Kisa Kizito cha Mzee aliyemnyooshea Bakora Mwalimu Nyerere

Kisa Kizito cha Mzee aliyemnyooshea Bakora Mwalimu Nyerere

Hebu toa unanii wako hapaaa.

Miaka hiyo ya 60 kama unakumbuka mambo makubwa kama haya jua ulikua na umri wa miaka 10+ means ulizaliwa 50’s.Haya mpaka leo ni 24 means una 74 yrs. Suprisingly unasema unaitafuta 70!.

Hii story umekopy umeshindwa hata kuedit bibi wewe.
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.

Jambo lipi kubwa nililoliandika la kufanya nilisahau? Nyerere kununuwa sigara kwetu au kuwasahau wazee wangu?

Mimi nakumbuka hata nilivyokua nanyonya kifuani kwa mamangu.
Sina akili za kipoyoyo kama wewe.
 
Hii video clip nilipokuwa naisikiliza mwili ulikuwa unanisisimka, nikakumbuka utoto miaka ya mwanzo ya 60 pale kwetu Lumumba na wazee niliokua nawaona pale wakija ofisi ya TANU na Nyerere akiwemo, sio Nyerere wa sasa, kijana kabisa mtanashati, Namkumbuka kwa sababu sigara akinunuwa dukani kwetu na akifahamiana sana na shangazi yangu hapo nyumbani, Mrehemu bi Mariam, na mdogo wake amabe ni mjombangu. Alikua kidogo zimemzidi sana. Mwenyezi Mungu amrehemu maarufu "Mjomba Husseni".

Dah, nimemkumbuka mpaka Mzee Amri na sauti lake kama ana makohozi mdomoni, pale jirani yetu kwa mtaa wa udoe. Nakumbuka akianika betri kama za pikipiki zamani ndio za redio yake.

Jioneeni hii video, sitaki kuongeza langu kwa sasa. Naomba Alama Alama Mohamed Said aje mwenyewe kupanguwa risasi, maana najuwa huku kuna watu kwao, nyerere ndiyo kama mungu wao wa duniani:
View: https://youtu.be/JNxS7UpEIRo?si=0ke-vQap9jevRc03

Hii habari nzito sana.

Yaleyale kumdogosha nyerere.. kwamba alikuwa mvuta fegi
 
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.

Jambo lipi kubwa nililoliandika la kufanya nilisahau? Nyerere kununuwa sigara kwetu au kuwasahau wazee wangu?

Mimi nakumbuka hata nilivyokua nanyonya kifuani kwa mamangu.
Sina akili za kipoyoyo kama wewe.
Mjinga kweli wewe, ukumbuke ukinyonya with Two years wakati hata kuongea ulikua huwezi.
 
Hii video clip nilipokuwa naisikiliza mwili ulikuwa unanisisimka, nikakumbuka utoto miaka ya mwanzo ya 60 pale kwetu Lumumba na wazee niliokua nawaona pale wakija ofisi ya TANU na Nyerere akiwemo, sio Nyerere wa sasa, kijana kabisa mtanashati, Namkumbuka kwa sababu sigara akinunuwa dukani kwetu na akifahamiana sana na shangazi yangu hapo nyumbani, Mrehemu bi Mariam, na mdogo wake amabe ni mjombangu. Alikua kidogo zimemzidi sana. Mwenyezi Mungu amrehemu maarufu "Mjomba Husseni".

Dah, nimemkumbuka mpaka Mzee Amri na sauti lake kama ana makohozi mdomoni, pale jirani yetu kwa mtaa wa udoe. Nakumbuka akianika betri kama za pikipiki zamani ndio za redio yake.

Jioneeni hii video, sitaki kuongeza langu kwa sasa. Naomba Alama Alama Mohamed Said aje mwenyewe kupanguwa risasi, maana najuwa huku kuna watu kwao, nyerere ndiyo kama mungu wao wa duniani:
View: https://youtu.be/JNxS7UpEIRo?si=0ke-vQap9jevRc03

Hii habari nzito sana.

