Kisa cha Polisi mkoa wa Geita kinasikitisha

Aina ya wasomi wa karne ya 21.

Na watu wa aina hii ndo wanategemewa na wananchi ambao hawakwenda shule kuwa kama kioo chao, stashahada na shahada zenu hamfanani nazo.
 
Ungehitimisha kabisa kwa wito wa ombi, kizazi Cha karne ya 21 kinapenda kione Mambo yanaenda Kama kinavyofikiri, Hilo ni dogo miongoni mwa mengi unayohisi ulionewa au kudhalilishwa, nakudokeza tu intelijensia na Siasa ni Mambo yanayokula akili wa watu waliokatika ukomo wa mipaka.
 
Bila polisi Ccm walipanga kuwaua watu pale Kalangalala karibu ya ofisi ya ccm. Hii sidhani kama wakuu wa jeshi la polisi. Muwashukuru sana Polisi Geita. Makufuli baba mfukuze kazi Siro atakuchafua kirahisi sana
God forbid, halafu wakafukuzwa kazi!?
 
N in m
Nimeipenda comment hii
 
Bila polisi Ccm walipanga kuwaua watu pale Kalangalala karibu ya ofisi ya ccm. Hii sidhani kama wakuu wa jeshi la polisi. Muwashukuru sana Polisi Geita. Makufuli baba mfukuze kazi Siro atakuchafua kirahisi sana
Polisi hawakuwa na taarifa za kiintelinjensia?
 
Mkuu una kitu kikubwa sana unachokijua Mkuu. Huu ni wakati wa kuhesabiwa Mkuu hasa ukitilia maanani unachokifahamu kuhusu mipango ya maccm ambacho kingesababisha mauaji at least ya Watanzania 20. Ahsante sana Mkuu weka mbele maslahi ya Tanzania na Watanzania.

 

NHIF bima yao bila aibu wamepitisha barua kisirisiri ya kutokutoa dawa muhimu zenye bei ya juu kidogo kwa wanabima bila kuwashirikisha, huu ni wizi wa mchana wa kumwibia mtumishi au mstaafu ambae amechangia bima kwa miongo kadhaa bila kuugua

Fika pale Ocean Road Hospital kitengo cha Bima uone wagonjwa wanavyosugua benchi mpaka Pharmacy na hapo dawa nyingi za kansa ambazo ni bei kiasi juu hazipo tena kama zamani hii kama sio wizi ninini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…