Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Kwa hiyo mtu akitenda jambo jema hastahili kupewa sifa ?Tatizo la watanzania hamueleweki CHADEMA mataanza kumsifia SIROO SASA.
Unayo mimba wewe, lini ukawa CCM wewe?Mimi ni CCM damu na mfanyakazi wa kuajiriwa serikalini tena kwenye wizara fulani muhimu lakin kwa jinsi huyu Rais wa awamu hii anavyotutesa, miaka mitano sasa hakuna nyongeza za mishahara, posho wala ajira mpya, bima ya afya hakuna na huduma duni za afya. Safari hii uchaguzi huu kura yangu sifanyi makosa ni Lissu tu
Wewe umeajiriwa unalalamika hamna ajira mpya huko ufipa ndio maelekezo mliyopewa?Mimi ni CCM damu na mfanyakazi wa kuajiriwa serikalini tena kwenye wizara fulani muhimu lakin kwa jinsi huyu Rais wa awamu hii anavyotutesa, miaka mitano sasa hakuna nyongeza za mishahara, posho wala ajira mpya, bima ya afya hakuna na huduma duni za afya. Safari hii uchaguzi huu kura yangu sifanyi makosa ni Lissu tu
Kamanda Mwabulambo Mponjoli amehamishwa???? CCM Geita hata wafanye nini hawawezi kushinda hili Jimbo Kwanza kuwalaumu polisi na kuwahamisha ndio wanaharibu kabsaCCM walipanga kuleta vurugu kubwa na kuua mashabiki wa upinzani kwa sababu wanaona kama Magufuli amedhalilishwa nyumbani kwake. Hawakutegemea Lissu kupata mapokezi makubwa namna hii. Polisi walifanya kazi ya ziada na kuwatanya hao mashabiki wa CCM. Matokeo yake wakuu wa polisi waliohusika wamehamishwa na kupelekwa sehemu nyingine huku wakipewa lawama kubwa. Lissu kwenye mkutano wa waandishi wa habari Nyamagana amezungumzia hili jambo. Unajua tena huyu jamaa wa sasa anavyopenda kuabudiwa na ubabe... amechanganyikiwa na kuna habari Sirro anapata lawama kubwa. Cha kujiuliza ni hiki: Je Sirro ndiye anayewabeba mashabiki wa upinzani kwenda kwenye mikutano ya Lissu?
Maccm ni majizi, baada ya kuona maji yamefika shingoni basi yanataka kuzama na kila mtuKamanda Mwabulambo Mponjoli amehamishwa???? CCM Geita hata wafanye nini hawawezi kushinda hili Jimbo Kwanza kuwalaumu polisi na kuwahamisha ndio wanaharibu kabsa
Ni kweli kuna dawa ya macho ya mtoto wangu huwa nachukua kila mwezi, juzi nimeenda kuchukua wamekataa wamesema imetolewa Kwenye bima, keshi ni tsh elfu 40, CCM mtajuta mwaka huu!NHIF bima yao bila aibu wamepitisha barua kisirisiri ya kutokutoa dawa muhimu zenye bei ya juu kidogo kwa wanabima bila kuwashirikisha, huu ni wizi wa mchana wa kumwibia mtumishi au mstaafu ambae amechangia bima kwa miongo kadhaa bila kuugua
Fika pale Ocean Road Hospital kitengo cha Bima uone wagonjwa wanavyosugua benchi mpaka Pharmacy na hapo dawa nyingi za kansa ambazo ni bei kiasi juu hazipo tena kama zamani hii kama sio wizi ninini?
Wacha uchochezi ocd alipigiwa simu na upendo peneza akatuma police wakawapiga vijana wa ccm wakati walikuwa wakifanya fuji ni vijana wa chadema waliokodiwa kutoka kahamaNasikitika kusema tumefika pabaya sana kwamba sasa chama kipo juu ya vyombo vya dola (CCM ni bora kuliko TISS,POLISI NA MAJESHI YOTE)
Kwambaa mwenyekiti, katibu wa chama anaamua nani afanye nini na kwa wakati gani.. INAUMA SANA.
Jeshi la polisi mkoa wa GEITA lipo kwenye masikitiko makubwa kazi haziendi, wanamaumivu, wanakuchukia mwenyekiti, wanatamani hata kugoma kwa ulichowafanyia.
MWENYEKITI Umekurupuka (KWA SIMU ULIYOPIGIWA NA MUSUKUMA) ila isingekuwa wao leo tulikuwa tumezika zaidi ya watu 20 kwa siasa chafu na chafuuuu sana kutoka CCM.
MAGUFULI POLISI GEITA ILIKUPENDA umeinyong'onyeza kupita maelezo wanalia kwa kukosa mtetezi baba yao umewageuka bila kutaka kujua lolote kwa uongo ulioambwa na mnafiki MSUKUMA.. natamani niueleze ukweli wa mipango ya CCM iliyokuwa ni lazima damu imwagike na Jeshi ja Polisi wakasimama kati....
Inauma sana... Jitafakari mheshimiwa Mwenyekiti na SIR.$O. majibu ya hili utayaona kwa mbunge wako KANYASU.
KILA LAKHERI RPC na OCD GEITA wananchi watawakumbuka na wanaujua ukweli wote.
NAWASILISHA.
