Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

Hiki sikukiona sweetheart. Jana nilikuwa msibani my dear
Ngoja ninunue na wine kabisa[emoji4]
Pole kwa msiba,
Sasa hakikisha wine ni sweet maana dry nayo huwa ni ngumu sana kumeza
 
Chupa mbili tafadhali, moja sio kweli kabisa, itaishia tu kwenye meno kumbuka hii stori inaonekana ndefu sana
Au box dogo lile la lita 3 ili twende nayo polepole tu
Lita tatu zitatutosha. Muda wa lunch nitaendeleza kidogo ule mkasa wetu kule kwa Kitoabu
 
Nadhani Moderator aliyeuleta huku huo uzi ataendeleza yeye. Sijafahamu ametumia kigezo gani kuona hii ni entertainment katika jambo ambalo mimi nalizungumziq lilitokea. Sometimes kuna moderator wanatengeneza beef za hovyo tu. Kuna stories kibao watu wanazungumzia zinabaki kwenye forums zao. Mimi nliipost Habari Mchanganyiko, wakaitoa wakapeleka MMU nikanyamaza. Now wameileta Huku.


Kama kuna malipo sisi wengine hatulipi kwenu basi mtujulishe kiwango rasmi ni tsh ngapi.
 
Nadhani Moderator aliyeuleta huku huo uzi ataendeleza yeye. Sijafahamu ametumia kigezo gani kuona hii ni entertainment katika jambo ambalo mimi nalizungumziq lilitokea.

Sometimes kuna moderator wanatengeneza beef za hovyo tu. Kuna stories kibao watu wanazungumzia zinabaki kwenye forums zao. Mimi nliipost Habari hii Jukwaa la Hbr Mchanganyiko, wakaitoa wakapeleka MMU nikanyamaza. Now wameileta Huku.


Kama kuna malipo sisi wengine hatulipi kwenu basi mtujulishe kiwango rasmi ni tsh ngapi. Mnakwaza sana. Kama ngekuwa nmetunga ngeipeleka kwenye jukwaa husika iwe story.

Pamoja sana

Uzuri msimuliaji ni mwandishi mzuri, uzi unavutia kusoma

πŸ™€πŸ™€πŸ˜Ώ chizi ukuje basi .

Popcorn zimeisha kitaani story ndio kwanza ipo kati dah [emoji36]

Ww yanakuusu...acha shobo na nyuzi za watu

Daah ama kweli duniani kuna mambo magumu na mazito mno!

Hatari sana

Yananihusu Ndiyo..Ukome kuquote visivyokuhusu.

Jamaa kaenda wap tena? Kwan hajui kama kvifurushi vina expire aisee
 
Kwani shida nini mkuu? Wewe si endeleza tu huku mkuu? Kwani kuna utofauti gani huko habari mchanganyiko na MMU au kwenye ndude nyingine? Si zote ziko hapa hapa JF?. Kwako wewe kuna kitu gani unapoteza au unaongezewa?.
 
Mi niwataadharishe tu wote mnaoufuatilia huu uzi kuwa Bwana JINI kashashtukia kuwa siri zake zinawekwa hadharani, hivyo leo msilale kizembe atashindwa mtu kwenda haja kesho.
Kwahiyo wewe mleta message tayari huko
 
Dah rudi mkuu utupe mchongo huo uliishaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…