Alitumia dukani kwa huyo dada! Uwe unasoma ukiwa umetuliza akili.Nimeomba kueleweshwa walikuwa wanatumaje?
Duh unaonekana jinsi gani walimu wako walipata kazi , rudia kusoma utaelew.Jamaa alimtumia demu 170000 miaka ya 2000s alimtumia kwa njia ya posta au mimi ndio sijaelewa hapa.
Anamalizia kuandika[emoji1787]Kwani wazee si mzigo unaendelea Au ??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...!we chizi saaaanaMkuu malizia kabla hajakukataza....
Afu kapashe kiporo.
Hujalazimishwa kusomaHivi kwanini mnapenda kuturingishia story zenu..!!mimi mnaniboa bwana aahh
Saiv anaona aibu yeye kumbe alikuosea kusoma🤣Jamaa hajasema alimtumia kasema alitumia 170k
Hayakuhusu..mxiuuuuHujalazimishwa kusoma
[emoji3][emoji3] we cbiria bwana jini akubong'oze badaeMi niwataadharishe tu wote mnaoufuatilia huu uzi kuwa Bwana JINI kashashtukia kuwa siri zake zinawekwa hadharani, hivyo leo msilale kizembe atashindwa mtu kwenda haja kesho.