Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani za ukristo na uislamu wote wanafundisha chuki dhidi ya wenzao, ni vile tu kila dini inafundisha chuki kwa aina yake.Ungekuwa unaijua Mafia, ungempuuza...
Lakini kwavile umeamua kumwamini, sasa unaichukuliaje hiyo dini nyingine inayofundisha watoto kwamba wakikaa na Waislamu wanapata majini?!
Ina maana wewe maishani mwako hujawahi kukaa na Waislamu?
Na kama umewahi kukaa, ulishapata hayo majini?
Na kama hujapata, ina maana hiyo dini inasema uongo?
Na kama inasema uongo, ni dini ya namna gani hiyo?! Dini ya ukweli inaweza kufundisha uongo?!
Au tuseme katika maisha yako hujawahi kukaa na Mwislamu?! Inawezekana hivyo? Au ukigundua tu kwamba Mwislamu unamkimbia kwavile ulifundishwa (according to mtoa mada ambae umeamua kumwamini) ukikaa na Mwislamu utapata majini?!
Kama ndivyo, ni dini ya namna gani hiyo inayokufundisha kukaa na watu wa imani yako pekee?!
Huko mafia nasikia kama si mwislam hukai walai.Watumishi wengi wa umma huishia kuhamia maana nasikia ubaguzi ni kiwango kikubwa mno
Umesoma sekondari zote Tanzania, huwa mnakaa kwenye nini? Maana mimi nilikaa kwenye dawati japo wapo waliokuwa wanakaa kwenye vitiIla sekondari hatukai kwenye dawati
Acha tu mkuu..nikifikiriaga majanga yanavyokabir halaf nachomoka hata sielewei imekuaje aiseeee huwez nambia Mungu hayupo.Mungu yupo ndugu
Kabisa Mungu yupo
Kilichopo ni elimu isiyo sahihi kuhusu Mungu
Hicho ndiyo kinaharibu imani za watu
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Dingi ako mkaksi sana ..so aliamua kukuchongea dawati ukakalie shule 😂😂😂Umesoma sekondari zote Tanzania, huwa mnakaa kwenye nini? Maana mimi nilikaa kwenye dawati japo wapo waliokuwa wanakaa kwenye viti
Umesoma sekondari zote Tanzania, huwa mnakaa kwenye nini? Maana mimi nilikaa kwenye dawati japo wapo waliokuwa wanakaa kwenye viti
Acha tu mkuu..nikifikiriaga majanga yanavyokabir halaf nachomoka hata sielewei imekuaje aiseeee huwez nambia Mungu hayupo..Kuna mambo sometimes yamekua yananisongo na pesa kuitumia haileti majibu bas nakata tamaa kabisa naamua kupiga magoti nasali then nashangaa napata akil mpya ya kutatua changamoto huwa nabak kujiuliza kama sio Mungu ni nani basi????
Aisee...Uko vizur mkuu na inawezekana level ya changamoto tunazokutana nazo ni mbingu na ardhi..Mimi pia huwa nakutwa na changamoto nyingi sana na wala simuombi Mungu wala sina shida naye, na bado napata akili ya kuzitatua changamoto zangu.
Mafia kuna parokia ya kanisa katoliki na lina waumini wengi tu. Labda huyu yuko kisiwa kinaitwa jibondo kusini mashariki ya mafia. Hata kule kuna wakristo japo hakuna kanisa. Namshangaa ni mafia ya wapi.Mimi nilikuwa huko 2009 mpaka 2010 au anasimulia kijijini kwake maana hata huku bara kuna maeneo hakuna mwislamu kabisa au mkristo au dini nyingine kabisa zaidi ya dini moja tu ya kikrsto au kiislamu.Sawa ndugu Yohana Frank. Nitaongea na Askofu Gwajima, rafiki yangu Mwamposa! Ili tuone namna ya kuja kufungua kanisa huko Mafia na tuwakombea hao Kondoo wote walio potea.
