Kisa cha rafiki yangu wa Mafia

Chige huu uzi wangu una vitu vidogo ambavyo unashindwa kuvielewa, na kwa maana hiyo huna uwezo wa kuuelewa uzi wangu huu.
Uko vizuri sehemu nyingine lakini hapa kwenye uzi wangu umekaza shingo yako.
Kwanza hujui kuwa kwenye uzi wangu nimeandika maisha ya rafiki yangu na siyo maisha yangu, hilo wewe hulijui.
Unajua nimeandika historia ya maisha yangu, na unapokuja kwenye komenti unakuta nimeandika tofauti unachanganyikiwa.
Kama jambo dogo hivyo umeshindwa kulielewa, basi bora ukae kimya.
Mwanzo umekomaa kusema eti nimefuta post, nimekuthibitishia kuwa sijaifuta, ukabadairi gia eti ilikuwa post namba 2, kweli una uhakika?
Nina uwezo wa kuhamisha post kutoka 2 mpaka 23?
Post namba 2 mbona bado ipo na sijaiedit chochote?
Kadhalika 23 uliyodai nimeifuta bado ipo pia.
Wewe mkuu kubali una mahaba na uislamu, maana kazi yako imebaki kurukaruka hujui unataka nini kwenye uzi huu.
 
NGOJA NIKUPUUZE, manake hujui hata kupangilia paragraph!!
 
TATIZO NI UCHU WA MADARAKA.

Urio kutokana na ugumu wa maisha alitamani kupanda cheo.
Watu aliowapelekea kesi na wao walitamani kutumia kesi hiyo kisiasa ili kuwawezesha viongoz wao kusalia madarakani.
 
NGOJA NIKUPUUZE, manake hujui hata kupangilia paragraph!!
Utakuwa umefanya vizuri sana mkuu.
Maana nakushangaa tangia juzi unahangaika na thread ambayo haijapangiliwa paragraph.
 
Ndivyo ilivyo, waislamu hufundishwa chuki tangu utotoni, wa Kristo hufundishwa upendo tangu utotoni, nadhani utaona hapo dini ya shetani ni ipi. Kama Mungu wa kweli ana nyesha mvua kwa majambazi na wachawi ambao ni waovu iweje binaadamu aliowaumba awaambie dini fulani ni mashetani? Anayeweza fanya hivyo ni yeye shetani tu ktk kujihami.
 
Hivi dini inayotengeneza magaidi na wauwaji wa wengine kwa jina la dini ni wepi?

Upendo husitili wingi wa dhambi.

Kuna sehemu hua naona hizi dini zimekuja kuleta utengano mkubwa sana ndani ya jamii zetu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie wajukuu wa shetani mnaoshinda kutwa kujaribu kuondoa imani ya M/mungu muumba mioyoni mwa watu mwisho wa siku mtajuta sana.....
poleni
 
Uongo mtupu? Wapi umeona fundisho et mtu akikaa na waislamu watakuwa na majini? Ukristo ni upendo,Na Yesu hakuja kwa ajili ya wakristo,injili ni kwa watu wote. Biblia haijamtenga muislamu achilia mbali kumtaja..Mafundisho yote ya ukristo toka sunday school mpaka kipaimara hamna mtoto anayefundishwa kumchukia muislam.TUNAWAPENDA na si hata unafki.
 
Fuatilia posts zangu za mwisho, utanielewa!!
 
Wacha wee...

Kwahiyo unataka kusema wewe hujawahi kuwa karibu na Mwislamu?! Makuzi yako ni wapi ulikokuwa unasikia Waislamu wanafundishwa chuki dhidi ya Wakristo?

Au kwa sababu mlevi mmoja kasema hivyo, mlevi ambae hapo mwanzo alisema Wakristo wanafundishwa wasikae na Waislmu kwa sababu watapata majini lakini kwavile mlevi mwenyewe hajiamini katika misimamo yake, akaamua kufuta!!

Sasa how come tena unadai mnafundishwa upendo wakati huyo mlevi unayemwamini alisema na nyie mnaambiwa msikae na Waislamu kwa sababu mtapata majini?!
 
Hii ni chai tu.
We ulikua unakaa Mafia sehem gani??
Nmeishi Mafia miak zaid ya 8,nmeishi Bweni,nmeishi Dongo,nmeishi Baleni,nmeishi Tereni,nmeishi Mfuruni,nmeishi Kichangachui,nmeishi Kigamboni,nmeishi pia Kilindoni,nmesoma shule ya msingi Dongo na Baadae nkahamia Kilindoni,hata shule nilizosoma kulikua na wakristo lakin hakukua hata na dalili ya ubaguzi wa kidini,tena shuleni kulikua na vipindi vya dini zote,na ikifik siku yenye kipindi cha dini walikua wanakuja mashekhe na wachungaji, watot wa Kiislam na watot wa Kikristo tulikua tunacheza pamoj na tunashirikian kadri inavyotakiwa,kwakweli miak yote niliyoish Mafia cjawahi kunusa harufu ya ubaguzi wa kidini
 
Ndugu yangu mtoa mada.

Umewapandisha wahusika hasira.

