Kisa dislike watu mnajisikia kufa duuuh, asee I doubt your self worth

Status
Not open for further replies.
Ngoja nikusaidie kama unatumia Smartphone ama Tablet.

1. Fungua Chrome alafu weka link ya jf ingia.



2. Click kwenye vidoti 3 vipo juu kulia itafungua



3. Click kwenye Install App


4. Alafu utacklick install,

utapata App ya JF ambayo ni nzuri kwa wale wanaotumia smartphone.

Unaweza pia kuinstall kwenye laptop
Hata siioni mie, au kwa kuwa natumia App??

Hii hapa mimi ndio ninayoitumia kwenye smartphone, tablet na laptop.

Ona hapo huyu kenge mwenzangu kesha nipa dislike!
 
Hapana Mkuu.

Sikumaanisha. Najua hapa wote tunatania. Hata yeye hamaanishi kuwepo hizo 'dislike'.

Natengua kauli, nakutakia kila la kheri mwanangu ye34nbe. Mungu akuweke na kukutimizia yaliyo makuu.
 
Hapana Mkuu.

Sikumaanisha. Najua hapa wote tunatania. Hata yeye hamaanishi kuwepo hizo 'dislike'.

Natengua kauli, nakutakia kila la kheri mwanangu ye34nbe. Mungu akuweke na kukutimizia yaliyo makuu.
Ewaa asante uncle πŸŽ‰πŸŽŠπŸŽŠ
 
Nakumbuka mkuuu 🀝🀝
 
Asante auntiee ww unaelewa hii mitandao sikua hata serious watu wamepata ghadhabu kaa nn, Duuh

Ndo maana wengi wao maisha hawayawezi ila acha niishie hapo 🀣🀣🀣
Nina mengi yakunisumbua dogo nikiruhusu na vitu kama likes vinisumbue nitakufa an early death.
Wewe ukichoka dislike tafuta hata button ya I HATE YOU AUNTIE unitwange nayo and you will still remain my fav kiddie in here.

ILA siku nikikukamata nitakupa vifinyo vya idadi ya dislikes zote ulizonipaπŸ˜‚
 
Hapana Mkuu.

Sikumaanisha. Najua hapa wote tunatania. Hata yeye hamaanishi kuwepo hizo 'dislike'.

Natengua kauli, nakutakia kila la kheri mwanangu ye34nbe. Mungu akuweke na kukutimizia yaliyo makuu.
Sawa mkuu nimekuelewaπŸ™
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Sawa auntie akee
 
We si Bora ame dislike[emoji23][emoji23][emoji23]..Mimi mmoja alinifata inbox na stress zake ananiattack kabisa. Hiyo Siku ndo nilijua humu watu stress Ni nyingi Sana. Hanijui simjui Ila alivyopanic na thread yangu. Acha tu[emoji23]
 
We si Bora ame dislike[emoji23][emoji23][emoji23]..Mimi mmoja alinifata inbox na stress zake ananiattack kabisa. Hiyo Siku ndo nilijua humu watu stress Ni nyingi Sana. Hanijui simjui Ila alivyopanic na thread yangu. Acha tu[emoji23]
Watu wana stress sana za maisha 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣


Watapata tabu sana nimekaa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰
 
Mtoto angu kwa hyo itakuaje?
 
Asee hivi nyie watu mnajua mnabishana na mtu mwenye miaka mingapi hivi,
Any way asante kwa kuchangamsha genge acha mimi nikajisomee[emoji23]
 
Kutoadislike kuna athari zipi uzeeni?
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Wuuuuh
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…