Kisa dislike watu mnajisikia kufa duuuh, asee I doubt your self worth

Status
Not open for further replies.
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃKuna watu wanatumia ikes za JF kuombea kazi,Sasa ukiwapa dislike unawapunguzia marks kwenye sivii zao๐Ÿคฃmie Wala simaind dislike manake hata mie mtu akiandika utopolo namtwanga dislike kirohi Safi tu ๐Ÿ™
 
Mimi sijali dislikes wala kuchukia na haiwi member wa Jf timamu achukie kisa dislikes kitu ambacho hakimpunguzii wala kumuongezea kitu.

Watu mpaka kukusema na kukushambulia ni kukuonya utoto wako ni sio kwamba wamechukulia kiundani.Maana ya kukuonya ni kwamba isije kuwa hautambui tatizo lako na upo ilimradi tu.

Mimi iliwahi kutokea member humu Notorious thug kutembeza like kila post yangu sikumaindi niliwahi kumfuata mpk PM na tukawa tunataniana mule ,ila mwisho wa siku akaacha huonmchezo ikawa full amani.
 
Nikujizimisha data tu๐Ÿ˜‚
Ukikaza misumari ya kichwa Kila mtu atakuwa mbaya
Hahahahaaa what a life moments ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mwendo wa kujizima data au sio๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nimeipenda hio broo...
 
[emoji1418]
 
ye34nbe sasa nimeku unignore ramsi na naziona live dislikes zako naomba uendeleze juhudi, akili ya ziada na maarifa katika kazi yako maana nimegundua kuwa una kitu utafika mbali.
 
Hebu acheni kumnenea mtoto wa mwenzenu mabaya bana,๐Ÿ˜‚.
Ni hizo dislike.tu au kuna jengine.
Huyu ndo madenge wetu wa JF inabid tu tumpende.
Ukute nyie mlivyokuwa wadogo mlikua watundu kuliko yeye๐Ÿ˜‚.

Mi namnenea na kumtabiria kuwa atafika mbali kimafanikio.Akikua ataacha let the kid be๐Ÿ™
 
Asante auntiee akee โค๏ธ๐ŸŒน๐Ÿคฉ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