Mkuu kubali ukatae ni kwasababu tu kuna sheria za nchi la sivyo ungeshuhudia mambo ya ajabu sana. Angalia mfano jihadists mafundisho yao ambayo wanafundisha vijana.Ungekuwa unaijua Mafia, ungempuuza...
Lakini kwavile umeamua kumwamini, sasa unaichukuliaje hiyo dini nyingine inayofundisha watoto kwamba wakikaa na Waislamu wanapata majini?!
Ina maana wewe maishani mwako hujawahi kukaa na Waislamu?
Na kama umewahi kukaa, ulishapata hayo majini?
Na kama hujapata, ina maana hiyo dini inasema uongo?
Na kama inasema uongo, ni dini ya namna gani hiyo?! Dini ya ukweli inaweza kufundisha uongo?!
Au tuseme katika maisha yako hujawahi kukaa na Mwislamu?! Inawezekana hivyo? Au ukigundua tu kwamba Mwislamu unamkimbia kwavile ulifundishwa (according to mtoa mada ambae umeamua kumwamini) ukikaa na Mwislamu utapata majini?!
Kama ndivyo, ni dini ya namna gani hiyo inayokufundisha kukaa na watu wa imani yako pekee?!
Toa maelezo kidogo mkuu ili na wengine wapate kujua yaliyokukuta.Nilienda pemba siku tano zilikuwa kama mwaka
Kule sio pa kuishi
Mungu hayupo wala hakuwahi kuwepo.Visiwani huko ulijaa ubaguzi mkuu,
Na hata sasa wasio waislamu bado wanabaguliwa kwa namna fulani japo si kama siku za nyuma. Watu sasa hivi wameanza kuyaelewa mambo, sasa hivi watu wameanza kuhoji kuhusu imani zao, hata kama siyo hadharani basi hata kimya kimya.
Mimi nashukuru kwa sababu miaka ijayo watu wataujua ukweli uliowazi kuhusu Mungu.
Mungu hayupo wala hakuwahi kuwepo.
Unaona unapofeli hapo?! Kwahiyo Al Shabaab kusema waliyosema kwako ndo reference ya kufanya conclusion?!Mkuu kubali ukatae ni kwasababu tu kuna sheria za nchi la sivyo ungeshuhudia mambo ya ajabu sana. Angalia mfano jihadists mafundisho yao ambayo wanafundisha vijana.
Reference ya karibu kabisa angalia lile tukio la West Gate Nairobi. Wale jamaa walikuwa wakikukuta wanakuambia recite shahadah (kwamba unamkiri Allah na unamtambua Mohamed kuwa ni mtume wa Allah) na kama hujui ulikuwa unakula risasi.
Sasa imagine kungekuwa hakuna hizo sheria za nchi zinazozuia mauaji unadhani watu ambao hawaamini Islam wangepona?
Na 191 Inasema:-Na piganeni katika njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanaowapigeni, wala msiruke mipaka. Kwa yakini Mwenyezi Mungu hawapendi warukao mipaka.
Na 192 inasema:-Na wauweni po pote mwakutapo, na kuwatoa po pote walipokutoweni; kwani mateso ni mabaya zaidi kuliko kuua. Wala msipigane nao karibu na Msikiti Mtakatifu mpaka wawapigeni ndani yake. Na wakiwapigeni basi nanyi pia wapigeni: kama hivyo ndiyo malipo ya makafiri.
Na mwisho inasema:-Lakini kama wakiacha, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu, Mrehemevu.
Na wapigeni mpaka pasiwe mateso, na dini iwe kwa ajili ya Mwenyezi Mungu tu; na kama wakiacha, basi usiweko uadui ila kwa wadhalimu.
Shule niliyosoma Ina madawati mkuu (dawati la mtu mmoja sio yale ya watu wa 3) pia Ina viti na meza ila mimi mwanzo mwisho nimekalia dawatiDingi ako mkaksi sana ..so aliamua kukuchongea dawati ukakalie shule 😂😂😂