Mtu wa Mungu Lisu ataleta lugha gongqna kila mahala ambapo wanapanga kumhujumu mpk anaingia ikuluMaandishi yako yanaujumbe mzito sana mkuu ..probably kunafukuta jikoni, leo nimemsikia siro akiongea ni kama vile yupo kwenye mtanzuko na hajui nini afanye ....lakini kunahuyu mtu anaitwa kigogo amedokeza jambo moja juu ya mzee kumtupia lawama igp kushindwa kutumia nguvu yake katika kutekeleza majukumu yake. Yawezekana walitaka kuwe na zile za mkutano haupo kwa sababu za kiintelijensia usalama ni mdogo
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ni kweli mkuu kuna dawa anatumia Mama yangu za Kifua "MONTELUKAST na FLUTICA SONE" wameziondoa zinauzwa 45,000 kila moja dah inaumiza sana.NHIF bima yao bila aibu wamepitisha barua kisirisiri ya kutokutoa dawa muhimu zenye bei ya juu kidogo kwa wanabima bila kuwashirikisha, huu ni wizi wa mchana wa kumwibia mtumishi au mstaafu ambae amechangia bima kwa miongo kadhaa bila kuugua
Fika pale Ocean Road Hospital kitengo cha Bima uone wagonjwa wanavyosugua benchi mpaka Pharmacy na hapo dawa nyingi za kansa ambazo ni bei kiasi juu hazipo tena kama zamani hii kama sio wizi ninini?
Mimi ni CCM damu na mfanyakazi wa kuajiriwa serikalini tena kwenye wizara fulani muhimu lakin kwa jinsi huyu Rais wa awamu hii anavyotutesa, miaka mitano sasa hakuna nyongeza za mishahara, posho wala ajira mpya, bima ya afya hakuna na huduma duni za afya. Safari hii uchaguzi huu kura yangu sifanyi makosa ni Lissu tu
Nasikitika kusema tumefika pabaya sana kwamba sasa chama kipo juu ya vyombo vya dola (CCM ni bora kuliko TISS,POLISI NA MAJESHI YOTE)
Kwambaa mwenyekiti, katibu wa chama anaamua nani afanye nini na kwa wakati gani.. INAUMA SANA.
Jeshi la polisi mkoa wa GEITA lipo kwenye masikitiko makubwa kazi haziendi, wanamaumivu, wanakuchukia mwenyekiti, wanatamani hata kugoma kwa ulichowafanyia.
MWENYEKITI Umekurupuka (KWA SIMU ULIYOPIGIWA NA MUSUKUMA) ila isingekuwa wao leo tulikuwa tumezika zaidi ya watu 20 kwa siasa chafu na chafuuuu sana kutoka CCM.
MAGUFULI POLISI GEITA ILIKUPENDA umeinyong'onyeza kupita maelezo wanalia kwa kukosa mtetezi baba yao umewageuka bila kutaka kujua lolote kwa uongo ulioambwa na mnafiki MSUKUMA.. natamani niueleze ukweli wa mipango ya CCM iliyokuwa ni lazima damu imwagike na Jeshi ja Polisi wakasimama kati....
Inauma sana... Jitafakari mheshimiwa Mwenyekiti na SIR.$O. majibu ya hili utayaona kwa mbunge wako KANYASU.
KILA LAKHERI RPC na OCD GEITA wananchi watawakumbuka na wanaujua ukweli wote.
NAWASILISHA.
Twende na Lissu Rais wetuMimi ni CCM damu na mfanyakazi wa kuajiriwa serikalini tena kwenye wizara fulani muhimu lakin kwa jinsi huyu Rais wa awamu hii anavyotutesa, miaka mitano sasa hakuna nyongeza za mishahara, posho wala ajira mpya, bima ya afya hakuna na huduma duni za afya. Safari hii uchaguzi huu kura yangu sifanyi makosa ni Lissu tu
SAFARI HII KURA KWA CHADEMAGeita watachagua ccm kwa kishido huko ndio nyumbani
Mzee anakera huyuMimi ni CCM damu na mfanyakazi wa kuajiriwa serikalini tena kwenye wizara fulani muhimu lakin kwa jinsi huyu Rais wa awamu hii anavyotutesa, miaka mitano sasa hakuna nyongeza za mishahara, posho wala ajira mpya, bima ya afya hakuna na huduma duni za afya. Safari hii uchaguzi huu kura yangu sifanyi makosa ni Lissu tu
Yaani Pendo amshinde Kanyasu!! Nafikiri Geita hamuijui vizuri!!Kanyasu kurudi bungeni labda JW wamshikie Bunduki msimamizi wa uchaguzi.
Utanyooka tu wewe boya!Tumekabidhi nchi kwa washamba! cc Zitto Z. Kabwe
Asante, ujumbe umefikaUtanyooka tu wewe boya!
Wewe utakuwa sio mfanyakazi wa serikali, kwa taarifa tuu, wafanyakazi wote wa serikali walioko kwenye payroll, wameishapandishwa mishahara na zile annual increments na arrears zao zote, tayari ziko approved, tarehe 23 October, mzigo wote mkubwa mnene unaingia kwenye accounts zao, tarehe 28 October, ndio siku ya kutoa shukrani.Mimi ni CCM damu na mfanyakazi wa kuajiriwa serikalini tena kwenye wizara fulani muhimu lakin kwa jinsi huyu Rais wa awamu hii anavyotutesa, miaka mitano sasa hakuna nyongeza za mishahara, posho wala ajira mpya, bima ya afya hakuna na huduma duni za afya. Safari hii uchaguzi huu kura yangu sifanyi makosa ni Lissu tu