Kisa tu ulitoka familia duni halafu haukusoma then ukapata vijisenti sasa huko mitandaoni unabwekea watu "eti kwanini mnasoma?"

Kisa tu ulitoka familia duni halafu haukusoma then ukapata vijisenti sasa huko mitandaoni unabwekea watu "eti kwanini mnasoma?"

Ukwel kutoka moyoni,,,, kwa bongo hii,,,, na soko la ajira lilivyo, mwanangu akifika form 4, hatoenda advance wala chuo kikuu,,,instead ninaweza kumpeleka kwenye hivi vi-collegge akasome course flan flan ambazo ni applicable kwenye maisha yetu ya kila siku, na sio kumuandaa aje kutegemea huruma za ajira za serikali. ,,,, !
Unasoma ili uajiriwe?
Binafsi toka nimalize chuo mpaka unapoona hapa ni miaka 10 imepita. Na nimejitengeneze ajira mwenyewe.

Shida ni kuwa unampeleka mtoto shule akaajiriwe, shallow thinking. Elimu inamkomboa sana mtoto

Kifupi nikiwatizama ndugu zangu huko Rombo, kuna tofauti kubwa sana kati ya walipsoma na wasiosoma. Elimu inakuza upeo wako, kapokuwa wasomi wengi wanaemda shule kujifunza kuandika na kusoma tu, sio kwa ajili ya kukuza maarifa. .
 
Elimu ina maana kubwa sio kwa sababu umeenda shule hapana. Ila kwa sababu inakukomboa

Leo hii kuna jamaa kaniambia K haina makombo. Huyu jamaa huwa anaenda uwanja wa fisi kuchukua mademu. Yani ile toka nitoke

Unakuta mshikaji kapiga bao, halafu yeye jamaa anaenda kuteleza na bao la jamaa.

Na elimu hana. Kama angekuwa kasoma na elimu ipo kichwani angejali afya yake, pili angejitambua

Kwenda shule sio kuwa na elimu, wengi wanaenda shule kusindikiza siku.
 
Elimu ina maana kubwa sio kwa sababu umeenda shule hapana. Ila kwa sababu inakukomboa

Leo hii kuna jamaa kaniambia K haina makombo. Huyu jamaa huwa anaenda uwanja wa fisi kuchukua mademu. Yani ile toka nitoke

Unakuta mshikaji kapiga bao, halafu yeye jamaa anaenda kuteleza na bao la jamaa.

Na elimu hana. Kama angekuwa kasoma na elimu ipo kichwani angejali afya yake, pili angejitambua

Kwenda shule sio kuwa na elimu, wengi wanaenda shule kusindikiza siku.
Hakiikaa mkuu

ELIMU NI EXPOSURE
 
Haijalishi kuna wimbi kubwa kiasi gani la majobless mtaani siwezi ikatia tamaa Elimu hata kidogo,bora awe nayo huku akijua hali halisi mtaani ikoje kuliko kumkosesha atakulaumu badae tena kama itokea fursa ila akakosa kigezo cha elimu. . mengine kumuachia Mungu atafanya yake hakuna aijuaye kesho..hizo short course atasoma tu kama mbadala
 
Hii yote ni kujitafutia acceptance katika dunia inayoongozwa na literates.

Kuna wajinga maarufu bongo hii wakisha shiba vihela vya kupaisha majina ya wanaume wenzao wengine baada ya kusambaza yas zao huwa wanatukana watu waliosoma eti wanapoteza muda.

Utafikiri kila mtu ambaye hakusoma sasa ameshakuwa tajiri kwa muda wote ambao haukuhutumua kwenda shule.

Wanasahau kuwa kinachowaweka mjini ni kipaji cha kuropoka ropoka na kugawa makalio, sasa kila mtu akiwa chawa na mtoa yas patachimbika kweli Tanzania hii?

Kaa chini, enjoy bahati yako, acha utoto wa mbwa, upo katika level nyingine ya maisha.
Nipo na Dotto Magari hapa amemaindi kweli!!!
 
kazi ipo ,,,! Wenye Unafuu wa maisha na hawajasoma , wakiwaona wasomi wanahangaika na mishahara mbuzi(walimu police n.k) plus wasomi walioko mtaani wanaunga unga hawana kazi wanafurahi sana,,,all in all maisha hayana formula
Ni kweli. Na most of them wana hali ya inferiority complex inawatesa sana.
 
Haijalishi kuna wimbi kubwa kiasi gani la majobless mtaani siwezi ikatia tamaa Elimu hata kidogo,bora awe nayo huku akijua hali halisi mtaani ikoje kuliko kumkosesha atakulaumu badae tena kama itokea fursa ila akakosa kigezo cha elimu. . mengine kumuachia Mungu atafanya yake hakuna aijuaye kesho..hizo short course atasoma tu kama mbadala
Kabisa mkuu. Nimekuelewa sana. Ukijaribu kufuatilia kwa hapa tz, baadhi ya wanasiasa,wafanyabiashara na so called wasanii maarufu wanaibagaza elimu sana ya bongo kwa kauli zao za hovyo. Hii inafanya watu kukosa imani na mfumo wetu wa elimu. Na mbaya zaidi ni kwamba walioko madarakani na wenye dhamana hawataki kufanya reform au total overhaul ya mfumo mzima wa elimu ya tz ili ku catch up na mahitaji ya dunia ya sasa. Poor tz
 
Elimu ni muhimu ila elimu ni pana , simply hakuna asiyekuwa na elimu ni vile mnataka kila mtu asome elimu kutoka sehemu fulani.

Mtu mpaka kapata visenti unasema hana elimu ? Kapataje hizo pesa kuwa specific labda umekariri lazima ajue kingereza na kusoma mambo ya wazungu🤣🤣.

Anaweza kukuweka chini ukakuta yale masomo yako ya accounting hayana uhalisia kweny biashara ila yeye anatusua ,haya masomo yako ya accounting unakaririshwa mifumo ya kufanya kazi kweny mabanki na maofisi...

Hiyo shahada yako ya sheria ni huko ukifika kila jamii ina sheria zake , Short and clear umekariri.
 
Ila inauma, ambae hajamaliza hata la saba anamshinda professor kwa maisha mazuri. Wanajua kucheza na haka kausemi "maisha ni mchezo ". Na ujue kwamba ambae hajaenda shule anajua kuthubutu kuliko msomi. Namalizia kwa kusema utajiri ni kuthubutu.
 
Kabisa mkuu. Nimekuelewa sana. Ukijaribu kufuatilia kwa hapa tz, baadhi ya wanasiasa,wafanyabiashara na so called wasanii maarufu wanaibagaza elimu sana ya bongo kwa kauli zao za hovyo. Hii inafanya watu kukosa imani na mfumo wetu wa elimu. Na mbaya zaidi ni kwamba walioko madarakani na wenye dhamana hawataki kufanya reform au total overhaul ya mfumo mzima wa elimu ya tz ili ku catch up na mahitaji ya dunia ya sasa. Poor tz
Kwa huu mfumo mpya wa Elimu kama utatendewa kazi kama ulivyo pangwa ni imani yaku kutakuwa na mabadiliko makubwa sana naimani tutakuwa na Tz ya tofauti
 
Back
Top Bottom