Kisa Kizito cha Mzee aliyemnyooshea Bakora Mwalimu Nyerere

Usilolijuwa ni usiku wa kiza.

Jambo lipi kubwa nililoliandika la kufanya nilisahau? Nyerere kununuwa sigara kwetu au kuwasahau wazee wangu?

Mimi nakumbuka hata nilivyokua nanyonya kifuani kwa mamangu.
Sina akili za kipoyoyo kama wewe.
 
Yaleyale kumdogosha nyerere.. kwamba alikuwa mvuta fegi
 
Usilolijuwa ni usiku wa kiza.

Jambo lipi kubwa nililoliandika la kufanya nilisahau? Nyerere kununuwa sigara kwetu au kuwasahau wazee wangu?

Mimi nakumbuka hata nilivyokua nanyonya kifuani kwa mamangu.
Sina akili za kipoyoyo kama wewe.
Mjinga kweli wewe, ukumbuke ukinyonya with Two years wakati hata kuongea ulikua huwezi.
 
Hizi story inabidi ziletwe na mabilionea, inaniuma sana mtu ambaye hana maisha anakumbushia mambo yasiyo ya maana. Nakumbuka kipindi fulani nilienda Zanzibar kuna jamaa hana maisha ananiambia alizaliwa mahala palipo Tembo hotel na baada ya mapinduzi familia yao ilinyanganywa jengo. Jamaa alitoa hadi ushahidi wa picha zake za utototni nikabaki ninacheka .Muda haurudi nyuma kama wewe unataka kuthaminiwa na kuheshimiwa na jamii pambana na ufike juu. Lakini masuala ya kukumbushia kuwa mlikuwa juu au kuna mtu alikuwa juu ni ujinga.
 
Faith fox nikajua ni wale wadada wa 2000 wavaa dela aka mwajuma ndala ndefu dah shikamohoo bibi japo nina miaka 63
 
Ulisisimka sana mpaka ikulu nako ilinyesha utonvu?
 
Tumeisika hiyo clip , haina lolote la maana, kwa sababu wakati wengine wanapigania uhuru wa watu wote wa Tanganyika, watu wasio na upeo kuona mbali kama huyo Takadiri, mwislamu mbaguzi alikuwa na malengo ya Islamic state, tena amesema mwenyewe, "hatatusaidia huyu, atasaidia wenzake".
Mbaguzi wahed na alikuwa anapanda mbegu za chuki.
Na chuki yake ndiyo ilimwondoa duniani.

Na huko sokoni waiokuwa wakimnyanyapaa ni waislamu wenzake ambao waliona hafai.
Ubaguzi wa kiislamu haukumwacha salama huyo Takadiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…