! Sasa hivi Zitto amefunikwa.ushahidi tafadhari.
Come on shoga!You might be sued kwa kutuaminisha kitu ambacho hauna uhakik nacho,otherwise ungeweka source ya stori yako kabla haijageuka kuwa ni kutupotosha au wewe kutafuta attention ya Sisi memba humu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Hii siyo hali ya kawaida wakuu.Tayari tulisha kosea tangu mwanzo....
Alipofikia magufuli, hakuna wa kumbabaisha wala kuthubutu kumzinguaa....
Sio ccm, sio jeshi, sio bunge wala mahakama.
Sasa kilichobaki tusubiri Mungu ataamua vp, vinginevyo binadam tumeshamshindwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
MView attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Halafu cha ajabu huwa anapata fedha wa kufanya kazi na RA!
Fire in the Heart, Sends Smoke in to the Head!Pumbavu zako mwenyewe
Umenena vyema. Big up!!..upinzani siyo mahali salama kwa watu wenye makando-kando.
..hili suala sijui kwanini waTz hawapendi kulielewa.
..kama mtu anajua ana mambo yake ameficha ambayo yanaweza kumtia ktk matatizo na dola basi asijihusishe kabisa na upinzani.
Sasa kama kumchangia mtetezi wa acacia ndio imesababisha kukamatwa kuna ubaya gani. La msingi kama shutuma dhidi yake ni za kweli. Tatizo wengine ufahamu umepotea kwa unyumbu.View attachment 1056497Habari zilizonifikia sasa hivi hapa mezani ni kwamba mwana mama hapo juu alitoa mchango mkubwa sana wa kumsaidia Lissu the Great.
Wenye vinyongo hawakuipenda habari hii, sasa mikono ya dola inaonyesha nguvu yake.
Hamjiulizi walikuwa wapi wasimkate siku zote?
Vyote kwa pamoja!tafadhari = tafadhali
Ni shule au wewe?