Hizi story inabidi ziletwe na mabilionea, inaniuma sana mtu ambaye hana maisha anakumbushia mambo yasiyo ya maana. Nakumbuka kipindi fulani nilienda Zanzibar kuna jamaa hana maisha ananiambia alizaliwa mahala palipo Tembo hotel na baada ya mapinduzi familia yao ilinyanganywa jengo. Jamaa alitoa hadi ushahidi wa picha zake za utototni nikabaki ninacheka .Muda haurudi nyuma kama wewe unataka kuthaminiwa na kuheshimiwa na jamii pambana na ufike juu. Lakini masuala ya kukumbushia kuwa mlikuwa juu au kuna mtu alikuwa juu ni ujinga.
 
Faith fox nikajua ni wale wadada wa 2000 wavaa dela aka mwajuma ndala ndefu dah shikamohoo bibi japo nina miaka 63
 
Hii video clip nilipokuwa naisikiliza mwili ulikuwa unanisisimka, nikakumbuka utoto miaka ya mwanzo ya 60 pale kwetu Lumumba na wazee niliokua nawaona pale wakija ofisi ya TANU na Nyerere akiwemo, sio Nyerere wa sasa, kijana kabisa mtanashati, Namkumbuka kwa sababu sigara akinunuwa dukani kwetu na akifahamiana sana na shangazi yangu hapo nyumbani, Mrehemu bi Mariam, na mdogo wake amabe ni mjombangu. Alikua kidogo zimemzidi sana. Mwenyezi Mungu amrehemu maarufu "Mjomba Husseni".

Dah, nimemkumbuka mpaka Mzee Amri na sauti lake kama ana makohozi mdomoni, pale jirani yetu kwa mtaa wa udoe. Nakumbuka akianika betri kama za pikipiki zamani ndio za redio yake.

Jioneeni hii video, sitaki kuongeza langu kwa sasa. Naomba Alama Alama Mohamed Said aje mwenyewe kupanguwa risasi, maana najuwa huku kuna watu kwao, nyerere ndiyo kama mungu wao wa duniani:
View: https://youtu.be/JNxS7UpEIRo?si=0ke-vQap9jevRc03

Hii habari nzito sana.

Ulisisimka sana mpaka ikulu nako ilinyesha utonvu?
 
Hii video clip nilipokuwa naisikiliza mwili ulikuwa unanisisimka, nikakumbuka utoto miaka ya mwanzo ya 60 pale kwetu Lumumba na wazee niliokua nawaona pale wakija ofisi ya TANU na Nyerere akiwemo, sio Nyerere wa sasa, kijana kabisa mtanashati, Namkumbuka kwa sababu sigara akinunuwa dukani kwetu na akifahamiana sana na shangazi yangu hapo nyumbani, Mrehemu bi Mariam, na mdogo wake amabe ni mjombangu. Alikua kidogo zimemzidi sana. Mwenyezi Mungu amrehemu maarufu "Mjomba Husseni".

Dah, nimemkumbuka mpaka Mzee Amri na sauti lake kama ana makohozi mdomoni, pale jirani yetu kwa mtaa wa udoe. Nakumbuka akianika betri kama za pikipiki zamani ndio za redio yake.

Jioneeni hii video, sitaki kuongeza langu kwa sasa. Naomba Alama Alama Mohamed Said aje mwenyewe kupanguwa risasi, maana najuwa huku kuna watu kwao, nyerere ndiyo kama mungu wao wa duniani:
View: https://youtu.be/JNxS7UpEIRo?si=0ke-vQap9jevRc03

Hii habari nzito sana.

Tumeisika hiyo clip , haina lolote la maana, kwa sababu wakati wengine wanapigania uhuru wa watu wote wa Tanganyika, watu wasio na upeo kuona mbali kama huyo Takadiri, mwislamu mbaguzi alikuwa na malengo ya Islamic state, tena amesema mwenyewe, "hatatusaidia huyu, atasaidia wenzake".
Mbaguzi wahed na alikuwa anapanda mbegu za chuki.
Na chuki yake ndiyo ilimwondoa duniani.

Na huko sokoni waiokuwa wakimnyanyapaa ni waislamu wenzake ambao waliona hafai.
Ubaguzi wa kiislamu haukumwacha salama huyo Takadiri.
 
Back
Top Bottom