Kisa nilicho kutana nacho huu mwaka katika kutafuta ajira

Una Uandishi Mbaya Sana Wewe Unatia Kinyaa Hauna Mvuto Kuusoma
 
Mriga....!!

Happy New Year...!!!😉

I know the year is ending, but...... t's been long...

Good to see you here.

Happy Wednesday 😊.
Happy New Year to you too. Hivi ni kweli mwaka huu hatujaonana humu kweli?!!

Are you in Dar or ....?
 
Halafu pia huenda walikuona hamnazo, uandishi mbovu sijawahi ona popote hata km umegraduate lkn ni sifuri tena bure kabisa.
 
Mkuu cold water kama ikitokea Tena umeenda sehemu ukakutana na viashiria hzo bas nicheki pm Nina dada angu Yuko pccb nimemuambia swala lako akasema Hilo Ni kosa Sana hvyo ikitokea Tena unapata usumbufu mcheki atakusadia kuwa njoosha tu na akili zikae sawaa Ni haki yako kupewa internship na fied kufanya

Mtuhumiwa anawrmeza fungwa miaka 5 au faini ya milion 5 au vyote kwa pmj
 
Aaah demu wako kazi anayo aisee!!

Kwahiyi pisi ako akinyanduliwa ni pw tu??
 
Pole sana. Tamaa za ngono/zinaa zimetujaa wanaume wengi. Hongera kwa msimamo. Kaza hivyo hivyo, usilegeze. Usikubali mbususu yako iliwe kizembe.
 
Nipe namba zako ofisini kwetu zipo nafasi za kujitolea na hawana longo longo kama hizo ila next time ukiandika ufuate kanuni za uandishi kwa ulivyoandika huyo jamaa alikuwa sahihi kukwambia CV yako umeiandika vibaya inabidi airekebishe.
 
Aaah demu wako kazi anayo aisee!!

Kwahiyi pisi ako akinyanduliwa ni pw tu??
Nina mke mkuu. Na pale mwisho nimesisitiza Kwa herufi kubwa kuwa sio kila ushauri ni wa kuupokea, hapo nimejumlisha na huo wa kwangu
 
Wewe unaona watu wanapata uteuzi unadhani ni mchezo mchezo tu?
 
Ila wabongo bwana,yaani haihitaji kuvaa vibaya Ili uombwe ngono. Wanawake wenye msimamo wanapitia sana udhalilishaji wa ngono hasa hasa huko maofisini. Dada usikate tamaa na Wala usiyumbishwe na msimamo wako hakika Kila mtu ana wakati wake.
Tatizo anataka kazi kwenye ofisi za chama tawala🤣🤣
 
,ivi ivo ivo , ulipoti ,nimegairi
Ambaye hakuridhika na uandishi wako hakukuonea ndo maana wengine wanataka wakubebe juu juu.
nyie ndio mnaopelekea watu ku-bak, watu wanaomba bado inakuwa shida, mwanaume kaumbiwa hivyo ni vile unamkuta pale ofisini imekuwa kama mbwa aliyefia kwa mpika supu,lazima atapikwa supu tu...mtu huyo hata angekukuta sokoni,kwenye daladala angeomba tu...mimi juzi nimempandia mtu kibajaji nikaacha usfiri wangu nimepaki angenikuta ofisini unadhani ningeacheje kuomba...shida ielezwe mapema, mbona vidume waliokuomba kama bodaboda,waliokupa lift,shuleni au chuoni wakati unasoma,wapita njia,kwenye daladala,kivukoni hujawasema ?unachagua habari za kuleta, punguzeni Nongwa dada zetu nyie mbona yenu mengi tunawatunzia.
 
Sasa wewe kaa na kidude chako acha jamaa wakae na madaraka yao
 
Ningekuwa wewe ningempa ambaye nina uhakika atanipa kazi
 
UKIONA UNATONGOZWA TONGOZWA HOVYO,KAA UKIJUA WEWE WA BEI NAFUU. UNAKWENDA OFISI ZA WATU NA NGUO ZA KiKAHABA.LAZIMA UFANYIWE INTERVIEW KUTHIBITISHA
 
Ushauri wa hovyo sana
 
ww mwenyew pc kal2 Kama wengne
 
Pole hayo ndio matokeo ya ubepari endelea ku husle siku moja mambo yatakua sawa.
 
Tafuta mtaji ujiajiri tu kama hutagi kugawa mbusuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…