Pre GE2025 Kisa ujenzi wa madarasa, Mwijaku agalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia

Pre GE2025 Kisa ujenzi wa madarasa, Mwijaku agalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Inaonekana trend mpya mjini ni kugalagala kwani baada ya Jenista Mhagama kugalagala juzi mkoani Ruvuma, mtangazaji na mwanamitandao maarufu Mwijaku nae ameunga tela!

Kuna video inasambaa mtandaoni inamuonesha Mwijaku anagalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia kwa ujenzi wa madarasa.

Soma pia: Kuelekea 2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Kwa mtu ambaye ana miaka 40 plus kugalagala kwenye matope kisa serikali inajenga madarasa inaonekana kama taifa bado tuna safari ndefu sana

 
Ni miaka sita nyuma, huyu bwana alikuwa na umapenzi na mdogo wangu Fulani ,penzi lilienda Sana mpaka huyu bwana akawa anakuja nyumbani.

Kabla nikimuona mtu anayejielewa kabla ya kugeukia kwenye utahira huu basi baadye mdogo wangu akaenda kusoma na penzi likafa na hili jamaa likampata mjinga mwenzie mwingine .

Ni hapo uwa nikimpigia simu dogo nampongeza kwa kuachana na huyu mjinga maana tulikuwa tunakaribisha matahira kwnye Ukoo wetu .

Embu imagine nisimame sehemu niseme eti mwijaku ni ndugu yangu kwa maana ni shemeji yangu 🤔 hakika ningekuwa hata sijitambulishi Wala kuwa karibu naye hata kidogo
 
Back
Top Bottom