Kisa cha wanawake wa JF kuitwa vikongwe/vibibi

Kisa cha wanawake wa JF kuitwa vikongwe/vibibi

Ukweli ni kwamba hatuwezi fikia hatua ya pili kabla ya hatua ya kwanza.

For you to agree to send me your picture you have to be convinced with what you read from what I write, be it on a certain thread or PM.

Inatokea sasa naenda deep sana kukuaminisha kwamba I am that guy ili unitumie hiyo picha. Unaponitumia hiyo picha I come to realize you are not my standards and I am too good for you, remember your beauty matters.

Ndio hapo sasa inabidi nitembee kimya kimya na inafika kipindi ndio vijana wanauliza, hivi hakuna wari humu wote ni vibibi tu???

Am just saying..........................


Basi kama hamtaki urafiki na sisi vikongwe, swali la kwanza liwe ni kuhusu umri ili tusifikie hata huko kwenye picha mjue sio wa standards zenu mapemaaa[emoji20][emoji20]
 
Hapana mimi binafsi ni mzee

Mimi niko poa/salama kabisa mkuu

Kwa kweli wacha niwatie moyo tu ila unaweza kuta kiuharisia hata siyo wazee bhasi mmejitengenezea mazingira rafiki ya kukwepa mishale ya mitongozo/usumbufu.

Unaweza kuta wewe Heaven Sent ni binti mmoja bado mbichi kabisa mwenye saa sita zake[emoji1][emoji1] ila kwa kuwa tayari tulishaga jiaminisha kuwa nyinyi(baadhi yenu)ni wazee kumbe hata siyo.
 
Huwa sielewi how watu mpaka mnaenda kuonana eti hamjuani iwe ndio unamuona mtu kwa mara ya kwanza??
 
Pia ni vibonge na wana vitambi halafu wote ni wavaa mawigi. Bila kusahau asilimia kubwa nina uhakika wamezalia nyumbani, hivyo wako desperate sana na ndoa.

Wanatamani hata waolewe mke wa tano na bambo. Kiukweli wanatia sana huruma hawa madada vibonge vitambi wa jf. Ila uwakute wanavyojinadi sasa.... unaweza sema unachati na Nina Roti au Mia Khalifa au Ayana Angel.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukweli ni kwamba hatuwezi fikia hatua ya pili kabla ya hatua ya kwanza.

For you to agree to send me your picture you have to be convinced with what you read from what I write, be it on a certain thread or PM.

Inatokea sasa naenda deep sana kukuaminisha kwamba I am that guy ili unitumie hiyo picha. Unaponitumia hiyo picha I come to realize you are not my standards and I am too good for you, remember your beauty matters.

Ndio hapo sasa inabidi nitembee kimya kimya na inafika kipindi ndio vijana wanauliza, hivi hakuna wari humu wote ni vibibi tu???

Am just saying..........................
My constant reaction while reading this..
 

Attachments

  • WTF.png
    WTF.png
    91.6 KB · Views: 1
Back
Top Bottom