Kisa kazi, mchumba wangu amenisaliti

🤣🤣 Jamaa akisoma hii anaeza lipuka
 
Nilikuwa na mwanamke toka shule mwishoni na hadi tukaenda kusoma vyuo tofauti yeye Dom na mimi Moro .mahusiano yaliendelea vizur alipofika mwaka wa 2 akabadilika nikafanya uchunguzi nikagundua anatoka na mwalimu nikampiga chini baadae majanga yakampata kumbe jamaaa alimvalisha hadi Pete ya uchumba yangu akavua at the end akaja kujua jamaa ameoa na ana watoto 2 tena ndoa ya kikursto akarudi kwangu analia nikasema No!! Akameza vidonge afe.mama yake anapiga cm analia nimsamehe mwanae atakufa nikasema no
 
Bro una talent ya kujaza mtu upepo.
 
Mjanja Wa Town
KWANZA POLE KWA YALIYOKUSIBU JAMAA YANGU ,

WANAWAKE WANA MAKUSUDI MENGI SANA NA WAKISHATIMIZA ADHMA YAO KWAKO KIKAMILIFU NDO HUKUONESHA MAKUCHA ,

JIULIZE KWANZA KAMA ALIKUBALI KULIWA TENA PEKU NA UJAUZITO AKAPATA NA KUUTOA UNADHANI WEWE UNA KIPI SPECIAL CHA KUMFANYA AKUPENDE ?

ANACHOJARIBU KUFANYA KWAKO NI KUKUHARIBIA MAISHA KWA NAMNA ANAVYOJUA YEYE NA HAPO NDO UTAPOTEZA DIRECTION NA KUWA MTU WA KAWAIDA SANA I SWEAR NAKWAMBIA,

JARIBU KUWA NA MSIMAMO THABITI WHEN U SAY NO U MEAN NO ACHA AVUNE ALICHOKIPANDA WEWE ANGALIA YAJAYO OTHERWISE UTAPOTEZA KILA KITU.........UTAKAPOPATA ANY STD's
 
Same experience, chuo kinawaharibu sana mademu. Wakiona Benz na Ist wanajua wamefika bila kujua hao wahuni wanawatumia tu wakishachoka wanawa dumb. Hapo hata angepiga simu bibi yake, hakuna cha msamaha.
Bro ni wanawa dump sio wanawadumb
 
Kuna watu wanapitia magumu.

Ingawa utamsamehe kwa kuona ni udhaifu ulimpitia lakini itakuja kubaki kwamba wee ni mnyonge..na mnyonge kwa kizungu ni COWARD
 
Kuna watu wanapitia magumu..
Ingawa utamsamehe kwa kuona ni udhaifu ulimpitia lakini itakuja kubaki kwamba wee ni mnyonge..na mnyonge kwa kizungu ni COWARD
100% kabisa
 
Hivi mtu wa dini ndo yupoje yupoje sielewi[emoji848][emoji848]


Mambo yasiwe mengi ACHANA NAE japo najua uweziii i[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kila siku nasema uzinifu haujawai kumuacha mtu salama hata siku moja.angalia ndoa zenye migogoro lukuki chanzo ni uzinifu usio na mipaka.! Ushauri wangu tubu na huyo mwenzio alafu oa .mana huna pakwenda unaweza pata danga huyo ana afadhali.tatizo lenu ni uzinifu ndio umewapeleka huko.....

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Tekeleza ulichoahidi, labda nikukumbushe, ulimwambia akikueleza kila kitu, utamsamehe na mtaendelea na mapenzi yenu. Sasa kama ulikuwa ukifanya mzaha, mwenzako hana mzaha!
 
Pole sana sikilizia moyo wako fanya maamuzi magumu kila lakheri.
 
PIGA CHINI.

Usijejaribu kuweka malengo kwa mwanamke mwenye huruma ambae tatizo dogo tu analialia kusaidiwa na wanaume huyo kuvua chupi ni jioni tu.

Huyo wako achana nae mkuu ashakutia doa kwenye hatua adhimu kabisa. Labda angekua teenager tungesema hajakomaa kiakili, sasa huyo yupo kazini kahisa na hadi mimba kaitoa. Ni alidhamiria kucheat, that means asingepata hiyo mimba na jamaa angeendelea kua nice kwake wewe ndo ungeachwa.

Na anakubebembeleza zaidi wewe kwakua kule kaharibu ko tegemezi ni wewe kumsitiri na hiyo aibu.

MKUU PIGA CHINI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…