Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Si ya kuhudumia nyumba mbili mbili na kuhakikisha kote kote kuna furahaKhaaah!! Hapo mateso yako wapi sasa[emoji119][emoji119][emoji119]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ya kuhudumia nyumba mbili mbili na kuhakikisha kote kote kuna furahaKhaaah!! Hapo mateso yako wapi sasa[emoji119][emoji119][emoji119]
Hii comment itapata likes nyingi na uungwaji mkono mkubwa sana.Daaah, ila ndoa ya mke mmoja inapaswa kutizamwa tena
utapata uungwaji mkonoDaaah, ila ndoa ya mke mmoja inapaswa kutizamwa tena
Daaah, ila ndoa ya mke mmoja inapaswa kutizamwa tena
Sasa hayo si umeyafurumua mwenyewe jamani, kwani ukitulia njia kuu unakufa?Si ya kuhudumia nyumba mbili mbili na kuhakikisha kote kote kuna furaha
Kweli kabisa, mchepuko raha yake aendelee kuwa mchepuko hivyo hivyo akiwa mume au mke basi taabu inarudi pale pale.Mkuu utamu wa mchepuko ni ubaki kua mchepuko. Ukiuoa tu ukaufanya mke, yanakua yaleyale utaanza tena kutafuta mchepuko nje.
Ukiwa 4 x 4 hata njia za pembeni unapita tu...[emoji6]Sasa hayo si umeyafurumua mwenyewe jamani, kwani ukitulia njia kuu unakufa?
Wacha bwana!! Kwahiyo wewe uko kundi gani?Ukiwa 4 x 4 hata njia za pembeni unapita tu...[emoji6]
Shida ni wale ubavu hawana kama kirikuu halafu wanataka katiza chochoro za pembeni
Mume anarudi nyumbani kavurugwa unajua ni mambo ya kazi, unahangaika kumfariji kumbe kavurugwa na mchepuko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hili jambo lilishanishinda tangu zamani, siwezi kukaa na mke mmoja.
Watu wanapata hii mikasa kwa malipo ya machumo ya mikono yao, kama imani yako haikuruhusu kuwa na wake wengi nikaze, kwani jimai siyo chakuli, ila kama sisi huku tunaoa mpaka wanne na tutakamilisha tu hii idadi.
Acha kabisa, ndo mtu akija kugundua anakuwa busy tu na wanae. Fainali uzeeni.Inaumaaaaaaaaa
Imebidi nikadownlaod na wimbo wa Fainali uzeeni wa Twanga PepetaAcha kabisa, ndo mtu akija kugundua anakuwa busy tu na wanae. Fainali uzeeni.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Imebidi nikadownlaod na wimbo wa Fainali uzeeni wa Twanga Pepeta
Ndiyo maana nikasema kwa yule ambaye imani yake haimruhusu kuongeza vyuma vingine ajikaze tu. Naweza kuoa hao wanne na tamaa ikazidi au isiishe,ila lengo si hilo tu. Tunaoa wake zaidi ya mmoja kwa sababu nyingi.Na ukishaoa hao wanne ndiyo tamaa yako juu ya wanawake inakufa kabisa, hutamani tena? Isue sio idadi ya wanawake, issue ni kuridhika. Usiporidhika utaishia kwa Mfalme Suleiman, ubatili mtupu.
Kuna wanaoishi kinaafikiDaaah hatari sana.......kumbe unaweza kuwa ndoan afu usiwe na furaha
Hahaaaa...binamu achaa maisha hayaa!!!Mume anarudi nyumbani kavurugwa unajua ni mambo ya kazi, unahangaika kumfariji kumbe kavurugwa na mchepuko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]