Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wenye jazba, very thick headed!Wivu tu kwa vile aliwazidi wazee wao mambo nengi sana kuelimu, maarifa na hekima
Huihui,Wivu tu kwa vile aliwazidi wazee wao mambo nengi sana kuelimu, maarifa na hekima
Ukitajiwa jina la Nyerere unapata tumbo la kuhara. Pole sana, ndiye shujaa wa Tanzania, Rais wa kwanza Tanzania na Baba wa Taifa.Huihui,
Bahati mbaya hukupata kuwajua wazee wetu wala hukupata kusikia mchango wao katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Historia hii umeisikia kwangu na bahati mbaya imekuumiza nafsi yako.
Sababu ya wewe kuumia ni kuwa imekudhihirikia wema wao na uzalendo wa hali ya juu waliokuwanao hawa wazee.
Kila hatua unawakuta kuanzia 1924 Dr. Kwegyir Aggrey alivyomshauri Kleist Sykes kuunda African Association hadi 1929 alipoiunda na 1933 alipounda Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.
Kuandika historia ya maisha yake kabla ya kifo chake na mswada huu kufikishwa University of East Africa Department of History na kila kitu kuwekwa wazi.
Hadi 1950 Schneider Abdillah Plantan anashinikiza kuondolewa madarakani kaka yake Thomas Plantan aliyekuwa President wa TAA na Secretary Clement Mohamed Mtamila na kuwaingiza madarakani vijana wadogo Dr. Vedasto Kyaruzi na Abdulwahid Sykes.
1952 Nyerere anapelekwa nyumbani kwa Abdul Sykes na Joseph Kasella Bantu na 1953 Hamza Mwapachu anamshauri Abdul Sykes wampe Nyerere uongozi wa TAA na 1954 waunde TANU.
Mimi kuandika historia hii si kwa kuwa nina wivu au namchukia Nyerere.
Nimeandika kuweka sawa historia ya uhuru wa Tanganyika.
Historia ya Sheikh Suleiman Takadir ilifutwa.
Nimeiweka hapa ili tuijue na tujifunze kwayo.
Hii si chuki.
Maandiko yako yote ni Islamcentric , au unaitazama historia kwa miwani ya dini yako.Huihui,
Bahati mbaya hukupata kuwajua wazee wetu wala hukupata kusikia mchango wao katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Historia hii umeisikia kwangu na bahati mbaya imekuumiza nafsi yako.
Sababu ya wewe kuumia ni kuwa imekudhihirikia wema wao na uzalendo wa hali ya juu waliokuwanao hawa wazee.
Kila hatua unawakuta kuanzia 1924 Dr. Kwegyir Aggrey alivyomshauri Kleist Sykes kuunda African Association hadi 1929 alipoiunda na 1933 alipounda Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika.
Kuandika historia ya maisha yake kabla ya kifo chake na mswada huu kufikishwa University of East Africa Department of History na kila kitu kuwekwa wazi.
Hadi 1950 Schneider Abdillah Plantan anashinikiza kuondolewa madarakani kaka yake Thomas Plantan aliyekuwa President wa TAA na Secretary Clement Mohamed Mtamila na kuwaingiza madarakani vijana wadogo Dr. Vedasto Kyaruzi na Abdulwahid Sykes.
1952 Nyerere anapelekwa nyumbani kwa Abdul Sykes na Joseph Kasella Bantu na 1953 Hamza Mwapachu anamshauri Abdul Sykes wampe Nyerere uongozi wa TAA na 1954 waunde TANU.
Mimi kuandika historia hii si kwa kuwa nina wivu au namchukia Nyerere.
Nimeandika kuweka sawa historia ya uhuru wa Tanganyika.
Historia ya Sheikh Suleiman Takadir ilifutwa.
Nimeiweka hapa ili tuijue na tujifunze kwayo.
Hii si chuki.
Huihui,Ukitajiwa jina la Nyerere unapata tumbo la kuhara. Pole sana, ndiye shujaa wa Tanzania, Rais wa kwanza Tanzania na Baba wa Taifa.
Hizo ngonjera zako zitaishia misikitini kwenu tu
Jidu...Maandikoyako yote ni Islamcentric , au unaitazama historia kwa miwani ya dini yao.
Unachohadithia ni tofauti na uhalisia.
Sasa utuambie kama Nyerere aliyetoka huko misituni, kama aliwashikia majambia "wazee wako" ili awaghilibu na kutawala.
Ninyi ndio mnafaa kukaa misikitini tu na kuhubiri dini kuliko kupotosha historia.
Hatupingi watu wa Pwani walishiriki kimamilifu kudai uhuru, lakini hawakuwa peke yao kama unavyo vutia ngozi ya uislamu kwako.
Nakuambia tena, kadanganye watu wa msikitini. Hivyo vijarida vyako as long as havijaingia kwenye mtaala wa Wizara ya Elimu Tanzania havibadili kitu. Ongezeni tu kwenye hadidu rejea za kaswidaHuihui,
Mimi sikupata hata kwa mbali kufikiria kuwa kitabu cha Abdul Sykes mosi kitawaathiri baadhi ya watu kwa kiwango kama hiki chako cha kutoa matusi kwa ghadhabu.
