Shetta
JF-Expert Member
- Mar 15, 2023
- 445
- 797
Yapo kuna mama ana kituo cha watoto yatima sinza mdukqni kinaitwa ZIADA amedhulumu nyumba pia
Nimewahi shuhudia kisa kinacho fanana na icho cha mleta mada aise jamaa alimtapeli mwenye nyumba kwa mfumo huo