Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Usingetoka salama, tena hapa ndio ungeharibu kabisaa😁😁ningesingizia msiba hata wa ndugu yangu aidha mzazi au ndugu yangu wa damu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usingetoka salama, tena hapa ndio ungeharibu kabisaa😁😁ningesingizia msiba hata wa ndugu yangu aidha mzazi au ndugu yangu wa damu
Hongera, wewe ni aina 'flani' ya 'ntu' unayeishi kwa 'principle'!/Ni kweli mkuu ila mie huwa naishia kuwatamani tu sijui kwanini, kuchukua hatua za kuanza kumtongoza mwanamke mwengine ikiwa nina mke anayenihudumia bila usumbufu huwa inakuaga ishu.
Labda demu mwenyewe anishobokee kiasi kwamba anipe greenlight tu 😂 ila sipendagi ku waste energy kumfuatilia mwanamke.
Shem ake bana, ujue siwaelewi mnaposhindwa kutofautisha maisha ya dating/kuchepuka na maisha ya ndoa. Hivi wewe na mchepuko mna vitu vingapi vya kujadili vya kuwapa stress zaidi ya kulalana? Huku ndoani ni more of majukumu, na kule kwa mchepuko ni only ngono. Afu mchepuko anakuwa kimaslahi zaidi, lazima ajitume ili yake yatimie fasta. Mpandishe cheo mchepuko afu awe mke, uone kama zile care zitaendelea; ni majukumu kwenda mbele. Mke ana watoto wadogo, mume, nyumba na kazi, vyote vinahitaji balance yake; mchepuko yeye anawaza kukudangia tu. Imagine kulea watoto/mtoto mdogo, kuna muda mtu mzima unasinzia tu kichwa kinagonga kisa usingizi afu uje unifananishe na mtu mnayekutana kudangiana weeeeeehHahahah shemela bana, kuoa wake wengi kuna faida yake bana japo sina hulka hio ila nachokiona ambacho ndio sababu ya michepuko huwa ni hali ya wake kuleta mazoea ya kipumbavu. Mke anakuwa unsupportive emotionally na kujifanyia vitu ilimradi kwa kuhisi anakumiliki ndio mnafikia stage mume ule uspesho unakuwa hamna tena. Mazoea yanaua emotional sparks zinazokoleza hisia za mapenzi baina yenu.
Watu wanao opt michepuko sio kwamba wote ni umalaya ila raha za mapenzi zinakuwa overshadowed na kero zaidi badala ya emotional support and comfort.
Ila bana Extro tuseme tu ukweli.. sisi wanaume nadhani tumelaaniwa linapokuja swala la michepuko. Hata uwe na mwanamke mzuri kiasi gani, anakujali, anakupenda, yupo supportive lakini bado ukiona katoto kazuri nje huko unaanza kukamezea mimate! Na mbaya ni kwamba at that moment unapokutana na dem mzuri, hua unasahau kabisa kama una mke.... utakuja kukumbuka baadae huko mmeshamaliza mambo yenu ndio unaanza kujuta ila huachi!
Sahihi binamu na sio kazi rahisi kama tunavyoandika kuoa wake wengi na wameusiwa oeni kuanzia wawili mpk wanne lakini muwe waadilifu mkishindwa uadilifu basi oa mmoja.Na wanaume wenye mathna (wake wawili)wana mtihani sana kwa Mungu maana uadilifu wengi unawashinda wanaegemea upande mmoja tu na ndo chanzo cha kurogwa na kurogana hikoo.
Hawa wa kizazi hiki jamani hawaoi kwa uadilifu bali kwa hulka na kukomoana na bimkubwa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bebe!!Inaumaaaaaaaaa
Bebe!!
Maashallah...mtoto kutoka tokyo...Rabhekaaaa
Maashallah...mtoto kutoka tokyo...
Umeitika bar'habara....nitaleta mahari ASAP!!
Kanuni na misimamo yako, kila Mwanaume smart atataka uwe mama mjengo.Hahaaa haya naisubiri kwa hamu
Kanuni na misimamo yako, kila Mwanaume smart atataka uwe mama mjengo.
Wewe umezaliwa upya...halafu kapoleeeee.Hiyo misimamo si ndiyo maana mnakatazwa msioe wanyakyusa au?
[emoji28][emoji28][emoji28] itizamwe na nani mkuu, uhamuzi ni wako [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Daaah, ila ndoa ya mke mmoja inapaswa kutizamwa tena
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] noma sanaMume anarudi nyumbani kavurugwa unajua ni mambo ya kazi, unahangaika kumfariji kumbe kavurugwa na mchepuko[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe umezaliwa upya...halafu kapoleeeee.
Ahahah kwanini jamani.Ahhahaha i wish kuna watu wasione hii comment
Kuna wanaume wanachepuka hata wake zao wawe full package !!Hahahahah mke mmoja mtamu akiwa hajaanza kukupuuza. Hata nyie mngekuwa ME lazma mngeona kero ya kupuuzwa. Unamuhitaji mke ili awe comforter awe rafiki yako ila after sometime anakuwa ha serve that purpose unafanyaje?
What do we do to broken glass? We replace them with new ones!