Pre GE2025 Kisa ujenzi wa madarasa, Mwijaku agalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia

Pre GE2025 Kisa ujenzi wa madarasa, Mwijaku agalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Inaonekana trend mpya mjini ni kugalagala kwani baada ya Jenista Mhagama kugalagala juzi mkoani Ruvuma, mtangazaji na mwanamitandao maarufu Mwijaku nae ameunga tela!

Kuna video inasambaa mtandaoni inamuonesha Mwijaku anagalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia kwa ujenzi wa madarasa.

Soma pia: Kuelekea 2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Kwa mtu ambaye ana miaka 40 plus kugalagala kwenye matope kisa serikali inajenga madarasa inaonekana kama taifa bado tuna safari ndefu sana

Mwajuma, anautafuta ubunge Kwa Hali na Mali!
Huko songea akigombea mjue ni msanii hakuna kitu upstairs
 

Attachments

  • VID-20240928-WA0000.mp4
    6.6 MB
Inaonekana trend mpya mjini ni kugalagala kwani baada ya Jenista Mhagama kugalagala juzi mkoani Ruvuma, mtangazaji na mwanamitandao maarufu Mwijaku nae ameunga tela!

Kuna video inasambaa mtandaoni inamuonesha Mwijaku anagalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia kwa ujenzi wa madarasa.

Soma pia: Kuelekea 2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Kwa mtu ambaye ana miaka 40 plus kugalagala kwenye matope kisa serikali inajenga madarasa inaonekana kama taifa bado tuna safari ndefu sana

Mwajuma, anautafuta ubunge Kwa Hali na Mali!
Huko songea akigombea mjue ni msanii hakuna kitu upstairs
 
Kazi sana safari ndefu na wajinga wengi mnoòoooo
 
Kuna kundi ,ukikutana nalo linamsifia Samia,hilo kundi ni kundi hatari sana.
 
Inaonekana trend mpya mjini ni kugalagala kwani baada ya Jenista Mhagama kugalagala juzi mkoani Ruvuma, mtangazaji na mwanamitandao maarufu Mwijaku nae ameunga tela!

Kuna video inasambaa mtandaoni inamuonesha Mwijaku anagalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia kwa ujenzi wa madarasa.

Soma pia: Kuelekea 2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Kwa mtu ambaye ana miaka 40 plus kugalagala kwenye matope kisa serikali inajenga madarasa inaonekana kama taifa bado tuna safari ndefu sana

Huyo jamaa tunamuona kama kichaa kajitoa ufahamu kumbe yupo kikazi zaidi ,ukimsikiliza kwenye exclusive interview yake na Zamaradi Mketema "mamaa wa ulisi" utajua kwamba hapo yupo kazini ,si umeona mbele kuna STL inamsubiri hapo impeleke hotelini akaoge na kubadilisha nguo na hizo kuingizwa Dry Cleaner ,kwenye mitandao kuna mambo mengi ,jamaa anaingiza maokoto marefu sana ,usikute hapo kakunja hata 20m....Hivi wewe ukipewa 15m ujiangushe namna hiyo utashindwa?
 
DIdy huko jela kasema amefurahi sana kumuona Mwijaku akigala gala na ameomba uongozi wa jela umpeleke Mwijaku akagale gale kidogo tu kisha aangalie tv huko jela atampa utajiri no moja
1000223132.jpg
 
Ka,
Inaonekana trend mpya mjini ni kugalagala kwani baada ya Jenista Mhagama kugalagala juzi mkoani Ruvuma, mtangazaji na mwanamitandao maarufu Mwijaku nae ameunga tela!

Kuna video inasambaa mtandaoni inamuonesha Mwijaku anagalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia kwa ujenzi wa madarasa.

Soma pia: Kuelekea 2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Kwa mtu ambaye ana miaka 40 plus kugalagala kwenye matope kisa serikali inajenga madarasa inaonekana kama taifa bado tuna safari ndefu sana

Inaonekana trend mpya mjini ni kugalagala kwani baada ya Jenista Mhagama kugalagala juzi mkoani Ruvuma, mtangazaji na mwanamitandao maarufu Mwijaku nae ameunga tela!

Kuna video inasambaa mtandaoni inamuonesha Mwijaku anagalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia kwa ujenzi wa madarasa.

Soma pia: Kuelekea 2025 Waziri Jenista Mhagama agalagala chini ikiwa ni ishara ya kumshukuru Rais Samia kwa miradi jimbo kwake

Kwa mtu ambaye ana miaka 40 plus kugalagala kwenye matope kisa serikali inajenga madarasa inaonekana kama taifa bado tuna safari ndefu sana

Kwa nchi hii ilipofika, we sema upo tayari hata kuwa mbwa wa, Abdul(mtoto wa, samia), ili mradi upate ujira wako,
 
Tanzania kuna chuo bora?

Sasa kama Mwijaku kasoma vyuo bora nchini na anafanya upuuzi kama huo hao ambao wamesoma vyuo vya kawaida watakuaje?
Ujinga anaofanya ndio unampa endorsement za mamilioni ,kiufupi ni ujinga unaolipa
 
Mkiambiwa njaa mbaya muwe mnaelewa jamani, mbele ya njaa mbona hayo ni madogo..
 
Back
Top Bottom