Nimekuwa broo,Shut up brooo
Ngo!Hata miye mughabho!Km Mimi ๐๐
Shut up brooo
Nikujizimisha data tu๐Tulia broo hahahahaaa๐๐๐๐
Ila JF bhana aaagh! I donโt give a damn fucking problems ๐๐๐๐
Hahahahaaa what a life moments ๐๐๐๐ mwendo wa kujizima data au sio๐๐๐๐๐ nimeipenda hio broo...Nikujizimisha data tu๐
Ukikaza misumari ya kichwa Kila mtu atakuwa mbaya
[emoji1418]Wakuu, za sahizi tena
Nipo hapa nacheka kaa fala, [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii ni baada ya ku dislike baadhi ya comment za watu na mtu akaamua kunianzishia thread
Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,
Maana najua humu wengi ni watu wazima sana mostly 28+ huko
Sema mpo busy kabisa kunishambulia aseee kupata attention humu ndani ni rahisi sana
Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee
Till next time fellas [emoji851][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]View attachment 2626231
MdadaEeeh! Nimekuita brother kumbe ni sis! Aah! Ila ni avatar nisije ingia chakike ๐๐๐
Whatโs your gender please?
Ooh! Habari mrembo...Mdada
Ndiyo safi kama uzioni!Hata siioni mie, au kwa kuwa natumia App??
HaswaaahNdiyo safi kama uzioni!
Hv kudislike nafanyaje?Binafsi hata sijali kabisa.Yaani ukidislike kwa mfano unanipunguzia nini sasa?
Tumia browser kuingia JF utaona options nyingi mnoo๐๐Hv kudislike nafanyaje?
Asante auntiee akee โค๏ธ๐น๐คฉ๐๐Hebu acheni kumnenea mtoto wa mwenzenu mabaya bana,๐.
Ni hizo dislike.tu au kuna jengine.
Huyu ndo madenge wetu wa JF inabid tu tumpende.
Ukute nyie mlivyokuwa wadogo mlikua watundu kuliko yeye๐.
Mi namnenea na kumtabiria kuwa atafika mbali kimafanikio.Akikua ataacha let the kid be๐