Huwa hawapendi kuambiwa ukweli kwamba dini yao tena haswa madrasa watoto wanafundishwa kuwa ukristo ni dhambi ila uislam ndo safi.

Nimeishi zanzibar miaka mingi sana sehem flani inaitwa kiembe samaki kule hata ukiwa mkristo ukavaa juba wanakuita kafiri wanasema hutembei kama wao. Nilichoka ikawa nikienda kanisani nikirudi nakuta nimewashiwa yale marashi wanayochoma eh bwana nikitoka hapo kichwa kinauma na usiku kucha nakabwa na kusutwa eti kisa najifanya napenda kusali. Yote hayo nilivumilia maana ni mwa watu mule sina usemi wangeniua.

Ila nnachotamani kujifunza kwa wema tu ni kwanini wanawake hawaruhusiwi kwenda misikitini ijumaa wala kukatiza mitaa ya misikiti ya stone town ijumaa nauliza maana nlishawahi kufukuzwa kipindi mgeni na hivo sijui njia ikabidi nijibanze mahala hadi walipomaliza.

Znz shkamooni personally kuna sehemu kama ilala, kkoo na sehem zenye waislam wengi naogopa kupita nahisi kama nakwaza watu🙌🏽 Mungu atusaidie tu
 
Kwa kuongezea tu amekulia mtaani almaarufu km chokoraa
 
Ebwana mkuu na mimi na pigilia msumari wa moto kwa mtoa mada na hao wafuasi wake kwanza nimetoka mafia last month , na Kama ndugu alivyo sema kanisa lipo takribani mitachache maana si dhani kama imefika hata nusu kilometa kutoka bandarini, tena lipo karibu na ofisi za serikali mkabala kabisa na ofisi ya watu wa makazi na ardhi na pana pigwa kwaya mwanzo mwisho , nimeshuhudia kabisa tena tupo na wenzangu , tulikuwa tupo wa 5 , mmoja ni mkristo tena ndio team leader wetu, eneo la kazi tulianzia UTENDE na hapa tulikuta familia ya wamakonde wa kristo tena sebuleni kwao kuna MSALABA mdogo wa mbao pia tuliiona shughuli za kuwatoa wali wa kimakonde na kike na kiume tena iliwekwa ngoma hapo hatari plus na mziki juu , na hapo ukumbuke hzo sharma sharma zao walikuwa wanatembea kundi wakipiga mabati mitaani, kingine sijui kama sehemu wanayo kunywa pombe ya mnazi kama mafia yaani kulewa ni fasta , ukiwa na 500 ushalewa kitambo sna, wana chukua kikopo cha mo energy au azam wana kata nusu ndio kipimo , kuna vilabu vya pombe na mademu hatari, ukienda mafia kama utakuwa na mweyeji lazima aku ase juu ya ukimwi na taadhari ,


Alafu kuhusu dini hao walimu wako walikosea , kwanza kabisa mtume aliishi na hami yake na hakuwa muislamu na ndiye aliye mlea?, Na alipo kufa ali pata uzuni saaana

Mtume alikaa kikao na makafiri ili walidhiane kila imani ibade free makkah, je mwalimu wako alikwambia hili? ,

Maana ya kafiri syo mbwa wala nguruwe, na kama kuishi na kafiri ni dhambi vp kuhusu hami wa mtume?, sipokuwa tu waislamu wawe na tahadhari dhidi ya vitimbi vya makafiri maana tuna kmbushwa " hawatakuwa radhi mayahudi na manaswar mpaka mufate mila zao"
Na pia kama tukiwatenga watamjuaje ALLAH ?, tuwe nao pamoja ili tupate kuwalingania hao ndugu zetu,

Cha mwisho kwa mtoa Mada ata ukiwa mkristo au myahudi au mpani , au dunia dunia nzima tuwe makafir basi ALLAH hapunguwiki na kitu wala aki ongeziki kitu, pia hakuna kulazimishana kwenye dini , kama ukitaka kuwa mpagini we usichelewe acha huo uislamu utajua mwenyewe.


 
Huu ni uongo wa kiwango cha juu, Uislam hausemi hivyo tena inasisitiza muwatendee wema watu wa dini nyingine Muongo Muongo Muongoooo.
 
Ndio maana Mafia maendeleo ni duni sana watu ni wavivu sana.ILa siamini kuwa kilichoelezwa bado kinatendeka hadi sasa bahati nzuri nchi yetu haina udini uliokidhiri.
Hivi mnajua kanisa la kwanza Tanzania lilianzia Zanzibar?
 
Sivyo ilivyo ukweli ni kwamba hayo ni mafundisho wanapewa ama kufundishwa ukimsalimia muislam ukimpa mkono anakuachia mapepo kumi
 
Huu ni uongo wa kiwango cha juu, Uislam hausemi hivyo tena inasisitiza muwatendee wema watu wa dini nyingine Muongo Muongo Muongoooo.
Wale mapadri waliouawa zenji kwa risasi na kumwagiwa tindikali ndio wema wenu huo..vipi hao wakristo wanaonyimwa kumiliki kioande cha ardhi huko zenji ndio wema wenu huo mnao utangaza.?

#MaendeleoHayanaChama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…