Pili sikufikiria hata kidogo kuwa kitabu cha Abdul Sykes kitabadili historia si ya Mwalimu Nyerere peke yake bali kitabadili pia historia nzima ya uhuru wa Tanganyika.
Mimi uwanja wangu si msikitini.
Tazama hizo picha hapo chini:
View attachment 3085091
BBC Glasgow Scotland 1991
View attachment 3085095
VoA Washington 2011
View attachment 3085097
BBC Dira ya Dunia
Hii video clip nilipokuwa naisikiliza mwili ulikuwa unanisisimka, nikakumbuka utoto miaka ya mwanzo ya 60 pale kwetu Lumumba na wazee niliokua nawaona pale wakija ofisi ya TANU na Nyerere akiwemo, sio Nyerere wa sasa, kijana kabisa mtanashati.
Namkumbuka kwa sababu sigara akinunuwa dukani kwetu na akifahamiana sana na shangazi yangu hapo nyumbani, Mrehemu bi Mariam, na mdogo wake amabe ni mjombangu. Alikua kidogo zimemzidi sana. Mwenyezi Mungu amrehemu maarufu "Mjomba Husseni".
Dah, nimemkumbuka mpaka Mzee Amri na sauti lake kama ana makohozi mdomoni, pale jirani yetu kwa mtaa wa udoe. Nakumbuka akianika betri kama za pikipiki zamani ndio za redio yake.
Jioneeni hii video, sitaki kuongeza langu kwa sasa. Naomba Alama Alama Mohamed Said aje mwenyewe kupanguwa risasi, maana najuwa huku kuna watu kwao, nyerere ndiyo kama mungu wao wa duniani:
View: https://youtu.be/JNxS7UpEIRo?si=0ke-vQap9jevRc03
Hii habari nzito sana.
Huihui...Nakuambia tena, kadanganye watu wa msikitini. Hivyo vijarida vyako as long as havijaingia kwenye mtaala wa Wizara ya Elimu Tanzania havibadili kitu. Ongezeni tu kwenye hadidu rejea za kaswida
Hii video clip nilipokuwa naisikiliza mwili ulikuwa unanisisimka, nikakumbuka utoto miaka ya mwanzo ya 60 pale kwetu Lumumba na wazee niliokua nawaona pale wakija ofisi ya TANU na Nyerere akiwemo, sio Nyerere wa sasa, kijana kabisa mtanashati.
Namkumbuka kwa sababu sigara akinunuwa dukani kwetu na akifahamiana sana na shangazi yangu hapo nyumbani, Mrehemu bi Mariam, na mdogo wake amabe ni mjombangu. Alikua kidogo zimemzidi sana. Mwenyezi Mungu amrehemu maarufu "Mjomba Husseni".
Dah, nimemkumbuka mpaka Mzee Amri na sauti lake kama ana makohozi mdomoni, pale jirani yetu kwa mtaa wa udoe. Nakumbuka akianika betri kama za pikipiki zamani ndio za redio yake.
Jioneeni hii video, sitaki kuongeza langu kwa sasa. Naomba Alama Alama Mohamed Said aje mwenyewe kupanguwa risasi, maana najuwa huku kuna watu kwao, nyerere ndiyo kama mungu wao wa duniani:
View: https://youtu.be/JNxS7UpEIRo?si=0ke-vQap9jevRc03
Hii habari nzito sana.
Masopo...Huyu mzee Mohammes Said mbona haelezi juu ya biashara yz utumwa iloyowaathiri sana " wazee wake*.
Zote tu?Masopo...
Ungependa tuanze na biashara ipi ya utumwa?
Cross Atlantic Slave Trade au Belgian Congo?
Kumbe julius alikuwa anagonga fegiUsilolijuwa ni usiku wa kiza.
Jambo lipi kubwa nililoliandika la kufanya nilisahau? Nyerere kununuwa sigara kwetu au kuwasahau wazee wangu?
Mimi nakumbuka hata nilivyokua nanyonya kifuani kwa mamangu.
Sina akili za kipoyoyo kama wewe.
Maso...Zote tu?
Na usijikite Belgian Congo, anzia hapa kwetu Tanganyika.
Na ueleze wale waiochukuliwa utumwa kwenda Uarabuni kilichowatokea na sasa wako wapi vitukuu vyao
Usibadili magoli to your convenience. Najua unakwepa swali kwa vile jibu unalijua.Maso...
Anza kusoma Atlantic Slave Trade utueleze ulichojifunza.
Maso...Usibadili magoli to your convenience. Najua unakwepa swali kwa vile jibu unalijua.
Naongelea watumwa waiochukuliwa Uyaoni , Nyasaland, Urambo,East Congo.
Waliishia wapi?
Na uzao wao huko uko wapi?
Good, umekubali utumwa ulikuwepo East Coast ya Africa.Maso...
Ikiwa unaijua historia ya utumwa na walikoishia watumwa sasa mimi unaniuliza kwa sababu gani ilhali wewe ni mjuzi?