NilikuA natumia app initially ila Sasa ni kama wameitelekezaSijawahi tumia app,so siwezi jua.Kila nikiwa JF huwa ninaingia kwa website.
Km Mimi ππNime-disirayiki riuzi rako!
Baki hvyohvyo uko Kwenye njia sahihi ju ya hicho unachoonaMimi mbona sioni seemu ya kuweka Dslike naona kwa ku like tu.
Tumia web appOooh hapo sawa, sie wa App hata picha tyuuh mtihani kufungukaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π π π πNtailaumu akili yangu iliyovutishwa bangi form 2
Ila sikuamini kama dislike inaweza kukuliza hivyo
Nielekeze basi ndugu mbona unanisimangaAcha ushamba
Hata sitakii, hizo heka heka za dislikes sio shida zangu.Tumia web app
Picha?Hata sitakii, hizo heka heka za dislikes sio shida zangu.
Umedislike my quote sasa kwa nini!? πππ but nothing really hahahaaa nivijimambo vya mtandaoni JF be happy and humble brotherKwanini ani dislike afu nimuache na mimi π
Eeeh! Nimekuita brother kumbe ni sis! Aah! Ila ni avatar nisije ingia chakike πππWeeee kweliii? Nimechanaganya sorry uyo ye34nbe ndo mchokozi